Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Huu uzi umeshakua wakijinga sasa.....ile ladha yote imepotea.....Hii thread imecement na kuconfirm kua jambo hata liwe zuri vipi...kama halina utaratibu na defined process flow linageuka kua lakijinga. Hata demu....hata demu awe mzuri vipi na tako kubwa kiasi gani...kama hana akili na utaratibu unaoeleweka wa maisha anakua hana maana na atasuuzwa tu na wakulungwa lakini haolewi hata siku moja.

Binafsi yangu,bila kushurutishwa na mtu yeyote ......mwisho wangu kufungua hii thread ni leo 20.02.2021 saa 6 kamili mchana. It has become useless and boring.
 
neno dogo kwako huna hela na wapenda kitonga wala usiseme yote hayo
 
Khumbu aligawa maku balaa angakua Mtz lazma angekua mtt wa singidani
 
neno dogo kwako huna hela na wapenda kitonga wala usiseme yote hayo
Sawa boss ww una hela, tuma hapa payslip statement uliyomuingizia 20milion kwenye account yake ili tu aandike thread.

Au unaropoka tu kusema watu hawana hela ilihal ww huna ulichofanya kuonesha una hela,

Na wenye hela na akili tumamu hela zao hutolewa kwa sababu maalum hawatupi tupi hela ovyo,
Wasalaam
 
wapi nimesema nna hela mkuu hahahaha buku imetushinda tutaweza 20m hahahahaha

hapo paragrafu ya mwisho ni kujipa moyo tu ila ukweli unabaki hatuna hela wala akili

kila siku watu wenye fedha wanazitoa kutusaidia kina pangu pakavu leo unasema eti wenye akili nini sijui

tutafute helaaaaa sio maneno mkuu
 
Achana naye mkuu. Watu wasiokuwa na hela wana maneno mengi. Huyo Kitaboy hana hela, ndio hawa wanajifanya matajiri wa JF kumbe kina pangu pakavu.
 
Ndo nimetoka fesibuku kutafuta mademu wanaoitwa Khumbu Mkhize
ila kabla sijasahau mkuu tupe I'd ya yule demu mwngine ulie tuahidi tukamtafute fesibuku
 
We elezea kifo chake tu kwa ufupi tu hayo mengine hatuyataki umeshazingua kinyama ,credibility yako imeshuka ghafla
 
We elezea kifo chake tu kwa ufupi tu hayo mengine hatuyataki umeshazingua kinyama ,credibility yako imeshuka ghafla
Halafu mzee wa ubwabwa mbona unajipa cheo cha msemaji wa familia ya wana JF? Nadhani wewe credibility yako ndio imeshuka kwa kushindwa kuchangia buku tu. Sasa kama buku limekushinda hiyo hela ya ubwabwa ya kulisha watoto wetu mashuleni si ilikuwa fix tu? Hahahahaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…