mwaitakotako mwaipumbuje
Member
- Mar 10, 2020
- 25
- 155
Huu uzi umeshakua wakijinga sasa.....ile ladha yote imepotea.....Hii thread imecement na kuconfirm kua jambo hata liwe zuri vipi...kama halina utaratibu na defined process flow linageuka kua lakijinga. Hata demu....hata demu awe mzuri vipi na tako kubwa kiasi gani...kama hana akili na utaratibu unaoeleweka wa maisha anakua hana maana na atasuuzwa tu na wakulungwa lakini haolewi hata siku moja.
Binafsi yangu,bila kushurutishwa na mtu yeyote ......mwisho wangu kufungua hii thread ni leo 20.02.2021 saa 6 kamili mchana. It has become useless and boring.
Binafsi yangu,bila kushurutishwa na mtu yeyote ......mwisho wangu kufungua hii thread ni leo 20.02.2021 saa 6 kamili mchana. It has become useless and boring.