Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Huyu mdukuzi ni real Hashimu Spunda Rungwe?
 
kabla ya kumaliza story siku ya j5 nikupe kongole/hongera kwa kujua kuielezea story... unachambua mpaka watu wanamtafuta Khumbu kwa facebook!😆😆
big up konda msafi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daah wabongo ukiwambia pesa tu huwaon sijui kwann tunapenda Sana vitonga

Yaani inasikitisha mtu anatumia muda wake kuwapa story mnafurahi kumchangia tu hata mia 500 apate moyo wa kuendelea kuandika mnaona kazi duuh[emoji23][emoji23]
 

Umeongea ukweli kabisa..

Yangu hiyo nishatuma
 

Mno mno watanzania sio watu wa kuwaamini[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Roho ya kimasikini
 
konda msafi nimependa sana story yako kweli imekaa vizuri sana na pia ina mafundisho mengi sana ndani yake! Kuanzia maisha ya kuhangaika nje ya nchi kwa vijana, mahusiano, mapenzi ya dhati, uvumilivu, Elimu, jinsi ya kuishi na watu aina tofauti tofaut, uandishi na mpangilio wa matukio, jinsi unavyojibu mapovu ya watu wakorofi kwa kutumia hekima na mwisho usivyokata tamaa kirahisi.

Utafika mbali sana kimaisha na mafanikio, binafsi sijachanga buku Wala jero ila namba nimeiona na nachangia mda si mrefu. Big up sana broh.
 
Kuna kitabu kizuri kabisa hapa. Please compile hizi, ziboreshe kidogo (e.g. tumia tafsida baadhi ya simukizi ili kisiwe na ukakasi kwa baadhi wasomaji). Naona kipaji ndani yako cha kusimulia.

Usiache kuandika kitabu(actually umeshaandika, kiboreshe tu).
 
Shukrani mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…