konda msafi nimependa sana story yako kweli imekaa vizuri sana na pia ina mafundisho mengi sana ndani yake! Kuanzia maisha ya kuhangaika nje ya nchi kwa vijana, mahusiano, mapenzi ya dhati, uvumilivu, Elimu, jinsi ya kuishi na watu aina tofauti tofaut, uandishi na mpangilio wa matukio, jinsi unavyojibu mapovu ya watu wakorofi kwa kutumia hekima na mwisho usivyokata tamaa kirahisi.
Utafika mbali sana kimaisha na mafanikio, binafsi sijachanga buku Wala jero ila namba nimeiona na nachangia mda si mrefu. Big up sana broh.