leo ujaweka. cc nani sijui ama akaunti imeibiwaLoop
Lol sina ucelebrity wowote mie wakuja tu
leo ujaweka. cc nani sijui ama akaunti imeibiwa
hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]acha kufatilia ya watu[emoji1436]♀️[emoji1436]♀️[emoji1436]♀️[emoji1436]♀️
Achana nao wapuuzi haoKesho kutwa mzee namaliza kazi, ila kuna watu wana mambo ya kibwege kweli. Hata kama unajitahidi kuwavumilia lakini inafikia stage unaamua kuwajibu tu maana wanakuchukulia poa sana. Stori nimeilata mwenyewe kwa hiari yangu, that means nina uwezo wa kuachana nayo kwa hiari yangu pia. Sasa humu kuna watu wanaongea upuuzi mwingi mpaka nimeamua kuwajibu. Sikutaka kujibishana nao ila nimeona wanataka kunipanda kichwani.
Konda we wavumilie2 mana siunajua kazi ya ukonda inakua na changamoto kunawatu wanapanda wamefiwa wengine walevi wengine wezi wabishi washamba wajinga matakhira kwahiyo jukumu lako kama konda ni kudai nauli yako2 hayo mengine yaache mana mwisho wa safari wote watashuka na kupakia wengine wapyaKesho kutwa mzee namaliza kazi, ila kuna watu wana mambo ya kibwege kweli. Hata kama unajitahidi kuwavumilia lakini inafikia stage unaamua kuwajibu tu maana wanakuchukulia poa sana. Stori nimeilata mwenyewe kwa hiari yangu, that means nina uwezo wa kuachana nayo kwa hiari yangu pia. Sasa humu kuna watu wanaongea upuuzi mwingi mpaka nimeamua kuwajibu. Sikutaka kujibishana nao ila nimeona wanataka kunipanda kichwani.
Achana nao wana tatizo la kupumua we j5 shusha mzigo mzee baba konda msafiKesho kutwa mzee namaliza kazi, ila kuna watu wana mambo ya kibwege kweli. Hata kama unajitahidi kuwavumilia lakini inafikia stage unaamua kuwajibu tu maana wanakuchukulia poa sana. Stori nimeilata mwenyewe kwa hiari yangu, that means nina uwezo wa kuachana nayo kwa hiari yangu pia. Sasa humu kuna watu wanaongea upuuzi mwingi mpaka nimeamua kuwajibu. Sikutaka kujibishana nao ila nimeona wanataka kunipanda kichwani.
Mmeshawekewa story ya uzinzi, mnayoojifanya mnajiheshimu kumbe ni uzinzi mnang'ang'ania, huwa mkiambiwa ukweli mnakimbilia hbr za kuzaliwa miezi 9 tumboni, hapa forum sibishani na mamaa yangu naongeaa na nyie mnaogombania story za ngono mnatakaa niwaheshimu, aliyenizaa hana muda na upumbavu kama huu wenu, konda amerudi, kuwaendelezea porn story...mmefurahiiiiii????
Sema mwana kakuchana ukweli[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]Mkuu mbona kama una shida kichwani? Kwani umeniajiri kuandika hii stori? Mambo mengine unakaa kimya tu kama unaona hayakupendezi.
Kaamuulize Habibu B. Anga tabia za watanganyika wa humu, A.K.A @thebold ndiye pekee anawaweza kudeal nao maana amepata uzoefu wa kutosha kudeal nao.Kesho kutwa mzee namaliza kazi, ila kuna watu wana mambo ya kibwege kweli. Hata kama unajitahidi kuwavumilia lakini inafikia stage unaamua kuwajibu tu maana wanakuchukulia poa sana. Stori nimeilata mwenyewe kwa hiari yangu, that means nina uwezo wa kuachana nayo kwa hiari yangu pia. Sasa humu kuna watu wanaongea upuuzi mwingi mpaka nimeamua kuwajibu. Sikutaka kujibishana nao ila nimeona wanataka kunipanda kichwani.
[emoji16][emoji16][emoji16]leo ujaweka. cc nani sijui ama akaunti imeibiwa
Tayari [emoji16][emoji16]hahahaha