Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Inaendelea,

Nilipompa hiyo rand 20, akainuka na kwenda kutafuta sehemu ya kula (kunywa chai). Alivyoinuka hapo ndio niliweza kuuona uzuri wake. Nakumbuka hadi leo alikuwa amevaa top nyeusi mikono mirefu na jeans ya blue. Alikuwa ametokelezea hatari. Kwa wale waliofika South Africa watakubaliana na mimi, wanawake wa kisauzi wapo njema sana kwenye maumbo. Anyway, demu alikuwa kifaa cha haja. Alikuwa ana umbo lililokatika vyema. Alikuwa na tako zuri, kubwa la wastani, ila kwa bongo ataonekana ana bonge la tako, Sio yale matako makubwa ya kufuru ya wasouth Africa, sura pia ilikuwa sio haba, ngozi chocolate color. Kwa ufupi Khumbu alikuwa mrembo sana. Hadi masela wangu walimkubali kwa kila kitu. Nadhani South Africa inaongoza kwa wanawake wenye matako makubwa. Kwenye matako wanawake wa Dizonga wako njema, wakina Sanchi mnaowaona wana mizigo ni takataka tu ukimpeleka Dizonga.

Basi tukaagana pale yeye akaenda kutafuta chakula na mimi nikavuka barabara nikaenda kununua chai na vitafunio, nikarudi zangu golini.

Nikanywa chai kama kawaida, Chaduma akapita nikamwambia tayari nishakunywa chai. Baadae kidogo demu nikamuona kwa mbali anakuja, ila akawa kama anaangaza angaza kama kapotea hivi maana kuna matents mengi yanayouza viatu vya kike na yamepangana, ila kwa kuwa mie tayari nishamuona nikawa kama nampungia mkono hivi ili anione. Akafika golini, nikampa kiti akakaa. Tukaanza kupiga stori sasa. Nikamwelezea mimi ni nani, nafanya nini na mambo mengine. Na yeye akanielezea anaitwa Khumbu, anakaa township moja inaitwa Inanda, na mambo mengine ya hapa na pale. Tukabadirishana namba za simu, tukapanga tutaonana jioni baada ya mimi kufunga. Baada ya demu kuondoka masela wangu walianza kuniuliza, huyu demu umempata wapi? Wewe kweli una mavumba, umekuja juzi tu tayari umepata demu kisu hivi? Mie nikawaeleza jinsi nilivyokutana na demu muda mfupi uliopita.

Jioni mida ya kufunga Khumbu akawa amekuja pale golini. Nikampa kiti akawa ananisubiria tufunge ili tuweze kuangalia kama tutaondoka wote au amekuja tu kwa ajili ya maongezi zaidi. Jamaa zangu walipomuona amerudi wakawa wananitania “Leo uhakika”. Baada ya kumaliza kufunga ikabidi nianze kuongea naye, halafu alikuja akiwa kabadilisha nguo. Kumbe alienda nyumbani kabisa, hivyo alivyorudi ile jioni alikuwa ametoka nyumbani na amekuja kwa ajili yangu. Jamaa yangu akaniuliza, vipi tunaondoka wote (kwenye gari )au mtakuja kivyenu? Maana kwa kawaida huwa tukifunga tuonaodoka wote kurudi nyumbani kwenye gari yake. Nikamgeukia demu nikamwuliza, vipi twende home basi ili ukapajue. Demu hakuwa na kipingamizi. So tukazama ndani ya gari tukaanza safari ya kuelekea geto. Jamaa yangu akaniambia misosi yetu ya kibongo huko magetoni huyu hawezi kula hivyo acha tupitie KFC tumnunulie kitu cha kwenye mabox, basi gari ikaingia KFC kwenye drive thru, tukachukua kitu cha box tukasepa.

Tukafika geto, demu nikampaki sebuleni, nikaingia jikoni kupika misosi yetu ya kibongo huku yeye akiendelea kula msosi wake wa KFC. Kumbuka mie nalala kwenye kale kastore pamoja na mshikaji mwingine homeboy, mdogo wake na huyu jamaa yetu mwenye gari. Huyu jamaa ninaye lala naye alikuwa mtu wa tungi sana. Mkifunga goli ile jioni yeye anaelekea bar kukutana na wabongo wengine wanywaji, hivyo kurudi kwake mpaka saa 5 au 6 hivi usiku, sometimes anaweza kulala kwa masela wake huko. Baada ya demu kumaliza kula nikamwonyesha chumba ”changu” ili akabadili nguo afanye mchakato wa kuoga. Hivyo akaingia chumbani (store), akajiweka, akavaa kanga akaingia bafuni kuoga. Najua watu wataanza kusema hii ni chai kwa kuona demu wa kisauzi anavaaje kanga, au kapataje kanga. Kwa taarifa yenu Khumbu alikuwa na kanga, na kila siku alipokuwa ananitembelea alikuwa anakuja na kanga. Kanga south Africa zipo, sijui wanazitoa Swaziland, maana waswaziland ndio huwa nawaona wanavaa kanga, anyaway sijui alikuwa ananunua wapi ila kanga alikuwa nazo za kutosha.

Baada ya kumaliza kupika mimi na jamaa yangu na Mburundi tukawa tunakula hapo sebuleni. Utaratibu ilikuwa ni kupika kwa zamu, na kula wote pamoja.

Demu akamaliza kuoga akarudi chumbani. Na mimi baada ya kumaliza kula nikaenda kuoga, nikamaliza kuoga nikaenda chumbani. Ila hapo katikati tayari nishampigia simu mwana kuwa leo nimevusha hivyo kama vipi atalala sebuleni kwenye makochi au aendelee kuruka nyoka mpaka asubuhi.

Itaendelea
Mkuu nipo hapo na kikombe cha alkasusu.
 
Inaendelea

Basi nilipoingia chumbani, nikamkuta demu amejilaza, kajifunika shuka ila yuko macho. Akainuka akaa kitako, na mimi nikapanda kwenye godoro, tukawa tumekaa huku tumeegemea ukuta.

Naomba kwanza nikielezee hiki chumba (store) tuliyokuwa tunalala mimi na msela wangu, maana kuna tukio lilitokea ambalo nitakuja kulielezea ili iwe rahisi kuunganisha stori na kuleta mtiririko mzuri. Hiki kichumba kilikuwa sio kikubwa sana, ukiweka kitanda cha sita kwa sita unaweza usipate hata sehemu ya kupita au itabakia ndogo sana. Halafu kilikuwa kimepakana na chumba cha huyu msela mwingine mbongo anaitwa baba Isa.

Baba Isa alikuwa na mademu wawili wa kizulu waliokuwa wanakuja kwa nyakati tofauti hapo getoni, ila kuna siku hao mademu waligongana, nyumba ikageuka uwanja wa vita. Kama nilivyosema hicho kichumba nilichokuwa nalala kilikuwa kinapakana na chumba cha baba Isa. Ule ukuta unaotenganisha chumba changu na cha baba Isa kulikuwa na kidirisha kidogo kwa juu cha kioo. Siku baba Isa alipogonganisha magari (mademu) kile kidirisha cha kioo kilipasuliwa na mmoja wa mademu wake.

Haya tuendelee kuhusu huyu mtoto Khumbu aliyetaka kusabisha nitolewe roho.

Mle chumbani kulikuwa hakuna kitanda. Kulikuwa na godoro tumelitandika chini, na maisha yalikuwa poa tu.

Basi nikawa namchukulia maelezo ya awali Khumbu, nikawa nataka kujua ilikuwaje asubuhi yote hiyo yupo town na ana njaa. Khumbu akanieleza kwamba, kuna jamaa amezaa naye, ana mtoto wa mwaka mmoja na miezi kadhaa, huyo jamaa aliyezaa naye ni mmiliki wa taxi (daladala) na ni mkorofi kinyama. Wamezinguana naye, hivyo jamaa kasusa kumhudumia mtoto. Anaishi na bibi yake, bibi yake anaishi hana kipato chochote zaidi ya government grant. Kwa hiyo ametoka nyumbani asubuhi kuja town kwa ajili ya kwenda home affairs kuweza kuapply government grant kwa ajili ya mtoto wake maana baba ake amhudumii tena. Anyway hayo ndio maelezo aliyoyatoa, huenda labda alikuwa ananiongopea.

Baada ya kupiga stori kwa muda mfupi, nikaanza uchokozi wa kutaka kula tunda. Of course haikuwa shida maana demu alikuwa amejipanga kuja kuliwa. Tukafanya foreplay i.e romance, kissing and the like nikapakua mzigo. Kama nilivyotangulia kusema awali Khumbu kaumbika, God is my witness. Khumbu ana umbo moja matata sana, ana makalio kama yananing’inia hivi halafu malaini. Amezaa lakini utadhani hajazaa maana tumbo ni very flat halafu halina mchirizi hata mmoja kama ilivyo kawaida kwa wanawake wengi waliozaa. Halafu tokea nimeanza kuwala wasauzi nilikuwa sijawahi kukutana na mwanamke anayekata mauno kama Khumbu. Mademu wote niliowala kuanzia Joburg hadi Durban hakuna aliyekuwa anakatika. Lakini kwa Khumbu alikuwa anakata mauno utafikiri unatiana na demu wa kibongo. Zaidi ya yote hadi sasa sijawahi kukutana na demu anayeweza kukata mauno kama Khumbu.

Khumbu alikuwa na namna yake tu ya kuzungusha kiuno, yaani unahisi kama mb.o..lo inakunjwa kunjwa kwa ndani. Kwenye kukata mauno hadi jamaa zangu na akina baba Isa walikuja kukiri huyo demu anakupenda. Hawa jamaa kumbe walikuwa wananipiga chabo kila nikivusha, walikuja kuniambia kwa baadae uchafu wote tuliokuwa tunafanya na Khumbu. Kumbe kile kidirisha cha juu kilichopasuliwa walikuwa wanakitumia kutupiga chabo. Walikuwa wananiambia huyu demu mzee anakupenda sana, mademu ya hapa hajajui kukatika ila huyu wako anakukatikia, ukimwambia chuma mboga anainama, ukimwambia nikalie anakukalia, ukimwambia nyonya ana nyonya. Siku za breed alikuwa analeta hivyo hivyo, so naamua kuchagua either nile hivyo hivyo au nimalize kwa kunyonywa.

Zaidi ya yote siku za weekend Khumbu alikuwa anapatikana. Anyway hapo ndio ukawa mwanzo wa penzi letu mimi na Khumbu, penzi zito lililohatarisha uhai wangu. Khumbu kanitesa sana, kaniumiza mno. Nilishawahi kupigiwa simu na msela ananiambia atanipiga risasi.

Itaendelea asubuhi.........SEHEMU YA 4
 
Inaendelea,

Nilipompa hiyo rand 20, akainuka na kwenda kutafuta sehemu ya kula (kunywa chai). Alivyoinuka hapo ndio niliweza kuuona uzuri wake. Nakumbuka hadi leo alikuwa amevaa top nyeusi mikono mirefu na jeans ya blue. Alikuwa ametokelezea hatari. Kwa wale waliofika South Africa watakubaliana na mimi, wanawake wa kisauzi wapo njema sana kwenye maumbo. Anyway, demu alikuwa kifaa cha haja. Alikuwa ana umbo lililokatika vyema. Alikuwa na tako zuri, kubwa la wastani, ila kwa bongo ataonekana ana bonge la tako, Sio yale matako makubwa ya kufuru ya wasouth Africa, sura pia ilikuwa sio haba, ngozi chocolate color. Kwa ufupi Khumbu alikuwa mrembo sana. Hadi masela wangu walimkubali kwa kila kitu. Nadhani South Africa inaongoza kwa wanawake wenye matako makubwa. Kwenye matako wanawake wa Dizonga wako njema, wakina Sanchi mnaowaona wana mizigo ni takataka tu ukimpeleka Dizonga.

Basi tukaagana pale yeye akaenda kutafuta chakula na mimi nikavuka barabara nikaenda kununua chai na vitafunio, nikarudi zangu golini.

Nikanywa chai kama kawaida, Chaduma akapita nikamwambia tayari nishakunywa chai. Baadae kidogo demu nikamuona kwa mbali anakuja, ila akawa kama anaangaza angaza kama kapotea hivi maana kuna matents mengi yanayouza viatu vya kike na yamepangana, ila kwa kuwa mie tayari nishamuona nikawa kama nampungia mkono hivi ili anione. Akafika golini, nikampa kiti akakaa. Tukaanza kupiga stori sasa. Nikamwelezea mimi ni nani, nafanya nini na mambo mengine. Na yeye akanielezea anaitwa Khumbu, anakaa township moja inaitwa Inanda, na mambo mengine ya hapa na pale. Tukabadirishana namba za simu, tukapanga tutaonana jioni baada ya mimi kufunga. Baada ya demu kuondoka masela wangu walianza kuniuliza, huyu demu umempata wapi? Wewe kweli una mavumba, umekuja juzi tu tayari umepata demu kisu hivi? Mie nikawaeleza jinsi nilivyokutana na demu muda mfupi uliopita.

Jioni mida ya kufunga Khumbu akawa amekuja pale golini. Nikampa kiti akawa ananisubiria tufunge ili tuweze kuangalia kama tutaondoka wote au amekuja tu kwa ajili ya maongezi zaidi. Jamaa zangu walipomuona amerudi wakawa wananitania “Leo uhakika”. Baada ya kumaliza kufunga ikabidi nianze kuongea naye, halafu alikuja akiwa kabadilisha nguo. Kumbe alienda nyumbani kabisa, hivyo alivyorudi ile jioni alikuwa ametoka nyumbani na amekuja kwa ajili yangu. Jamaa yangu akaniuliza, vipi tunaondoka wote (kwenye gari )au mtakuja kivyenu? Maana kwa kawaida huwa tukifunga tuonaodoka wote kurudi nyumbani kwenye gari yake. Nikamgeukia demu nikamwuliza, vipi twende home basi ili ukapajue. Demu hakuwa na kipingamizi. So tukazama ndani ya gari tukaanza safari ya kuelekea geto. Jamaa yangu akaniambia misosi yetu ya kibongo huko magetoni huyu hawezi kula hivyo acha tupitie KFC tumnunulie kitu cha kwenye mabox, basi gari ikaingia KFC kwenye drive thru, tukachukua kitu cha box tukasepa.

Tukafika geto, demu nikampaki sebuleni, nikaingia jikoni kupika misosi yetu ya kibongo huku yeye akiendelea kula msosi wake wa KFC. Kumbuka mie nalala kwenye kale kastore pamoja na mshikaji mwingine homeboy, mdogo wake na huyu jamaa yetu mwenye gari. Huyu jamaa ninaye lala naye alikuwa mtu wa tungi sana. Mkifunga goli ile jioni yeye anaelekea bar kukutana na wabongo wengine wanywaji, hivyo kurudi kwake mpaka saa 5 au 6 hivi usiku, sometimes anaweza kulala kwa masela wake huko. Baada ya demu kumaliza kula nikamwonyesha chumba ”changu” ili akabadili nguo afanye mchakato wa kuoga. Hivyo akaingia chumbani (store), akajiweka, akavaa kanga akaingia bafuni kuoga. Najua watu wataanza kusema hii ni chai kwa kuona demu wa kisauzi anavaaje kanga, au kapataje kanga. Kwa taarifa yenu Khumbu alikuwa na kanga, na kila siku alipokuwa ananitembelea alikuwa anakuja na kanga. Kanga south Africa zipo, sijui wanazitoa Swaziland, maana waswaziland ndio huwa nawaona wanavaa kanga, anyaway sijui alikuwa ananunua wapi ila kanga alikuwa nazo za kutosha.

Baada ya kumaliza kupika mimi na jamaa yangu na Mburundi tukawa tunakula hapo sebuleni. Utaratibu ilikuwa ni kupika kwa zamu, na kula wote pamoja.

Demu akamaliza kuoga akarudi chumbani. Na mimi baada ya kumaliza kula nikaenda kuoga, nikamaliza kuoga nikaenda chumbani. Ila hapo katikati tayari nishampigia simu mwana kuwa leo nimevusha hivyo kama vipi atalala sebuleni kwenye makochi au aendelee kuruka nyoka mpaka asubuhi.

Itaendelea
Nipo nalinda ikulu ndogo mkoa X ,lete nxt episode mkuu
 
Inaendelea

Basi nilipoingia chumbani, nikamkuta demu amejilaza, kajifunika shuka ila yuko macho. Akainuka akaa kitako, na mimi nikpanda kwenye godoro, tukawa tumekaa huku tumeegemea ukuta.

Naomba kwanza nikielezee hiki chumba (store) tuliyokuwa tunalala mimi na msela wangu, maana kuna tukio lilitokea ambalo nitakuja kulielezea ili iwe rahisi kuunganisha stori na kuleta mtiririko mzuri. Hiki kichumba kilikuwa sio kikubwa sana, ukiweka kitanda cha sita kwa sita unaweza usipate hata sehemu ya kupita au itabakia ndogo sana. Halafu kilikuwa kimepakana na chumba cha huyu msela mwingine mbongo anaitwa baba Isa. Baba Isa alikuwa na mademu wawili wa kizulu waliokuwa wanakuja kwa nyakati tofauti hapo getoni, ila kuna siku hao mademu waligongana, nyumba ikageuka uwanja wa vita. Kama nilivyosema hicho kichumba nilichokuwa nalala kilikuwa kinapakana na chumba cha baba Isa. Ule ukuta unaotenganisha chumba changu na cha baba Isa kulikuwa na kidirisha kidogo kwa juu cha kioo. Siku baba Isa alipogonganisha magari (mademu) kile kidirisha cha kioo kilipasuliwa na mmoja wa mademu wake.

Haya tuendelee kuhusu huyu mtoto Khumbu aliyetaka kusabisha nitolewe roho.

Mle chumbani kulikuwa hakuna kitanda. Kulikuwa na godoro tumelitandika chini, na maisha yalikuwa poa tu.

Basi nikawa namchukulia maelezo ya awali Khumbu, nikawa nataka kujua ilikuwaje asubuhi yote hiyo yupo town na ana njaa. Khumbu akanieleza kwamba, kuna jamaa amezaa naye, ana mtoto wa mwaka mmoja na miezi kadhaa, huyo jamaa aliyezaa naye ni mmiliki wa taxi (daladala) na ni mkorofi kinyama. Wamezinguana naye, hivyo jamaa kasusa kumhudumia mtoto. Anaishi na bibi yake, bibi yake anaishi hana kipato chochote zaidi ya government grant. Kwa hiyo ametoka nyumbani asubuhi kuja town kwa ajili ya kwenda home affairs kuweza kuapply government grant kwa ajili ya mtoto wake maana baba ake amhudumii tena. Anyway hayo ndio maelezo aliyoyatoa, huenda labda alikuwa ananiongopea.

Baada ya kupiga stori kwa muda mfupi, nikaanza uchokozi wa kutaka kula tunda. Of course haikuwa shida maana demu alikuwa amejipanga kuja kuliwa. Tukafanya foreplay i.e romance, kissing and the like nikapakua mzigo. Kama nilivyotangulia kusema awali Khumbu kaumbika, God is my witness. Khumbu ana umbo moja matata sana, ana makalio kama yananing’inia hivi halafu malaini. Amezaa lakini utadhani hajazaa maana tumbo ni very flat halafu halina mchirizi hata mmoja kama ilivyo kawaida kwa wanawake wengi waliozaa. Halafu tokea nimeanza kuwala wasauzi nilikuwa sijawahi kukutana na mwanamke anayekata mauno kama Khumbu. Mademu wote niliowala kuanzia Joburg hadi Durban hakuna aliyekuwa anakatika. Lakini kwa Khumbu alikuwa anakata mauno utafikiri unatiana na demu wa kibongo. Zaidi ya yote hadi sasa sijawahi kukutana na demu anayeweza kukata mauno kama Khumbu. Khumbu alikuwa na namna yake tu ya kuzungusha kiuno, yaani unahisi kama mb.o..lo inakunjwa kunjwa kwa ndani. Kwenye kukata mauno hadi jamaa zangu na akina baba Isa walikuja kukiri huyo demu anakupenda. Hawa jamaa kumbe walikuwa wananipiga chabo kila nikivusha, walikuja kuniambia kwa baadae uchafu wote tuliokuwa tunafanya na Khumbu. Kumbe kile kidirisha cha juu kilichopasuliwa walikuwa wanakitumia kutupiga chabo. Walikuwa wananiambia huyu demu mzee anakupenda sana, mademu ya hapa hajajui kukatika ila huyu wako anakukatikia, ukimwambia chuma mboga anainama, ukimwambia nikalie anakukalia, ukimwambia nyonya ana nyonya. Siku za breed alikuwa analeta hivyo hivyo, so naamua kuchagua either nile hivyo hivyo au nimalize kwa kunyonywa. Zaidi ya yote siku za weekend Khumbu alikuwa anapatikana. Anyway hapo ndio ukawa mwanzo wa penzi letu mimi na Khumbu, penzi zito lililohatarisha uhai wangu. Khumbu kanitesa sana, kaniumiza mno. Nilishawahi kupigiwa simu na msela ananiambia atanipiga risasi.

Itaendelea asubuhi.
Usiwaze mkuu....tuko macho tunaisubiri asubuhi tupate mwendelezo.

Lazima jamaaa akupige Risasi maana viuno vyote hivyo....
 
Inaendelea

Asubuhi yake ilibidi nichelewe kwenda kufungua goli maana nisingeweza kumuamsha alfajiri ya saa 11 kuwahi ofisini, na wala nisingeweza kumwacha peke yake mjengoni kwa sababu ndio kwanza ilkuwa siku yake ya kwanza kuja mjengoni. Mzee wa Tungi alinigongea mlango ili aweze kubadili nguo awahi kufungua goli. Mzee wa tungi alirudi mida mibovu na alilala sebuleni kwenye makochi.

Pamoja na kwamba sikutaka kumwamsha Khumbu mapema ila nilikuwa na woga flani wa kuhatarisha mahusino yangu na wenyeji wangu kwa kuchelewa kwenda kufungua goli. Maisha ya nje ya nchi kujituma, ukiwa mzembe masela wanakuona “kavu”, hivyo nilianza kutengeneza mazingira angalu kwenye saa mbili tuwe barabarani tunaelekea workshop. Kwa hiyo ilipofika mida ya saa moja hivi nikaanza pilika za kwenda jikoni kuandaa chai na mambo mengine ili kumfanya aamke na tujiandae kwa safari. Nikandaa chai, kwenye fridge kulikuwa na mkate na peanut butter. Baada ya chai, tukaingia bafuni tukaoga pamoja, ikapigwa mechi nyingine bafuni ya kuagana.

Mapenzi yetu mimi na Khumbu yalikuwa yakiimarika kadri ya siku zinavyosonga. Ilifikia kipindi alikuwa anakuja Ijumaa na kuondoka Jumatatu. Yaani weekend yote anaimalizia ghetto. Infact mwanzoni mwa penzi letu anaweza kukaa hata wiki nzima getoni. Alikuwa anapenda sana hizi movie za kinaijeria, hivyo kutwa nzima anabadirisha chanel tu mpaka narudi jioni. Kabla hatujazoeana sana kila nikimhitaji nilikuwa namjulisha tu. Ikifika jioni wakati wa kufunga utamuona huyu hapa katia timu. Tukawa tena hatuondoki kwenye gari na jamaa. Tukifunga tunajizungusha zungusha town baadae tunapanda taxi kuelekea mjengoni. Kadri siku zilivyokuwa zinakwenda Khumbu hakutaka tena mambo ya sijui KFC au Mac Donald, au Deboneers pizza. Tulikuwa tunaingia supermarket tunafanya manunuzi na kwenda kupika nyumbani. Kama ni wali unaopikwa kibongo alikuwa anakula pia japo alikuwa anasema hapendelei mafuta kwenye wali. Wasauzi hawapiki wali kwa mafuta. Na ugali wao sio kama huu wa kwetu. Ugali wao wanapika kitu wanakiita putu, ni ugali ambao uko rough hivi, halafu wanaumiminia maziwa mtindi. So, nilimfundisha jinsi ya kupiga ugali na wali kibongo bongo na akawa nafurahia. Mambo ya debonners pizza ikawa mara chache chache sana, sometimes mimi mwenyewe ndio naforce kwenda kumnunulia pizza au KFC lakini yeye hakutaka tena. Alikuwa ananiambia unachokula wewe ndio nitakachokula.

Mapenzi yakawa yanaenda vizuri tu mpaka 2009 nilipoanza chuo. Kumbuka nilitoka Joburg nikiwa nimemaliza high school, na target yangu ilikuwa nisome chuo. Hivyo wakati nauza viatu nilikuwa pia naseti mipango ya kupata hela kwa ajili ya chuo. Halafu kazi ya kuuza viatu ilikuwa inanitesa sana maana kila siku lazima uamke saa 11 alfajiri. Sometimes usingizi umekolea kichizi lakini ndio hivyo lazima uamke ili upate hela ya kummiliki Khumbu. Hivyo niliona lazima niende chuo ili kuepukana na haya mateso ya kuamka usiku usiku.

Kule Joburg nilikokuwa nafanya kazi nilikuwa nimeshajenga connection na watu wazito wazito. Kuna jamaa mmoja alikuwa ana administer mfuko flani kwa ajili ya watu flani flani wenye uhitaji wa ufadhili kwa masomo ya chuo kikuu. Hivyo nikafanya mipango nikapata kiasi flani cha kuanzia chuo. Mipango yangu ya chuo nikawa namshirikisha, pamoja na masela wangu. Kweli 2009 nikafanikiwa kuanza chuo hapo hapo Durban. Durban ina vyuo vikuu vitatu. Kuna University of KwaZulu Natal, Durban University of Technology na Mangusutu University of Technology. Nilisoma kimojawapo ya hivyo vyuo. Naogopa kutaja jina la chuo ili watu wasiunganishe dots.

Siku ya kwenda kujisajili nilienda na mtoto Khumbu. Mtoto alikuwa anawaka, kapingilia pamba zimemkaa vyema, na ile shepu yake kila mtu jicho kodo. Maisha ya chuo yakaanza rasmi. Hata kule nilikokuwa naishi na masela nikahama, nikapata nyumba sehemu moja inaitwa Umbilo.

Turudi nyuma kidogo kabla ya maisha ya chuo.

Mapenzi yalipokolea, nikaanza kuweka na sheria zangu. Tukiwa pamoja alikuwa anapendelea kuzima simu. Halafu akiwa mbali na mimi simu yake ilikuwa iko busy muda mwingi. Nikawa namwambia mambo ya kuzima simu na mambo ya simu kuwa busy sipendi.

Kuna siku nilimwomba aje mjengoni lakini nilikuwa nimepanga kumbana kwa nini anazima simu na kwa nini simu yake iko busy sana. Kama kawaida akaitikia wito, akaja pale workshop akanisubiri mpaka muda wa kufunga ukafika. Siku hiyo kwa sababu nilijua inaenda kuwa siku ya shari nikamua tununue kabisa chakula badala ya kwenda kupika, tukapitia deboneers pizza, tukanunua pizza ya kutosha. Mambo ya kupika huenda yakasababisha asile maana huenda nikamwanzishia maswali na kupika kwenyewe kukashindikana.

Itaendelea..............SEHEMU YA TANO
 
Baada ya kununua pizza tukaelekea kituoni kwenda kupanda taxi ya kwenda mjengoni. Mpaka sasa masela wangu walishanizoea kuhusu kuvusha demu mara kwa mara hivyo wakiniona nimevusha walikuwa wanajiongeza tu kuwa huyu leo sio mwenzetu. Siku kama hii huyu jamaa tunayelala naye huwa hata haji nyumbani, huwa anaishia huko huko kwa masela wake, na baadae alihama kabisa hapo mjengoni hivyo hicho chumba ikawa nakimiliki peke yangu.

Tulipofika mjengoni tukaamua tuoge kwanza. Tulipomaliza kuoga tukafungua box letu la pizza tukaanza kula. Nakumbuka kipindi hicho Obama alikuwa kwenye kampeni za kinyang'anyiro cha kugombea urais, hivyo kila nikikaa sebuleni lazima ni-tune CNN kuangalia kampeni za Marekani. Tulipomaliza kula yeye akatangulia kuingia chumbani mie nilibaki kuendelea kucheck debate ya Obama na yule mpinzani wake sijui nani yule, huku nikiwa natafakari jinsi nitakavyoenda kuliamsha dude.

Baadae nikazama ndani nikamkuta keshaanza kupitiwa usingizi. Hapa nikawa napiga mahesabu kati ya kumla kwanza ndio mahojiano yaanze, au mahojiano kwanza kisha namla. Uamuzi niliouchukua ni kumla kwanza kisha mahojiano maana niliona naweza kuanza mahojiano tukaishia kuvurugana na tunda nikanyimwa. Acha kwanza nijipigie mapema ili hata tukizinguana iwe tayari sina cha kupoteza. Basi nikaingia kwenye duveti, nikalala kwa nyuma yake yaani akawa amenigeuzia matako.

Nikaanza zile chombeza za kutaka kula, akajiongeza akanigeukia, romance zikaanza, mchezo ukapigwa. Kama nilivyosema Khumbu alikuwa ananipa kiroho safi nasuuzika na nafsi yangu. Style zote anazimudu vyema huyo mtoto. Kuna wanawake wengine, tena wengi tu huwa hawawezi kukatika ukimuweka style ya mbuzi kagoma kwenda. Hata mademu wa kibongo hii style huwa hawawezi kukatika, huwa wanatenga tu halafu wewe mwanaume ndio unahangaika kupiga nje ndani lakini Khumbu alikuwa anakatika kwa hii style. Yaani atazungusha kiuno huku anafanya kama anaruka ruka utadhani anaumwa siafu hivyo anafanya kurukaruka ili kuwakung'uta wadondoke. Kwa kweli huyu mtoto alikuwa ananikosha sana.

Kuna situation moja nilishawahi kutoa chozi siku nilipomuona ana jamaa mmoja wanatoka supermaket wamezungushiana mikono viunoni huku wakitembea taratibu wanakula vitu flani walivyotoka kuvinunua. Anyway tuendelee, baada ya gemu kuishi nikawa tena nimepotezea kumwuliza hayo niliyokuwa nimepanga kumwuliza. Niliona nitakuwa naharibu atmosphere tamu tuliyo nayo baada ya game. Hivyo niliamua acha tulale nitamwuliza kesho asubuhi. Asubuhi kama kawaida tulichelewa kuamka, hivyo nyumba nzima tulibaki wawili tu, wengine wote tayari walikuwa wamewahi kwenye mihangaiko yao. Alipoamuka akaenda bafuni kuoga. Akiwa bafuni nilichukua simu yake na kuiwasha. Nakumbuka ilikuwa sumsung ya button.

Enzi hizo smart phone zilikuwa bado za button, hizi screen touch zilikuwa kama bado vile. Simu zilizokuwa zinabamba enzi hizo kwa South Africa ni blackberry, sijui kwa bongo ilikuwa ni simu gani lakini kwa Sauzi ilikuwa ni blackberry na application yao ya BBM. Hivyo nikachukua simu yake nikaiwasha nikaanza kupitia kila msg. Kwenye msg sijakuta msg yoyote ya ajabu ila kwenye call register kuna namba moja niliikuta imejirudia sana. Nikaichukua hiyo namba nikasave kwenye simu yangu. Hiyo namba niliitilia mashaka, haiwezekani iwe imejirudia kiasi hicho. Aliporudi kutoka bafuni nikalianzisha.

Moja kwa moja nikampiga swali: hii namba ya nani? Kwanza akapanic akaanza kuniuliza umepekua simu yangu? Kwa hiyo badala ya kujibu akaanza kulalamika kwa nini nimepekua simu yake. Nikamwambia asihamishe magoli, atoe jibu, huyu mwenye hii namba ni nani? Akaniambia kabla hajanijibu inabidi kwanza niifute hiyo namba na nisijaribu kamwe kumpigia simu huyo mtu. Na mimi nikajifanya kidume, nikasema namba sifuti na usiponiambia huyu mtu ni nani nitampigia aniambia yeye ni nani kwako? Dah! Khumbu akawa kama kapagawa, akaanza kulia. Akasema please Konda msafi usimpigie huyu mtu ataniua na wewe atakuua. Dah kusikia hayo maneno ikabidi nitulie nishushe munkari kwanza. Khumbu akaendelea kulia na kuniomba niifute hiyo namba na nisithubutu kumpigia huyo mtu.

Itaendelea..........SEHEMU YA SITA
 
Mkuu kama ni uongo potezea. Unanivunja nguvu kuendelea kuhadithia hiki kisa.
Vunga mwana, we endelea kushusha Nondo tu. Hao wazulu na xhosa nasikia michosho sana.

One time natoka zanzibar narudi dar kwenye meli nilikaa na dada wa kizulu tukaongea sana, ila nilichogundua toka kwake ni kuwa wanajua kupenda ila kukushindilia bisu la kifua ukiwazingua ni simple sana.
 
Tuendelee

Baada ya kumuona Khumbu anaendelea kulia huku akiniomba niifute hiyo namba mbele ya macho yake na nisijaribu kuipiga in case nitakuwa bado nimeikariri niliamua kuifuta, na yeye akashuhudia kuwa nimeifuta. Baada ya kuifuta hiyo namba akaanza kupack vitu vyake kwenye mkoba akiwa hanijibu chochote ninachomwuliza.

Baada ya kumaliza kupack vitu vyake, aliniambia maneno machache tu "Konda msafi naomba nauli niondoke". Mzee nikagoma kutoa nauli. Basi akafungua mlango akaondoka. Baadae na mimi nikaingia bafuni nikaoga nikaelekea workshop. Hata hamu ya chai sikuwa nayo tena. Nikiwa kwenye taxi naelekea workshop nilijaribu kumpigia simu lakini hakupokea. Roho ilianza kuniuma kwa nini najivurugia mambo mwenyewe, kwa nini nisingeendelea kujifanya mjinga tu ili niendelee kufaidi penzi la Khumbu? Anyway nilianza kuwaza mengi.

Nilipofika kule workshop nikawahadithia jamaa zangu yaliyotokea kati yangu na shemeji yao. Jamaa waliposikia kuwa mzazi mwenzie na Khumbu ni mmiliki wa taxi (daladala) wakaniambia mzee hapo umeingia cha kike. Wamiliki wa taxi ni ma-gangstars, hapo ni chuma mkononi. Ni kati ya industries in South Africa zinazoongoza kwa kuuana kwa risasi. Wamiliki wa taxi kuchapana risasi ni swala la kawaida kabisa. Siku ile ya kwanza Khumbu alishawahi kuniambia babe father wake ni mmiliki wa taxi. Kwa hiyo jamaa wakaconnect dots kuwa mwenye ile namba lazima atakuwa ni baba wa mwanae.

Itaendelea.........SEHEMU YA SABA
 
Tuendelee
Baada ya kumuona Khumbu anaendelea kulia huku akiniomba niifute hiyo namba mbele ya macho yake na nisijaribu kuipiga in case nitakuwa bado nimeikariri niliamua kuifuta, na yeye akashuhudia kuwa nimeifuta. Baada ya kuifuta hiyo namba akaanza kupack vitu vyake kwenye mkoba akiwa hanijibu chochote ninachomwuliza. Baada ya kumaliza kupack vitu vyake, aliambia maneno machache tu "Konda msafi naomba nauli niondoke". Mzee nikagoma kutoa nauli. Basi akafungua mlango akaondoka. Baadae na mimi nikaingia bafuni nikaoga nikaelekea workshop. Hata hamu ya chai sikuwa nayo tena. Nikiwa kwenye taxi naelekea workshop nilijaribu kumpigia simu lakini hakupokea. Roho ilianza kuniuma kwa nini najivurugia mambo mwenyewe, kwa nini nisingeendelea kujifanya mjinga tu ili niendelee kufaidi penzi la Khumbu? Anyway nilianza kuwaza mengi.
Nilipofika kule workshop nikawahadithia jamaa zangu yaliyotokea kati yangu na shemeji yao. Jamaa waliposikia kuwa mzazi mwenzie na Khumbu ni mmiliki wa taxi (daladala) wakaniambia mzee hapo umeingia cha kike. Wamiliki wa taxi ni ma-gangstars, hapo ni chuma mkononi. Ni kati ya industries in South Africa zinazoongoza kwa kuuana kwa risasi. Wamiliki wa taxi kuchapana risasi ni swala la kawaida kabisa. Siku ile ya kwanza Khumbu alishawahi kuniambia babe father wake ni mmiliki wa taxi. Kwa hiyo jamaa wakaconnect dots kuwa mwenye ile namba lazima atakuwa ni baba wa mwanae.
Endeleza fupi sana..
 
Back
Top Bottom