kabwigwa
JF-Expert Member
- May 17, 2014
- 933
- 1,540
Haha nina Demu wa Kizulu anaishi InandaNitaendelea baade wakuu. Nina mafua hatari yamenibana, sijui korana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha nina Demu wa Kizulu anaishi InandaNitaendelea baade wakuu. Nina mafua hatari yamenibana, sijui korana.
Una laana na hizi story za bakora?😄Nasubiri muendelezo
Kunywa tangawizi kali sana na asali kidogo changanyaNitaendelea baade wakuu. Nina mafua hatari yamenibana, sijui korana.
Wale ni mahomeboy pia ni ndugu. Mizinguo ni ile midogo midogo si unajua tena maisha ya utafutaji.Washkaji zako nimewakubali,ni watu wenye upendo inaonekana mliishi vizuri maana sijaona mahali umeandika kua kuna siku mlizinguana,
Respect.
Hapana mkuu huhitaji kulipia. Nimeona tu nishare na wana haya maisha ya kimapenzi niliyopitia na huyu mtoto mzuri.Endelea bana, au mpaka tulipie 🤣🤣🤣🤣
NakubaliWale ni mahomeboy pia ni ndugu. Mizinguo ni ile midogo midogo si unajua tena maisha ya utafutaji.
Yeah, hapa nakunywa chai full ndimu.Kunywa tangawizi kali sana na asali kidogo changanya
+27728856.. malizia za mwisho.Naomba namba ya Khumbu tafadhali.
😂😂 Ushindwe weeh..Sina laana huko.Una laana na hizi story za bakora?😄
Huna hata ka picha kake maana nikimtengenezea imagination hapa natoka bilabila+27728856.. malizia za mwisho.
Mungu akuponye..urejee na muendelezoNitaendelea baade wakuu. Nina mafua hatari yamenibana, sijui korana.
Picha ninazo mkuu. Siwezi kukosa picha zake.Huna hata ka picha kake maana nikimtengenezea imagination hapa natoka bilabila
Asante, niombee.Mungu akuponye..urejee na muendelezo
Sawa mkuu. Acha niwape arosto. Ila si unajua ukiishi maisha ya Dizonga lazima kila kitu ukipeleke mchakamchaka. Kule unatembea na vitendea kazi mgongoni.konda msafi pumzika huu uzi unaukimbiza tupe arosto hata ya masaa manne au matano.
Fanya utupie hata moja boss,, ziba hata sura tu tuone sehemu zinginePicha ninazo mkuu. Siwezi kukosa picha zake.
Kuna moja yupo kwenye swimming pool acha nione namna ya kuitupia hapa.Fanya utupie hata moja boss,, ziba hata sura tu tuone sehemu zingine
tupiaa mzee babaKuna moja yupo kwenye swimming pool acha nione namna ya kuitupia hapa.