dudupori
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 1,795
- 1,914
Mwamba tupia picha hiyo, stori imekaa njema
Kuna moja yupo kwenye swimming pool acha nione namna ya kuitupia hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna moja yupo kwenye swimming pool acha nione namna ya kuitupia hapa.
Natupia mzee. Najaribu kuiblur sehemu ya uso ili masela wa Durban wasimtambue.tupiaa mzee baba
Wewe broo ni noma yani nineacha kumsikiliza prof lecture room ila nasoma story yako
Hamna kitu kama hicho. Hadi chuoni watu wanakuja na Kanga. Kuna lecturer mmoja alikuwa anavaa lubega ya kanga kama mmasai.Labda alikuwa sangoma maana kwa kule wanaovaa kanga masangoma
Poa mkuu.Tupia fast hata ikiondolewa tutakuwa tushamwona
Tupia tu mods hawana neno kabisaKuna moja yupo kwenye swimming pool acha nione namna ya kuitupia hapa.
Kuna moja yupo kwenye swimming pool acha nione namna ya kuitupia hapa.
Baada ya kuona ndugu zako wameingia kwenye ishu ya kusukuma kete na kupata pesa nyingi vipi hukutaka na wewe kuungana nao kama ulivyofanya kwenye kuuza viatu ili mpige pesa pamoja na ikiwezekana na wewe umliki apartment yako umnyang'anye khumbu mazima jamaa aliyekuwa anamiliki Taxi?Waulizeni mods kama inaruhusiwa kutupia picha ya mtu hapa. Kuna moja nataka niitupie yupo na bikini tu. Tulikuwa kwenye swimming pool. Wale masela niliokuwa naishi nao waliingia kwenye business ya sembe hivyo hela ikawa sio shida tena tukahamia kwenye nyumba bab kubwaa yenye swimming pool na kila kila kitu ndani, maeneo ya watu wanene.
Cheza kama Bruno Fernandes tupe assistKuna moja yupo kwenye swimming pool acha nione namna ya kuitupia hapa.
Na utakua wa kwanza kufa kama wachangiaji wa uzi huu tunaenda motoniNgoja ni subscribe kabisa .....nikae front page
Huyu jamaa sio muongo...ila anaweka sana Madoido kwenye story si unajua waandishi tena.....Kuna kila dalili ya uwongo.. maneno mengi sana!
Mkuu umepiga double shift? So umekesha hapo Ikulu Jana?Inakuja wakuu
Jamaa ananiumiza sana ....nimetumikia taifa usiku mzima..nimelala kidogo tu notifications za uzi wake asubuhi zimeniamsha.Mkuu umepiga double shift? So umekesha hapo Ikulu Jana?