Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Hapo ndio unataka kuharibu sasa. Mkuu hamna mtoto humu, we tiririka tuu, stori bila kugusia hayo maeneo haitanoga. Endelea ivoivo ili iwe na package ya kutosha.

Mbona LwandaMagere alikuwa anaweka mpka scene za shipa za kimkakati na ndio zilizonogesha mkasa mzima.
 
Binafsi nlikwazika [emoji849], maana inabadilisha hata dhamira ya uzi.

Ukifika vipande kama hivyo unaweza sema tu kuwa tukafanya yetu, hapo inaeleweka, sio kuanza kueleza mambo ambayo hayakuwa na umuhim

Kumbuka kumbukumbu zitabaki milele hapa hata ukiwa tayari usharudi kwa Muumbaji Mungu mfalme.

Binafsi nimefurahishwa na kujitambua kwako, na kuwataka radhi wafwatiliaji wa uzi wako huu mzuri.
 
Nimekuelewa mkuu, niwie radhi. Na pia naomba kwa leo tuishie hapo maana hata mimi akili imevurugika kidogo, nimekosa amani ya moyo. Tutaendelea kesho panapo majaliwa.
 
Nimekuelewa mkuu, niwie radhi. Na pia naomba kwa leo tuishie hapo maana hata mimi akili imevurugika kidogo, nimekosa amani ya moyo. Tutaendelea kesho panapo majaliwa.
Mnaona sasa? Sasa leo sijui tutasoma nini hapa, mkuu ukikaa vizuri tubariki na episode kadhaa hata za kufungia siku baadaye baadaye huko.
 
Tumetoka kwenye story ya khumbu tunaingia kudanganyana sasa

Mimi binafsi mtanange wa story naishia episode hii
Wenzangu endeleeni
We potea tu huna faida yeyote tuache na khumbu wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…