Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Mkuu naomba link ya huo uzi wa kukataa mtoto.Yule wakukata mtoto kanilaza saa 8 huyu naye wa leo kanishindisha jumuiya hata chai sijanywa konda msafi
Halafu utasikia wapuuzi eti watanzania hatupendi kusoma