Mkuu unakwama...ukitaka kuelezea kitu elezea tu..umeahidi halafu unagairi..haina maana sasa hii story yako....bora usingesema since day oneKipengele cha 071 naachana nacho rasmi. Naomba nieleweke kuwa hakikufanyika kama nilivyoelezea toka awali. Hivyo sioni sababu ya kuelezea in details ilikuwaje au ni mazingira gani yalimfanya mpaka Khumbu akaridhia kutoa 071.
We mzee upo [emoji1]Kaa kwa kutulia wewe punguza genye, umeitwa hapa? Kama unakwazika chapa lapa, wanaume hatuko hivo mzee yaani huna tofauti na matako ya khumbu.
Ndegelec.
We mchimbachumvi usituharibie Uzi hujaitwa hapa Wala huchangii hata sumni.Mungu
Watu tusiojulikana tutakushughulikia .Mkuu unahatarisha usalama wangu humu[emoji29] naomba mods waniongezee ulinzi kama hutaelezea hiko kipengele hali ya usalama wangu hapa itakuwa ndogo sana kaka.
IlaWatu humu Jf wanavituko hata km una stress zinakuishaMie baada ya kusikia kuwa kipengele cha tigo ni rasmi sasa hakitazungumziwa tena![emoji1][emoji1][emoji1]View attachment 1701547
Khumbu Shunie...[emoji847][emoji847][emoji847]
Acha porojo wewe,kaa kwa kutulia..nyeto haijawahi kuwa kisababishi cha ukosefu wa nguvu za kiume.Nashangaa mnaninyoshea kidole kanakwamba mimi ndo nlikuwa namfanya khumbu awe hayupo active sana kwa konda msafi
Seems watu humu ndani mnapenda sana uzinzi si wanawake si wanaume, sasa jamaa akielezea xxx kwenye uzi mnafaidika nini kama sio kuchukua sabuni na kufanya yenu? Kesho mnakuja na nyuzi ati nguvu za kiume zimekata,
Vijana acheni ngono haina faida yoyote ni kujilisha upepo.
Kipengele cha 071 naachana nacho rasmi. Naomba nieleweke kuwa hakikufanyika kama nilivyoelezea toka awali. Hivyo sioni sababu ya kuelezea in details ilikuwaje au ni mazingira gani yalimfanya mpaka Khumbu akaridhia kutoa 071.
Hamna mkuu Khumbu angekuwa bongo ni mke kabisa wa kutupa ndani,alidumu na mwana balaa. (Japo sio muumini wa kuoa)Woyoooooo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Story zangu hizi ... Mleta thread upewe ulinzi tafadhali ....
Halafu Kama nimeanza kujikuta nam-crush Huyo khumbu [emoji16][emoji16][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Ni bora ukitumia tafsida ila sio kuchuja matukio muhimu kama hayo,Kipengele cha 071 naachana nacho rasmi. Naomba nieleweke kuwa hakikufanyika kama nilivyoelezea toka awali. Hivyo sioni sababu ya kuelezea in details ilikuwaje au ni mazingira gani yalimfanya mpaka Khumbu akaridhia kutoa 071.
Hapana uzi wangu wa kwanza n ule wa kulana kimasikhara,lkn kusoma nmesoma nyingi sanaKwa iyo umepata id kupitia uzi huu
Yes bossOct 16, 2020