Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Wewe dogo hivi una adabu kweli?

Tutakuja kukupaka wese shauri yako
 
Pale unaposikia kipengele cha 071 kitarudishwa
 
Konda Kati ya vtyu utafanya watu tufrah na nafsi zetu picha ya khumbu utkua umetish xna shakazulu
 
one man down i repeat one man down is Eagle2 305 army one man is down copy.
[emoji23][emoji23]
 
konda msafi hebu tueleze ukweli kua hiyo episode inayofuta unatupia leo saa ngapi? au kama i kesho useme. Hivi sasa ni saa nne karbu na nusu usiku, tangu alhamisi nimenuniwa na wife kwasababu ya kushikilia simu masaa yote nikifatilia huu uzi. Nimeshaamua wikiend hii siongei na simbembelezi boya yoyote mpaka nione mwisho wa uzi....sasa usinihuzunishe nimenuniwa na episode hakuna
 
Hatusamei pimbi wewe
 
Ja
Angekuwa binti wa kichaga wallahi angezinyofoa hizo pumbu maana wanazivuta kama choke ya generator.
Wewe jamaa mi mjInga sana,Mimecheka sana kuna dada yangu hapa wa kichanganimemwambia tusi alilikupa hatari
 
Kaz
Kazingua sana, mimi nilipofika hapo nikaruka zangu
 
Huna ujualo we nyamaza tuu. Senzy typ

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…