Maya Angelou
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 1,086
- 2,576
Wewe jamaa umenichekesha sana. Kumbe hata hii miradi inayoanzishwa na serikali huwa haiishi kwa sababu ya nature yetu wabongo? Hahahahaha! Duh! Hata hii miradi ya awamu ya tano ya jiwe nayo haitaisha sio?
Kifo cha khumbu alichanganya mabwana zaid ya wawili na wote wakawa wanamgharimikia siku akawagonganisha wakachomana visu uko durban sasa washkaji wa uyo jamaa alieuwawa wakaamua wamtaitishe khumbu wakamfanyia umafia.Mwendelezo
Kwa sisi tunaounga dot ipo hv hii stor ni km ishasimuliwa yote khumbu alikuwa kicheche mpenda pesa na sio malaya gari alioenda nayo ni ya moja wa masponsor wake khumbu alimpenda sana mshikaj ktk damu na si pesa issue ya .madawa ya kulevya khumbu alijua pia jamaa io biashara alifanya bisha nilete ushahid kuhisu kifo cha khumbu ni utata na jamaa hana jibu maana amerefer kuwa alikuwa bongo baada ya chuo kuisha
Ok rip kwake but tutupie picha basi tumuone kaka si ulituahid mwenyewe lakinWanaouliza kitu gani kilisababisha kifo cha Khumbu. Jibu lake ni hili: Urembo wake ulimponza. Alianza kumdate Mayor wa jiji la Durban.
Jamaa alimpata mrembo kwa shilingi 5000 tu ya Bongo. Mademu wa South basi wepesi sana.
Afu nimeshangaa rand 400 Sawa na 80000 tu. Jamaa anasema ana hela sana siku hiyo hadi anaona hela inatosha kumdaka Khumbu [emoji23] [emoji23]
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kweli mwanangu sterling hafi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji56][emoji56][emoji56]
Haiwezekani starring akafa kizembe hivii!?
Mimi sielewi.. Hivi Unajua wengine ulevi Wetu Ni vitabu na Story?? Nitakufuata mpaka PM Ni Bora uandike Mara moja kwa wiki hata ikiisha wakati JPM anamaliza madaraka yake sawa tuu...Nisamehe boss. Sikutarajia kama hii stori ingekula muda wangu hivi. Toka Alhamis naiandika tu. Nilidhani itakuwa ni jambo jepesi la kuandika masaa machache na kuisha. I'm sorry man.
Kweli kabisa na nikikupenda ndo Kama Jamaa yetu siangalii kushoto Wala kulia.... Natangaza Rasmi humu ndani.. Yna2 ndiyo mpenzi wanguUnasema kweli??
Huyu ndiyo Maya Angelou hataki utani.Umetukosea mkuu japo sio amri ila jua umetukosea
Malizia mkia kwa muda wako...sio siri am hurt[emoji20]na kwa kawaida ningekuwa nakujua ningekutoa ngeu leo[emoji35]shukuru sikujui
Tena ilikuwa pesa nyingi sana. Exchange rate ilikuwa 1 rand = 200 TZS.Sasa ukiwa mwanafunzi miaka ya 2008 si pesa nyingi hiyo [emoji23][emoji23]
Hii ndiyo stori tuliyokuwa tunaitaka sasa!Ona hadi mimi umeniibua kutoka mafichoni!Wanaouliza kitu gani kilisababisha kifo cha Khumbu. Jibu lake ni hili: Urembo wake ulimponza. Alianza kumdate Mayor wa jiji la Durban.
HahahhahSasa sisi picha ya malovebite yako ya nini? Sisi tuwekee picha ya Khumbu tu
Sasa mkuu muda wote huo unaotumia kujibu hizo comments si ungekua ushatupa muendelezo? Kiukweli umeharibu reputation yako nzuri uliyotumia muda kuijenga.Tena ilikuwa pesa nyingi sana. Exchange rate ilikuwa 1 rand = 200 TZS.
Naam Khumbu wangu.... Love you muchππππ Mupenzi Gdd Tech