Maya Angelou
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 1,086
- 2,576
Wewe jamaa umenichekesha sana. Kumbe hata hii miradi inayoanzishwa na serikali huwa haiishi kwa sababu ya nature yetu wabongo? Hahahahaha! Duh! Hata hii miradi ya awamu ya tano ya jiwe nayo haitaisha sio?
Umetukosea mkuu japo sio amri ila jua umetukosea
Malizia mkia kwa muda wako...sio siri am hurt[emoji20]na kwa kawaida ningekuwa nakujua ningekutoa ngeu leo[emoji35]shukuru sikujui