Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Ebu ngoja kwanza unakatishaje hivi ghafla
Bora usingesimulia mkuu ukiamua kuweka story yako weka yote
 
Nimesoma story yote, kabla sijafanya hitimisho, niulize, umejifunza nini, hasa wanafunzi waliopo vyuo?
 
Kwaiyo ata niki unsubscribe ? Maana najaziwa tu notification za coment tu hapa.
 
UZI UNA MENGI YA KUJIFUNZA HASA UKIANGALIA MWISHO WAKE.

Msikimbilie kumlaumu konda msafi naye ana majukumu mengine, japo mwisho unahuzunisha khumbu hayupo tena duniani.

Hapa ndo mjue maisha ya starehe yana mwisho wake, vyote ni ubatili mtupu, jiwekeeni hazina mbinguni hamtokaa mjute daima enyi kizazi cha nyoka [emoji236]
 
Aisee mtaalam upo mhandisi wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…