Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

@@konda msafi Mimi yale mawowowo ya wazulu ndo yananitoaga knock-out?
 
picha ikitupiwa humu,lazima wabongo watoe kasoro sana.

watakueleza mbona demu wa kawaida sana.

kuna mapimbi hayajui kutofautisha picha za Photoshop na zile za kupiga kawaida

kuna mademu n pisi kali sana,lakini ukimpga picha ya kawaida anaonekana wa kawaida

nakushauri konda msafi,usitupie picha,tuache tuendelee kutengeneza picha zetu vichwani,ndo tunaupata utamu wa khumbu
 
Nimejikuta nimeenda google kumsearch KHUMBU [emoji481][emoji481][emoji481][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482]
🤣🤣🤣🤣
 
Inaendelea,

Baada ya kumaliza kula akahitaji kwenda bafuni kwanza. Alipokwenda bafuni mie nikaingia chumbani kuangalia namna ya kukiziba hicho kidirisha japo hata kwa mabox. Kidirisha kilikuwa kwa juu sana, ni kama vile vidirisha vya cello (mahabusu). Ila sijawahi kulala lockup au hata kukamatwa tu na polisi. Msije mkaona kwa sababu naongelea kidirisha kama cha lockup mkadhani yalishanifika.

Haya tuendelee, nikawa natafakari nitapazibaje hapa, maana hata kama nitaweka box, hilo box nalingongeleaje. Humu ndani hatuna nyundo wala misumari, basi nikakata shauri, acha niachane nacho. Kidirisha chenyewe kipo juu sana. Hata kama mtu anataka kuchungulia inabidi awe amedhamiria hasa, maana itabidi apande juu ya kitu flani ili kupafikia ili aweze kupiga chabo.

Sana sana labda ni makelele tu ya mahaba mtu wa chumba cha pili anaweza kuyasikia kupitia hapo kwenye kidirisha, hahahaha! guess what? Nilipigwa chabo ile mbaya kupitia hicho kidirisha. Kumbe masela walikuwa wanakula deo live la x bila kiingilio. Masela siku moja tuko workshop walinifungukia wakanieleza kitu kitu tulichokuwa tunakifanya na Khumbu. Kuna hizi comments zao mbili walikuwa wanapenda kunitania kila wakikumbuka habari za Khumbu 1.

Wasema eti ninapomla Khumbu style ya kifo cha mende eti napanua matako kama vile nato.mb.wa mimi hahahahahaha! 2. Eti ninampomla Khumbu ile style ya mbuzi kagoma kwenda eti mkono huwa nauweka kiunoni kama kuongeza support, yaani najiwekea mkono kiunoni ili kutoa back up kwenye kupump hahahaha.

Anyway tuendelee, so nikaamua kama Khumbu atazingua kuliwa kidirisha kikiwa wazi itabidi nijaribu tu kumsomesha mpaka aelewe maana sina namna.

Khumbu akawa ametoka kuoga, akawa amejifunga kanga tu. Kumbuka niliwaambia huko nyuma Khumbu anazo kanga za kutosha tu. Alipoingia chumbani akawa amesimama huku anapaangalia dirishani. Mie nikadakia kabla hajasema chochote, nikamwambia, usihofu bhana, kidirisha chenyewe kipo juu sana, hakuna mtu wa kuhangaika kupanda juu kisa tu anataka kupiga chabo. Nikamuona ameelewa somo, akatoa kanga na kujisogeza kifuania kwangu.

Hiki sikutaka kukiongelea, ila acha niongee kidogo. Nilipokuwa Johannesburg nilikuwa mtu wa gym. Kwa hiyo nilikuwa na kifua flani cha kimazoezi na six packs fresh tu. Hivyo Khumbu alikuwa anapenda sana kunilalia kifuani. Basi alipojaa kifuani zikaanza romance za uchu, maana nilikuwa na hamu naye kinyama, pia hata yeye alionekana ana hamu kinoma na mimi,maana alikuwa ananipiga deep kiss ya hatari.

So tukafanya romance za kutosha mpaka wote tukawa tuna hitaji sasa kufyatuana tu. Dah! Khumbu aliinama na kuushika ukuni kwa mkono wake mlaini wa kushoto na kujilenga, nikashindilia deep inside. Mechi ikapigwa ikaisha, tukaenda kunawa bafuni tukarudi kulala/kupumzika.

Itaendelea..
 
IMG_2619.JPG
. Imekuja milima tu kubabeki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji482][emoji482][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481] waiter niongezee Konyagi kubwa #Khumbu ila jamaa ulikuwa unafaidi sana, nawawazi hawa Khumbu wetu muzungushanee weeee ndani kama wahindi vile, mara kojoleo linyweee kwa maudhi mpaka mission inakuwa possible unajiapiza si rematch tena [emoji481][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481]🤣🤣🤣🤣[emoji481][emoji481][emoji481][emoji482][emoji481][emoji481]
 
Nataka niende haraka haraka ili hiki kisa nikimalize. Maana hiki kisa kilijiri kutokea 2008 mwezi wa pili au wa tatu hadi 2012 October nilipoamua kurudi nyumbani baada ya kuona nitakufa bure kisa Khumbu. So, nitakuwa naongelea matukio ya muhimu tu. Naomba niyapange hapa haya matukio ili kama kuna tukio nitalisahau mnikumbushe.
Matukio ni kama ifuatavyo.
1. Nilihama kule kwa masela baada ya chuo kuanza chuo, hivyo nilifulia ile mbaya
2. Baada ya kuanza chuo penzi letu liliyumba sana
3.Kuna siku nilimfukuza Khumbu ili nimkamate nimrudishe ndani nimpige miti nikiwa na boxer tu, nilikuwa kama akili zimeniruka.
4. Kuna siku Khumbu nimempanga nije nimle, hela niyokuwa naitegemea kumkirimu masela wakapita nayo, maana nilianza kukaa gheto na masela mavi.
5.Kuna siku Khumbu alitaka kunipeleka polisi baada ya kumpa kibano na matusi juu.
6. Kuna siku Khumbu nilimkuta na mshikaji wanatoka supermarket nilidondosha chozi.
7. Kuna siku nilifanya jaribio la kumla 071 akaridhia ila nikashindwa mwenyewe.
8. Kuna sehemu nilipata kazi province nyingine nikamtumia nauli Khumbu aje ili tufanye yetu, nauli akala na hakuja
9. Kuna siku nilipigiwa simu nikitishiwa kupigwa risasi.
10. Siku naondoka South Africa ilikuwa siku ya majonzi kwa Khumbu.
 
Back
Top Bottom