Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Mkuu huyu jamaa kwa maksudi anapotosha watu humu. Hakuna sehemu mimi nimesema Khumbu alikuwa anagongwa na madereva wa daladala. Khumbu alikuwa amezaa na boss wa daladala. Maana hiyo kama mtu anamiliki daladala kwa nchi kama South africa maana yake ana hela za kutosha. Sasa mtu ni mfanyabiashara wa daladala utasema hana hela? Jamaa kaniangusha sana. Anaharibu uzi wangu huyu mwamba.
Nimeshangaa sana umemuita mwamba,Huyu ni kima sio mwamba
 
Af hata sio mambo yangu hayo ya kupenda mzigo ulioninginia[emoji23][emoji23].

Sema dada zangu nyie "msio jaaliwa" tutavumiliana tu kikubwa uhai.
Sindo nawashangaagaa[emoji23]
Mnajikuta shekhe kipoozeo. Acheni kututengaa
 
Nataka kuanzisha hushtag ya #don't stress Konda msafi# maana huo muda anaowajibu nyie ni episode nyingine haya hata kama ni uongo si unajifunza kitu ni lazima iwe ukweli wewe mwenye unadanganywa na mkeo, mmeo,boyfriend,mchepuko, kiserengeti boy sembuse Konda msafi konda baba nasema chapa kazi (in jiwe voice) achana na watu wanaohangaika hii issue ni kweliii au laa
 
But still ni mayor... Haileti sense. Kabisa. Yaani mayor wa jiji la Durban akawe na chokoraa asiweza hata kujinunulia breakfast ya mama mtilie. Yaani mayor ana share dem na wauza mitumba? Yaani kibongo bongo ni mayor wa Dar ana share dem na wauza mitumba wa karume. Huku kapaki v8 lake. Kwanza huyo mayor anakutana wapi na kidemu kama hicho. Mayor wa jiji la Durban sio mchezo wandugu... Anyway watanzania tumezoea kudanganywa. Its ok
Una akili za kitoto cjui ushamba. Mi kuna mshikaji alikuwa anapiga demu mmoja na kiongoz mkubwa tu wa nchi hii. Tena huyo kiongozakampa huyo demu diplomatic pasport kabisa awe anasafiri muda wowote nae. Lakin mshikaji alikuwa anapiga tu. Kwenye mapenz hakunaga cha cheo chief.
 
Nimezaliwa dar na kukulia dar... Pia hv big exposure outside of Tanzania and African continent.. So usione kama. Nabahatisha. Tena mayor kwa nchi kama South Africa iliyo na high rate of ujambazi... Unadhani mayor atakuwa kama mayor wako akina masaburi au kimbisa. Stop joking na kufanya vitu rahisi rahisi. Eti mayor wa Durban ana share dem na wauza mitumba na madereva wa daladala
Mkuu kabla ya kupata hii exposure kwann usingejifunza walau matumizi ya alama za uandishi?
 
Nimezaliwa dar na kukulia dar... Pia hv big exposure outside of Tanzania and African continent.. So usione kama. Nabahatisha. Tena mayor kwa nchi kama South Africa iliyo na high rate of ujambazi... Unadhani mayor atakuwa kama mayor wako akina masaburi au kimbisa. Stop joking na kufanya vitu rahisi rahisi. Eti mayor wa Durban ana share dem na wauza mitumba na madereva wa daladala
Aisee, we jamaa hebu tulia.

Watu wameshare demu na Raia namba moja sembuse diwani
 
Halafu huyu jamaa anayejiita Hesabu900 ni bonge la mshamba. Mayor ni diwani tu (ward councilor). Na yeye ni binadamu kama wengine na anavutiwa na pisi kali pia. Mayor alikuwa anakuja workshop kupiga misele kama raia wengine tu japo alikuwa na body guard. Kwa hiyo pisi kali kama Khumbu akikutana nayo kitaa lazima aiimbishe. By the way South africa kuwa na gari sio issue, kila mtu mwenye kipato au mwenye kazi ana gari. Hata hao anaowaita wauza mitumba wa Karume wanauza mitumba huku wamepaki magari ya maana pembeni. Mwambieni aache ushamba, Khumbu kuwa na gari sio big deal, angeweza hata kujinunulia mwenyewe kama angetaka. South africa wanatengeneza magari na kuna hela ya kutosha mpaka vijijini huko. Huko vyuma havijakaza kama huku bongo. Kifupi South africa kuwa na gari sio issue. Karibia kila familia ina gari. Hiyo exposure anayoiongelea sijui ni ipi kama anaona mayor kutembelea V8 ni kitu cha ajabu kwa nchi kama South africa. Shame on him!
Meya mwenye Status kubwa ni yule wa Tamthiliya za kifilipino tu.
 
you made my day, umenichekesha sana leo, siijui sana port elizabeth ila nasikia kuna sehemu nyingi tu watoto wanakuwepo, yan bado lile swala la wababa kuwa na mitako mikubwa linanichekesha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😅
 
Mkuu huyu jamaa kwa maksudi anapotosha watu humu. Hakuna sehemu mimi nimesema Khumbu alikuwa anagongwa na madereva wa daladala. Khumbu alikuwa amezaa na boss wa daladala. Maana hiyo kama mtu anamiliki daladala kwa nchi kama South africa maana yake ana hela za kutosha. Sasa mtu ni mfanyabiashara wa daladala utasema hana hela? Jamaa kaniangusha sana. Anaharibu uzi wangu huyu mwamba.
Kweli kabisa chief
 
Back
Top Bottom