Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Endelea kuisikiliza nafsi yako, usifuate makelele ya nje kama jambo hili ni baya kwako usifanye, msimamo wako ulikuwa sahihi kutokuliongelea, shetani asikushinde kwenye hili.
Namwunga mkono ndugu j wa nmb simama na kilicho right hata kama uko pekeyako.
Wee nae kondoo tu. Walokole huu uzi hauwahusu...

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Konda na Wewe sasa hueleweki.

Topic inazungumzia mapenz, Mwanzo hadi mwisho. Anayekuja ku soma uzi wa mapenz ategemee nini sasa zaidi ya kukutana na mambo ya mapenzi.

Sasa, ww sijui unakwazika nini hasa? Yaani ishu ya mapenz unataka uzungumzie mpira badala ya mapenzi?

Topic ni ya mapenz, ukizungumzia mapenz unakuwa umemkwaza mtu? Huoni kutokuzungumzia mapenz kwenye mada ya mapenz ndo utakuwa umewakwaza wasomaji?

Halafu, hii forum tena tupo anonymous mtu akiona hii topic inamkwaza si anaenda kusoma uzi za jukwaa la siasa, ama historia? Kwa nn aje akwazike na mapenz kwenye topic ya mapenz?

Ingekuwa topic ya mpira ndo unazungumzia mapenz ndo ungejisikia vibaya labda kidogo!

TULETEE story acha uboya! (Sijakutukana nimekupa live tu kama mwanetu)
Uko sahihi mkuu
 
Huu uzi Ni mtamu sana ila kwasasa unaanza kupoteza Radha kutokana na comment Ni nyingi kuliko story yenyewe hadi inapoteza mtiririko wa mwanzo
 
yan kila nikisoma hii nakumbuka penz la mtoto alikuwa anasoma loyola alikuwa msambwanda wa hatari ukipita nae ubungo kwa miguu utapata tabu sana kipindi hicho nipo mkoani nilikuwa namfuata dar naish nae kinyamwezi alikuja kulizima penz kimasihara sana iliniuma *****, siji kusahau, mtoto alikuwa mtamu sana daaah kala sana hela zangu za loans board saivi nazilipa mwenyewe....Yule angenikuta kipind hiki ningemvuruga sana..nilimla sana ila naonaga kama haikutosha...
Ulikuwa unamdinya mwanafunzi prof?
 
Mkuu unahatarisha usalama wangu humu[emoji29] naomba mods waniongezee ulinzi kama hutaelezea hiko kipengele hali ya usalama wangu hapa itakuwa ndogo sana kaka.
Hao uliowaomba ulinzi na wao wanakisubiria hicho kipengere sana.
 
Back
Top Bottom