Jinsi Marekani ilivyoizuia China ili Israel ifanikiwe katika shambulizi la vifaa vya mawasiliano (pagers)

Jinsi Marekani ilivyoizuia China ili Israel ifanikiwe katika shambulizi la vifaa vya mawasiliano (pagers)

Tupo salama, hatuna uhasama nao.

Mchuma janga hula na wa kwao, waswahili husema hivyo.
 
Aisee interesting
Well said mkuu

Hujaacha kituu

And kwenye attack zozote duniani thing changing time by time ,now tunapigina Kitecnologia mkuuu.
And thinking of Our African nation need to change their mind from vita ya misituni to vita za kutumia maarifaa
La sivyo tutakoma

Marekani linapokuja maslahi yake atahakikisha anatumia wataalamu wake vyema .

Hadi sasa Hungary 🇭🇺 nor USA wamesema kituu wapo kimy tuu
 
Mimi sijakataa kuwa Israel ilikuwa hapo ila hoja yangu ilikuwa unafahamu mipaka ya ancient Israel ya miaka elfu 2 iliyopita?

Hivi tujiulize hivi jamii iondoke mahali ilipokuwa inaishi halafu ipite miaka elfu 2 irudi na kudai ni eneo lao, does this make sense kweli?
Waongo hao ardhi ambayo alienda Mussa sio Palestine, ni Yemen. Wanachimba kila siku kutafuta Mlima wa Temple Mount huko Israel, wala hawapati huo mlima, sababu upo Yemen.Yemen wapo Wayahudi mpa leo. We jiulize kuna bahari kutoka Egpty kwenda Palestine? sa Mussa alipita vipi bahari kama sio kuelekea Yemen.
Wanasingizia sasa hio Temple Mount ipo chini ya Masjid Al Aqsa 😄 Kwanza Jerusalem haipo kabisa katika Taurati walijuwa vipi hio Temple Mount ipo Jerusalem? Hio Jerusalem kuna milima pale? Wapi ipo milima wanaweza kutuonyesha ipo sehemu gani? Pale kwenye Masjid Al Aqsa kuna milima au uliwahi kuona milima ikawa chini ya ardhi 😄 Eti wanachimba kutafuta Temple Mount wakati kwenye history ya Taurati hakuna kabisa kitu kinaitwa Jerusalem.

Hawa vichaa sana we umeona akili za US na Israel ndio hizi mpaa Chocolate wanapandikiza maboom ili wawaue wa Rusi.
 
Mimi sijakataa kuwa Israel ilikuwa hapo ila hoja yangu ilikuwa unafahamu mipaka ya ancient Israel ya miaka elfu 2 iliyopita?

Hivi tujiulize hivi jamii iondoke mahali ilipokuwa inaishi halafu ipite miaka elfu 2 irudi na kudai ni eneo lao, does this make sense kweli?
Hai make sense!

Tuchukulie mfano mabudha waseme Tanzania ni ardhi yao walipewa na Budha miaka 2000 iliyopita na ushahidi ni maandiko yao ya kiimani ya kibudha.

Mimi sitoki! Nitafia kwenye hii ardhi.
 
Unafikiri kwa kufanya hivyo watamaliza tatizo? Au wanazidi kuongeza maadui?

Wanapoua watu 1000 ina maana familia za wahanga ni maadui wapya wa Israel

Israel hawataishi kwa amani hapo Mashariki ya kati miaka nenda rudi

Itakuwa ni mwendo wa familia za wahanga kulipiza visasi
Mwanzo ulianza vizuri kwakudai hauko na upande lakini sasa imeeleweka ok endelea zaid
 
Suala la Pagers ni sehem ndogo tu bado kuna KUBWA kuliko kuhusu apo lebanon wakiendeleza chokochoko Dunia ita simama #PrayforLebanon 😭😭
 
U
Kwa hiyo mkuu unataka kumaanisha hao watoto 5 wanaouawa kila siku ndio magaidi?
Najua kuwa hamas wanatafuta huruma ya uhali hadi wanatengeneza picha za watoto kujehuriwa kwa kupakwa tomato na majerahaya uwongo pili hamas wanarusha silaha wakijificha shule na hadi hospital na kambi za wakimbizi pia unajua hao hamas Oktoba 7 walifanya mauaji watoto na watu wazima zaidi ya watu 2000 shida ya gaidi hiyo Israel hana tatizo na palestinians anashida na magaidi hamas hezbulla houth na wengine wenye mrengo wa ugaidi
 
#Israeli media: Road 6 closed from Eyal Junction (near Qalqilya), North East of Tel Aviv, towards the south due to a rocket fired from #Lebanon
 
Hezbollah rocket Impact North of Tel Aviv

#Israeli media: Channel 12:

50 launches from #Lebanon so far, the latest targeting the central region, sending millions of #Israelis to shelters, causing 3 casualties .
 
Yemeni forces strike Israeli targets in Eilat, Tel Aviv using combat drones: Spokesman
 
#Lebanon: #Hezbollah:

With the call "Labayk Nasrallah"
(At your service, Nasrallah), we launched a salvo of Fadi 4 missiles at the Glilot base of the Military Intelligence Unit 8200 and the Mossad headquarters in the suburbs of Tel Aviv

The bombing of "Tel Aviv" comes within the framework of the "Khaybar" series of operations and in response to the targeting of civilians and the massacres committed by the enemy
 
For the third time in an hour..

The sirens sound again in the settlement of Metula near the border with #Lebanon.
 
Reuters, citing an #Israeli security official:

There have been no reports so far of clashes with #Hezbollah forces in the ground operation

The forces involved in the operation are of the type that carry out limited operations
 
Hezb-Allah launched a salvo of “Fadi 4” missiles at the Glilot base of the Military Intelligence Unit 8200 and the Mossad headquarters located on the outskirts of Tel Aviv.
 
Israeli security official Declines to say how deep into Lebanese territory troops are operating but says it is 'walking distance' from border — Reuters
 
Unaona ni sahihi Marekani inavyoiunga mkono Israel kuua watoto wadogo wa Kipalestina.

Ni sahihi kwa Marekani pale kwenye vikao vya UN Security Council (UNSC) inapotumia vibaya kura yake ya VETO kupinga Palestina lisiwe taifa huru duniani?

Wakati kwenye Vikao vya UN General Assembly (UNGA) mataifa mengi duniani kutia ndani taifa lako Tanzania linaunga mkono Palestina liwe taifa huru na kutaks kusitishwa kwa uvamizi wa Israeli kwenye eneo la Palestina
Kama magaidi wa kipalestina wanajificha kwenye makazi ya watu ambayo kuna watoto wadogo wa kipalestina ulitegemea hawatauwawa kwa kuwa silaha itachagua huyu gaidi iue yule mtoto imuache? Hamas walipoivamia Israel silaha zao zilichagua wakuua?
 
Back
Top Bottom