Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Atoe kutoka wapi kama hana?Atoe vyeti kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atoe kutoka wapi kama hana?Atoe vyeti kwanza
Kabisa. Daudi ajiuzulu tu na aanze kujipanga upya kimaisha. Akijiuzulu hakuna gazeti hata moja litakalomwandika. Unakumbuka jinsi ambavyo Rostam alikuwa anaanddikwa magazetini kila kukicha. Alipojiuzulu hakuna gazeti hata moja ambalo linashughulika naye. Daudi bado kijana mdogo (35 years). Anaweza kujipanga upya na akatengeneza maisha yake upya. Pia atakuwa amemsaidia sana Rais maana taswira inayojengeka ni kuwa Rais anampendelea kwa kuwa ni home boy, n.k. Huu ndo wosia wangu kwake.Duh, Kwa hiyo unamwambia mheshimiwa nae aondoke kwa staili hii!
THANA TU.Ila alikua anajua kiingredha lakini.
Nyerere aliwataka wakulima wote wakubwa wakabidhi mashamba yao kwa serikali. Akina Mwamindi na wenzie wakiwa wakulima wakubwa huko Iringa hawakupenda kufanya hivyo...mashamba yao makubwa na walikuwa wakiyategemea.Hiyo ilikuaje iweke tuijue
Kwani Bashite ana vyeti halali??Kihiyo alikuwa Na vyeti feki Na ndivyo vilivyomtoa ubunge
Hapo sasa ndio tuhoji au kihio alihukumiwa kwa sheria za malawi si tanzaniaKwani Bashite ana vyeti halali??
Hizi danganya toto ili kuwalinda wakuu Wa mikoa, wilaya na mawaziri!Sasa vyeti vya nini waliangalia ikiwa sifa kuu ya ubunge ni kujua kusoma na kuandika vyeti vya nini ikiwa vyeti ni sifa moja wapo ya kuwa mbunge mbona wabunge hawajakaguliwa sasa kama kuwa na vyeti feki au halali ndio sifa ya ubunge