Jinsi mbunge Ramadhan Kihiyo alivyojiuzulu baada ya kashfa ya kufoji vyeti

Jinsi mbunge Ramadhan Kihiyo alivyojiuzulu baada ya kashfa ya kufoji vyeti

CCM bila Aibu wanatetea vyeti Feki vya Daud Bashite ni bora watangaze kuanzia sasa kuwa ni ruksa kwa wakuu wa mikoa na wilaya kumiliki vyeti bandia watanzania wajue moja wapate kutoa maamuzi ya jumla.
 
Kugushi vyeti ni kosa la jinai ndiyo maana alienda kuomba Viza Ubalozi wa Uingereza wakamkatalia wakitoa sababu kuwa wamepata taarifa jina la kwenye passport yake ni feki.
Wazungu mbona wameisha mshitukia siku nyingi hata alipokuja mkuu wa World Bank walihakikisha haudhurii uzinduzi aliokuwa anaufanya boss wao pale Zanaki. Walimkaribisha DC wa Ilala siyo Makonda.
 
vilaza nyie na Team Mange...KIHIYO ALIVULIWA UBUNGE NA MAHAKAMA BAADA YA KESI ILIWASILISHWA NA MREMA CHINI YA UWAKILI WA LAMWAI...KAMA MNA USHAHIDI WA MTU MWENYE VEYTI FEKI NENDENI MAHAKAMANI NA MKISHINDA MHUSIKA ATAVULIWA NYADHIFA ZAKE .

BLAH BLAHH ZA INSTA HAZISADII...ANZENI NA KESI YA VYETI VYA MBOWE MBURULAZ NYIE
Meya wa Dar alishampeleka sehemu fulani amazing huyo Bashite wenu. Time will tell.
 
Wadau tangu tarifa itoke kuwa viongozi wa nafasi ya kisiasa sifa kuu ni kujua kusoma na kuandika, kwanini sasa mahakama ilimvua ubunge bwana kihio aliyeshinda nafasi ya ubunge Temeke mwaka 1995 ikiwa sifa ni kujua kusoma na kuandika?

kwanini walimvua nafasi yake kwa kosa la kudanganya elimu yake kwanini wasingempa adhabu nyingine ikiwa sawa na kufoji vyeti baadala ya kumvua ubunge bado nawaza tu
Kuna mambo mengine braza usiumize sana kichwa miaka 3 sio mingi ataondoka atakuja mwingine itabakia historia tu..
 
vilaza nyie na Team Mange...KIHIYO ALIVULIWA UBUNGE NA MAHAKAMA BAADA YA KESI ILIWASILISHWA NA MREMA CHINI YA UWAKILI WA LAMWAI...KAMA MNA USHAHIDI WA MTU MWENYE VEYTI FEKI NENDENI MAHAKAMANI NA MKISHINDA MHUSIKA ATAVULIWA NYADHIFA ZAKE .

BLAH BLAHH ZA INSTA HAZISADII...ANZENI NA KESI YA VYETI VYA MBOWE MBURULAZ NYIE
Kihiyo hakuwa mmakonde/mmakua kama aliyekuwa anatawala enzi hiyo. Hii ya Bashite ni kesi ya Damu nzito kuliko Maji.
 
Kwa sababu aligushi vyeti huyu mama ametuletea maigizo tu be hakuna la maana nadhani walikuwa wanasherehekea kuamzishwa Udom siyo vyeti feki
 
Meya wa Dar alishampeleka sehemu fulani amazing huyo Bashite wenu. Time will tell.
Itatoka amri hawataendelea Na hiyo kesi itafutwa kama wale wa Jamhuri walipoenda shule wakaambiwa waende na barua toka Wizarani, RaS na Necta wakaambiwa taarifa za exams result ni za mtahiniwa na Necta! Siyo rahisi hiyo kesi ya Meya itakuwa dismissed! Kote kulishatiwa STOP/UNTOUCHABLE!
 
vilaza nyie na Team Mange...KIHIYO ALIVULIWA UBUNGE NA MAHAKAMA BAADA YA KESI ILIWASILISHWA NA MREMA CHINI YA UWAKILI WA LAMWAI...KAMA MNA USHAHIDI WA MTU MWENYE VEYTI FEKI NENDENI MAHAKAMANI NA MKISHINDA MHUSIKA ATAVULIWA NYADHIFA ZAKE .

BLAH BLAHH ZA INSTA HAZISADII...ANZENI NA KESI YA VYETI VYA MBOWE MBURULAZ NYIE
Mwaka huu utabadilisha avatar utatuwekea mpaka ya mkweo..ushahidi gani sasa mbona alivamia clouds
 
Kihiyo hakuvuliwa ubunge alijiuzulu mwenyewe kati kati ya kesi kwa madai afya yake siyo ya kuridhisha nyie mmezaliwa lini mbona kizazi hiki kimejaa uongo au makusudi
 
Itatoka amri hawataendelea Na hiyo kesi itafutwa kama wale wa Jamhuri walipoenda shule wakaambiwa waende na barua toka Wizarani, RaS na Necta wakaambiwa taarifa za exams result ni za mtahiniwa na Necta! Siyo rahisi hiyo kesi ya Meya itakuwa dismissed! Kote kulishatiwa STOP/UNTOUCHABLE!
Kazi tunayo. Anyways, no situation is permanent.
 
Kihiyo hakuvuliwa ubunge alijiuzulu mwenyewe kati kati ya kesi kwa madai afya yake si nzuri nyie mmezaliwa lini mbona mmejaa uongo au makusudi
 
Back
Top Bottom