andjul
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 18,773
- 119,820
Nimeuliza majina halisi ya Mbowe maana mara kwa mara akitajwa DAB lazima Mbowe atajwe kwenye suala vyeti, kama Mbowe alifeli na anatumia majina yale yale sidhani kama ni kosaHicho si kigezo cha magufuli kumkumbatia Daud Bashite