Jinsi Muungano unavyoathiri Waislamu wa Tanganyika wakati wale wa Zanzibar wakineemeka


makufuli na ukristo wake aliwajengea waislamu misikiti, kikwete alijenga wapi?
 
Hivi na wewe kwa busara zako ulizopewa na Muumba unaamini kwamba asilimia 25 ya ajira wanapewa Wazanzibari?

Hebu punguzeni dhambi kidogo zungumzeni ukweli na kama hamuna taarifa sahihi basi bora kunyamaza
 
Waislamu wa Tanganyika wakitaka wale matunda ya uhuru wa Tanganyika, structure ya huu muungano lazima ibadilike au Muungano ufe. Otherwise watajikuta siku zote wamewekwa mtu kati na Waislamu wa Zanzibar na Wakiristo wa Tanganyika. Maana power iko kwa makundi hayo mawili.
 
Mkuu naunga mkono hoja. Hemu basi a
Hemu basi anza ili tukomboke
 
Kwanini wasihamie visiwani?
 
Kwanini wasihamie visiwani?
 

Hii mada Ni ya UDINI [emoji817] au wewe unadhani udini maana yake nini?
 
Ukiwaanzishia uzi ili kujua nao wanaathirika vipi itapendeza sana. Itatusaidia kuutazama upya muungano wetu.
Unaonekana tuu mbinafsi, huwezi kutaka amani na nafuu ya upande mmoja kwa kuacha kuzingatia upande mwingine kwa kigezo cha kuacha watu wengine wawasemee. Uzi wako umekosa mantiki kwa kitu kidogo tu, mtu anaweza asianzishe uzi mwingine, ila aka dump kila ulichoandika kwa sababu hiyo tu.
 
vipi Wakristo wa Zanzibar ?! Wao je hawajatengwa kama walivyotengwa "watukufu waislamu wa Tanganyika" ??

Waislamu hua ni walalamishi, complainers sana wataka upendeleo tu, wabinafsi na washari. Hii dini ya kuhaidiwa mabikra 72 hua ina matatizo sana.

Yani hapa mtoa mada anaona Waislamu wa Tanganyika wanaonewa ila kajivika upofu wa Wakristo wa Zanzibar ambao hata kuabudu wanakatazwa, haki ya kumiliki ardhi wamenyimwa, nafasi za ajira wanatengwa.
 
hawa wafuasi wa kuzawadiwa bikra 72 peponi hua wajinga sana
 
Sasa waislamu gani walalamishi, hawa wa Tanganyika au wa Zanzibar?
Maana mada inasema kuwa Waislamu wa Zanzibar wanakula shavu zaidi katka muungano kuliko wa Tanganyika
 
Sasa waislamu gani walalamishi, hawa wa Tanganyika au wa Zanzibar?
Maana mada inasema kuwa Waislamu wa Zanzibar wanakula shavu zaidi katka muungano kuliko wa Tanganyika
Waislamu wa Tanganyika wanalalamika, hivi mkuu umesoma andiko na hata haujaelewa na ni Kiswahili wakiandia kwa lugha ya malkia itakuwaje ?! Au na wewe ni mfuasi wa "munyazi mungu" unatetea tetea bila hoja. (Hii pia ni sifa kuntu ya wala tende na wanufaika wa bikra za peponi)
 
Ndio mana tunataka tuwe na nchi moja yenye serikali moja ili huu upuuzi unao uwaza mleta mada usiwepo.
Yes!. Muungano wa serikali Moja nchi moja ndio utaleta maana,sijui nini kinashindikana.
Kama kunakinacho shindikana then uvunjwetu haunafaida yoyote sanasana utakuja kuleta shida kubwa huko mbele.
 
Waislamu wanaomiliki uchumi ni waarabu na sio waislamu weusi kama wewe.
 
Uko sahihi.

Kiuchumi, majority ya waislamu wana hali mbaya zaidi
Bora Wakiristo angalau wingi wao katika ajira za serikali unawapa wao na ndugu zao unafuu mkubwa zaidi wa maisha, ikiwemo kukopesheka, bima za afya na pensheni
Mbona kila kitu unakizungumzia kwa muktadha wa ”DINI”?

Mimi ukoo wangu wenye nyumba zaidi ya 38 hatuna mtu anaefanya kazi serikalini hata Mwalimu kwetu hatuna mbona tunaishi maisha standard tu?(kwamba kila mtu ana uwezo wa kutatua changamoto zake za msingi)je!unaweza kunielewesha ni kwa namna gani mimi Mkristo nisiyekuwa na mtu serikalini ninavyofaidika na uwepo wao huko?though hawanijui?
 
Waislamu wanaomiliki uchumi ni waarabu na sio waislamu weusi kama wewe.
Jina lenyewe anajiita Kijakazi meaning "MTUMWA"waliompa dini wamempa mpaka jina!

Huyu muulize wale waislam wa tandale chanika na mbagala kuwataja kwa uchache ambao huenda kukopa unga kwa mangi wakristo pale wanapokwama wananufaika vipi na utajiri wa mtu kama Mohamed Dewj na Rostam Aziz?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…