Jinsi Muungano unavyoathiri Waislamu wa Tanganyika wakati wale wa Zanzibar wakineemeka

Jinsi Muungano unavyoathiri Waislamu wa Tanganyika wakati wale wa Zanzibar wakineemeka

Katika nchi hii, Muhimili wa Power upo katika makundi makubwa mawili. (a) Wakiristo wa Tanganyika (b) Waislamu wa Zanzibar.

Haya Makundi ndiyo makundi makuu yenye mamlaka za kisiasa hapa nchini.
Hali hii inawaathiri sana Waislamu wa Tanganyika , nitaeleza

a) Kutokana na kwamba kule Zanzibar Waislamu ni Majority, basi nafasi yoyote ya Uteuzi ktk serikali ya Muungano, kama mzanzibari ndiye atateteuliwa, basi kuna probability kubwa kuwa mtu huyo akawa Muislamu. Na hivyo basi wakishateuliwa kushika hizo nyadhifa Inakuwa ni vigumu sana kwa nafasi nyingine zilizobaki kuteua waislamu wengine wa Tanganyika kujaza au kuchukua nafasi hizo zilizobaki, Ili isije kuonekana teuzi zimelalia watu wa dini moja. Kwa hivyo basi, nafasi zilizobaki watateuliwa Wakiristo wa Tanganyika.
Chunguza teuzi nyingi za Serikali, hata serikali hii ya awamu ya Sita. Utaona wazi kuwa kama aliyeteuliwa ni muislamu, basi kunakuwa na uwezekano mkubwa wa mteuliwa huyo ni Muislamu wa Zanzibar badala ya Muislamu wa Tanganyika.

b) Tatizo hilohilo pia linajitokeza katika Ajira na Utumishi. Wazanzibari kwa mujibu wa Makubaliano ya kimuungano, wameshatengewa asilimia 25 za ajira zote za Muungano. Halafu asilimia 75 zimebaki kwa Watanganyika. Sasa huku Tanganyika maana yake ni kwamba Wakiristo wa huku na Waislamu wa huku na watu wachache wa dini nyingine ndo wanagombea asilimia 75 zilizobaki. Hii pia inawaathiri Waislamu wa Tanganyika kwa maana, HR Manager au mamlaka za ajira zinapoletewa requirement ambayo tayari 25% ni watu wa dini moja, Ni vigumu kudhani watakuwa malaika kuongeza namba ya watu wanaofanana na hao ambao tayari wameshalamba shavu. Watataka watu wa Imani nyingine ili kuoffset imbalance ya kiimani. Hapa ndipo Waislamu wa Tanganyika inapokula kwao!

KWA HIYO
1. Huu muungano, kwa namna Ulivyo Waislamu wa Tanganyika ni kama Pawns, ila Wakiristo wa Tanganyika na Waislamu wa Zanzibar ndiyo King Makers

2. Ipo haja ya kukaa mezani seriously na kuangalia aina gani ya Muungano tunayoitaka ( Kama muungano wenyewe unamake sense anyway), Na tukikaa Mezani tuzungumze Masilahi serious ya kila kundi, siyo habari za tumeoleana kwa muda mrefu. Mambo ya kuoa na kuolewa ni personal hayana maslahi mapana kwa Taifa.

3) Waislamu wa Tanganyika sasa nao waamke, waanze kudai uwakilishi zaidi serikalini, katika teuzi mbalimbali za kuhudumu serikalini n.k.
Inabidi wadai kunufaika ipasavyo na matunda ya uhuru (walioupigania sana wakati ule wa kudai uhuru) ikiwemo ajira, na utumishi wa ndani ya serikali
Unamfahamu Christian Ronaldo? Yule mchezaji anayecheza kule Saud Arabia?
 
Nakubaliama na wewe 100%. Hali ni mbaya zaidi ccm. Ukiangali structure ya uongozi ya ccm utaona nafasi walizonazo Waislam wa Zanzibar ni nyingi kuliko wale wa Bara. Na hii inatokana na kwamba ccm wenyewe wanataka Wazanzibar wawepo kwenye uongozi ambao automatic ni Waislam so inapokuja nafasi wapewe watu wa Bara, nafasi wanachukua Wakristu kwa zaidi ya 80%
Muislam wa Zanzibar na Muislam wa bara ni yupi muislam sana?
 
Angalia uteuzi ufuatao wa mamlaka ya Uthibiti wa Usafiri ardhini( LATRA).

Walioteuliwa majority ni Waislamu wa Zanzibar na Wakiristo wa Tanganyika.

View attachment 2484241

View attachment 2484243

Sijui kama mambo ya Usafiri wa ardhini ni jambo la Muungano anyway, Lakini unaona mamlaka za Uteuzi zinajaza Waislamu wa Zanzibar tupu. Huku wale wa Tanganyika wakiwa kama Yatima.

Huu muungano ni pasua kichwa!
Mbona Budha, Hindu, Pagan, Orthodox na wengineo huwaongelei na wao hawapo humo?
Kwani uislam ni jina?
 
Katika nchi hii, Muhimili wa Power upo katika makundi makubwa mawili. (a) Wakiristo wa Tanganyika (b) Waislamu wa Zanzibar.

Haya Makundi ndiyo makundi makuu yenye mamlaka za kisiasa hapa nchini.
Hali hii inawaathiri sana Waislamu wa Tanganyika , nitaeleza

a) Kutokana na kwamba kule Zanzibar Waislamu ni Majority, basi nafasi yoyote ya Uteuzi ktk serikali ya Muungano, kama mzanzibari ndiye atateteuliwa, basi kuna probability kubwa kuwa mtu huyo akawa Muislamu. Na hivyo basi wakishateuliwa kushika hizo nyadhifa Inakuwa ni vigumu sana kwa nafasi nyingine zilizobaki kuteua waislamu wengine wa Tanganyika kujaza au kuchukua nafasi hizo zilizobaki, Ili isije kuonekana teuzi zimelalia watu wa dini moja. Kwa hivyo basi, nafasi zilizobaki watateuliwa Wakiristo wa Tanganyika.
Chunguza teuzi nyingi za Serikali, hata serikali hii ya awamu ya Sita. Utaona wazi kuwa kama aliyeteuliwa ni muislamu, basi kunakuwa na uwezekano mkubwa wa mteuliwa huyo ni Muislamu wa Zanzibar badala ya Muislamu wa Tanganyika.

b) Tatizo hilohilo pia linajitokeza katika Ajira na Utumishi. Wazanzibari kwa mujibu wa Makubaliano ya kimuungano, wameshatengewa asilimia 25 za ajira zote za Muungano. Halafu asilimia 75 zimebaki kwa Watanganyika. Sasa huku Tanganyika maana yake ni kwamba Wakiristo wa huku na Waislamu wa huku na watu wachache wa dini nyingine ndo wanagombea asilimia 75 zilizobaki. Hii pia inawaathiri Waislamu wa Tanganyika kwa maana, HR Manager au mamlaka za ajira zinapoletewa requirement ambayo tayari 25% ni watu wa dini moja, Ni vigumu kudhani watakuwa malaika kuongeza namba ya watu wanaofanana na hao ambao tayari wameshalamba shavu. Watataka watu wa Imani nyingine ili kuoffset imbalance ya kiimani. Hapa ndipo Waislamu wa Tanganyika inapokula kwao!

KWA HIYO
1. Huu muungano, kwa namna Ulivyo Waislamu wa Tanganyika ni kama Pawns, ila Wakiristo wa Tanganyika na Waislamu wa Zanzibar ndiyo King Makers

2. Ipo haja ya kukaa mezani seriously na kuangalia aina gani ya Muungano tunayoitaka ( Kama muungano wenyewe unamake sense anyway), Na tukikaa Mezani tuzungumze Masilahi serious ya kila kundi, siyo habari za tumeoleana kwa muda mrefu. Mambo ya kuoa na kuolewa ni personal hayana maslahi mapana kwa Taifa.

3) Waislamu wa Tanganyika sasa nao waamke, waanze kudai uwakilishi zaidi serikalini, katika teuzi mbalimbali za kuhudumu serikalini n.k.
Inabidi wadai kunufaika ipasavyo na matunda ya uhuru (walioupigania sana wakati ule wa kudai uhuru) ikiwemo ajira, na utumishi wa ndani ya serikali
Where is the stone-cold hard data to back up all this mumbo jumbo? Weka data za teuzi zote za Serikali kuanzia miaka 20 au 30 nyuma, na uweke wazi umetumia vigezo gani kujua dini ya mteuliwa: chini ya hapo, there's zero objectivity in your claims.
 
Angalia uteuzi ufuatao wa mamlaka ya Uthibiti wa Usafiri ardhini( LATRA).

Walioteuliwa majority ni Waislamu wa Zanzibar na Wakiristo wa Tanganyika.

View attachment 2484241

View attachment 2484243

Sijui kama mambo ya Usafiri wa ardhini ni jambo la Muungano anyway, Lakini unaona mamlaka za Uteuzi zinajaza Waislamu wa Zanzibar tupu. Huku wale wa Tanganyika wakiwa kama Yatima.

Huu muungano ni pasua kichwa!

Mdogo mdogo tutaanza kuelewana kuhusu huu muungano feki,ila dhambi ya ubaguzi huwa haiishi ukikosa wakuwabagua utawabagua hadi bata wako unaowafuga.

Kabla hamjamalizana na wakristo sasa mmegeukiana waislamu wa bara na viziwani,mkimalizana huko mtakuja wa pwani na kanda ya kati.

Acheni upuuzi.
 
Hii mada imejaa hoja ila ni za kipuuzi sababu mleta uzi anajisahaulisha kwa makusudi kuwa kabla ya imani yake (ambayo ni jambo binafsi si la kitaifa) yeye ni mwafrika kwanza.

Mleta uzi naomba tu ni kwambie wewe ni miongoni mwa watu wajinga katika hili taifa na unahitaji elimu ya uraia kufungua akili yako na kuielewesha juu ya changamoto halisi za kitaifa na sio huu upumbavu umeandika hapa.

Dini au imani ni swala binafsi na halikuwahi na halitawahi kuja kuwa swala la kitaifa.

Zanzibar kuwa na majority Muslim katika nafasi za kazi na uongozi ni matokeo ya jamii ya wazanzibari kwa wingi wao kuwa waislam kama matokeo ya historia ya kutawaliwa na waarabu ambao ndio wenye imani hiyo kwa asili.

Sasa ulitegemea uende ulaya halafu ukute waislam wameshika serikali au uende Iran ukute majority ni wakristo au wahindu wameshika serikalini.

Zanzibar kuwa majority Muslim katika serikali si matokeo ya maamuzi yao bali ni swala la kimazingira na kihistoria kwa kurithi.

Dini au imani ni swala binafsi si swala la kitaifa na wala si kigezo au sifa ya mtu kushika wadhifa wa kiongozi au kupewa kazi au kupewa chochote.

Kinachokufanya uamini haya uliyoyaleta hapa ni matokeo ya malezi mabovu uliyopitia mikononi mwa wazazi au walezi ambao walipotoka au walikosa exposure ya maisha sasa wanaishi kwa kujihami wakiamini dini au imani inabeba masilahi yao zaidi kuliko sheria za inchi ambazo zinalindwa kikatiba na zimebeba masilahi ya kila mtu bila kujali rangi yake, asili yake, imani yake, jinsia yake, urefu wake, lafudhi yake yaani bila kubagua kwa namna yoyote.

Nakushauri utulize kichwa chako, nenda kasome tena vitabu vya kukujenga kiraia na kukufanya ujitambue wewe ni nani katika hii jamii ya mtu mweusi.

Before haujajinasibisha kuwa wewe ni muislam jiulize ukijikata hapo kuna sehemu damu yako itasema wewe ni muislam, nenda urabuni kule iraq,iran, Saudi Arabia then jaribu kujichanganya na waarabu kuswali nao kwenye misikiti yao ndipo utaelewa ninachoongelea namna utabaguliwa hadi utaelewa kuwa before ya kuwa Muslim, au kabila lako, wewe ni mwafrika kwanza ambaye unatakiwa kufahamu mwafrika ana changamoto gani katika dunia ya leo na anatakiwa kushikamana vipi na mwafrika mwenzake ili kujiweka sehemu nzuri katika global community awe na heshima.

Waafrika hatuthaminiki duniani sababu hizi ndizo akili zetu. Tuna amini katika cheap and weak ideas kuwa ndio msingi wa maisha yetu. Sasa kama wewe unaamini dini ndio itakuletea mafanikio ya kiuchumi, kiafya, kifedha, kifamilia binafsi ila unasahau unazungukwa na wanajamii wenzako ambao hawapo na fikra kama zako na hawashei akili kama yako na mitazamo.

Unategemea utaexist kwa amani?!

Grow up. Learn its never to late to learn.
 
Naona kisa kupewa huyo Mzanzibari Uenyekiti wa bodi ndio umekosa raha.

Nyie viumbe mna matatizo sana, wakati wa Magufuli mlikuwa mnalalamika anapendelea wakristo wenzake, leo amekuja mwenzenu bado mnaendelea kulalamika anapendelea kule atokako hata kama anawateua waislamu wenzenu..

Sikutegemea kwa namna mnavyobebwa huku bara kwenye teuzi siku hizi, bado mtazitolea macho nafasi za Zanzibar ikiwa bado wanapewa waislamu wenzenu, huu ubinafsi sijawahi kuuona hapa duniani, nyie iko siku mtatafunana..
mkuu unaongelea waisilamu gani? kwa sababu serikalini naona majina ya waisilamu waisilamu mm siwaoni
 
Angalia uteuzi ufuatao wa mamlaka ya Uthibiti wa Usafiri ardhini( LATRA).

Walioteuliwa majority ni Waislamu wa Zanzibar na Wakiristo wa Tanganyika.

View attachment 2484241

View attachment 2484243

Sijui kama mambo ya Usafiri wa ardhini ni jambo la Muungano anyway, Lakini unaona mamlaka za Uteuzi zinajaza Waislamu wa Zanzibar tupu. Huku wale wa Tanganyika wakiwa kama Yatima.

Huu muungano ni pasua kichwa!
usichanganye uwisilamu kwenye ujinga wenu
 
Lakini unasahau kwamba labda Uchumi wa Tanzania karibia wote kwa >85% umeshikikiwa na Waislamu, leo hii Mtanzania yoyote akitafuta kazi private sector hakwepi Uislamu, hivyo Waislamu Tanzania ndiyo wako privileged na wanamiliki Uchumi wa nchi na Mbuga zetu na rasilimali Waislamu ndiyo wamiliki, sijawahi kusikia mfanyabiashara mkubwa Mkristo ukiondoa Mengi (RIP) na alipigwa vita kweli kweli hata na Wakristo wenyewe ingawaje alipambana.

Hivyo kama ni Haki na Mpambano Wakristo ndiyo wanaopaswa kupambana na kuamka pia kumiliki Keki ya nchi, wanaoneemeka na Tanzania ni Waislamu, Wakristo wengi wamelala they don’t own anything wanafikiri Ubunge au Uwaziri ndiyo kila kitu kumbe wanasahau wanao pool strings Tanzania ni Wafanyabiashara na haijalishi raisi ni nani, na Wafanyabiashara wakubwa >75% ni Waislamu.

Kuanzia football wamiliki wa football clubs ni Waislamu Wakristo kazi yao kushangilia tu, wauzaji mafuta ya kula, Supermarkets, wamiliki wa vyombo vya Habari, Migodi, Mbuga zetu wote ni Waislamu, Wakristo nchi hii ni Watumwa tu kama Msigwa ingawaje hawalijui hilo, bado wamelala.

Hivyo kama kuna yoyote anayepaswa kupambana na kujikwamua ni Mkristo wa Tanzania, Waislamu wako vizuri sana kiuchumi, …
namimi muisilamu wa kilwa kwenye kundi hilo la matajiri nimo?
 
Ooh! Hapana hujagundua, Waislam sisi tunapata kwa kuangaika sana kuanzia kwenye kuuza maandazi n.k lakini wenzetu wengi huko serikalini wanajichotea Mahela mengi mno na kuyaficha.

Wanatupa data za uongo kuwa sisi ndio matajiri kumbe sikweli. Unaufahamu utajiri wa Edward Lowasa? Marehemu Mfugale? Kijazi, vipi yule mhaya wa Heineken Rugemalila? Prof. Tibaijuka yaani wana mamilion ya dola sema wenzetu wajanja hawasemi katu na hela wameficha huko umangani.

Kikubwa Waislam wengi wanaonekana matajiri kwasababu wali/wanajishughulisha na biashara yaani baada ya kuona mfumo zamani kama uliwakataa wakaanza kuwa wafanyabiashara matokeo yake ikawa heri kwao. Lakini sasa hivi tumejanjaruka na hivi vinafasi vya serikalini jambo ambalo linazolotesha ufanisi wa uchumi bibafsi labda update shimo upige kwelikweli!

Muhimu kuepuka masuala ya udini japokuwa kwenye teuzi huwa haiepukiki kwani inaleta hisia za kipuuzi hata kama aliyeteuliwa hakusaidii chochote.

Mimi muislam ninayejielewa lakini Waislam wenzangu wanaoteuliwa ukiwaendea maofisini wakusaidie wanakupiga danadana tu tena unaweza au unasaidiwa na mkristo tena fresh tu, hapo ndo huwa nashindwa kuelewa udini huwa una nini cha maana; so their appointments have nothing to do with my success!

Kuna Waislam wamenufaika na urafiki wao na Wakristo lakini pia kuna wakristo wamenufaika na urafiki wao na Waislam. Ukikagua viwanda na makampuni mengi ya kiislam utawakuta wako wakristo kibao tena katika nafasi nyeti za HR, IT n.k

Hata Shule kubwa tu kama FEZA, ALMUNTAZIL n.k utawakuta Wakristo kibao tena wakuu wa vitengo wanajinyakulia mishahara minono vivyo hivyo kwa wakristo.

Haya mambo huwa tunayaangalia sisi watu wa chini yaani kajitu kapo kishemundu hakana hata hekari ya mahindi lakini utasikia kanashangilia kuteuliwa boss fulani kisa tu ni dini yake. Upumbavu kama huu unaukuta Afrika hususani Tanzania.

Udini ni sumu, mfano Muislam kama Bashiru Ally aliibuliwa na Magufuli Mkristo kutoka kusiko (Ex nihilo) mpaka kuwa KMK, lakini ukimkuta sehemu utakuta anakwambia Waislam siyo kabisa!

Mtu kama Makonda (natolea mfano) aliibuliwa na Kikwete Muislam kutoka kusiko lakini unaweza kumkuta sehemu anawaponda Waislam na udini.

Nilikaa chini nikagundua kama dini ndo zinaleta mfarakano huu basi hazina maana! Umaana uje kwa kuutanguliza upendo wa ubinadamu wetu ambao Allah alituumba nao.

Wabillah wataufiq!
kweli kabisa ukimkuta muisilamu serikali tena akikuona umevaa kisilamu hata kama huna shida nae akisha kuona tu anatamani kujificha chini ya meza, ukiwa nashida ofisini boro umkute mgaratia atakuelekeza shida yako kuliko hawa wisilamu wenzetu lakini mgaratia huyo asiwe mrokole awe mloma msabato
 
Lakini unasahau kwamba labda Uchumi wa Tanzania karibia wote kwa >85% umeshikikiwa na Waislamu, leo hii Mtanzania yoyote akitafuta kazi private sector hakwepi Uislamu, hivyo Waislamu Tanzania ndiyo wako privileged na wanamiliki Uchumi wa nchi na Mbuga zetu na rasilimali Waislamu ndiyo wamiliki, sijawahi kusikia mfanyabiashara mkubwa Mkristo ukiondoa Mengi (RIP) na alipigwa vita kweli kweli hata na Wakristo wenyewe ingawaje alipambana.

Hivyo kama ni Haki na Mpambano Wakristo ndiyo wanaopaswa kupambana na kuamka pia kumiliki Keki ya nchi, wanaoneemeka na Tanzania ni Waislamu, Wakristo wengi wamelala they don’t own anything wanafikiri Ubunge au Uwaziri ndiyo kila kitu kumbe wanasahau wanao pool strings Tanzania ni Wafanyabiashara na haijalishi raisi ni nani, na Wafanyabiashara wakubwa >75% ni Waislamu.

Kuanzia football wamiliki wa football clubs ni Waislamu Wakristo kazi yao kushangilia tu, wauzaji mafuta ya kula, Supermarkets, wamiliki wa vyombo vya Habari, Migodi, Mbuga zetu wote ni Waislamu, Wakristo nchi hii ni Watumwa tu kama Msigwa ingawaje hawalijui hilo, bado wamelala.

Hivyo kama kuna yoyote anayepaswa kupambana na kujikwamua ni Mkristo wa Tanzania, Waislamu wako vizuri sana kiuchumi, …

Waislamu wameshika uchumi [emoji31] unaota
 
Hao uliowataja wanamiliki Tanzania ukiondoa labda kuficha fedha Dubai? Wameajiri watu wangapi? Hao wote akina Lowasa &Co. ni agents wa Wafanyabiashara Waislamu, wanawatumikia na kulipwa na Wafanyabishara Waislamu, ni kama Msigwa tu, rasilmali za nchi zinaibiwa, yeye kazi yake kutetea na tena ni Mchungaji au anajiita hivyo atleast!

Nakataa wafanyabiashara waislamu matajiri ni wale tu waliopo top 10 ya utajiri tena hao ni kwasababu wana asili ya nje so wamefika kwa kupewa booster na ndugu zao wa nje. Ukitoa hapo big population ya waliobaki ni maskini wa kutupwa. Angalia mikoa na maeneo wanayoishi waislamu mengi ni yenye hali duni na ya kimaskini sana. Uswahili kote asilimia 85% ni waislamu nenda kafanye research. Biashara nyingi nchi hii ni za waktisto na waktisto wengi ndo wanaishi katika standards nzuli za maisha. Angalia mitaa yenu mnayoishi then wacheki wepi wanaishi maisha mazuri na wepi masikini.
 
Nakataa wafanyabiashara waislamu matajiri ni wale tu waliopo top 10 ya utajiri tena hao ni kwasababu wana asili ya nje so wamefika kwa kupewa booster na ndugu zao wa nje. Ukitoa hapo big population ya waliobaki ni maskini wa kutupwa. Angalia mikoa na maeneo wanayoishi waislamu mengi ni yenye hali duni na ya kimaskini sana. Uswahili kote asilimia 85% ni waislamu nenda kafanye research. Biashara nyingi nchi hii ni za waktisto na waktisto wengi ndo wanaishi katika standards nzuli za maisha. Angalia mitaa yenu mnayoishi then wacheki wepi wanaishi maisha mazuri na wepi masikini.

Uko sahihi.

Kiuchumi, majority ya waislamu wana hali mbaya zaidi
Bora Wakiristo angalau wingi wao katika ajira za serikali unawapa wao na ndugu zao unafuu mkubwa zaidi wa maisha, ikiwemo kukopesheka, bima za afya na pensheni
 
Tutajie hata Mkristo mmoja wa Zanzibar ambaye amewahi shika nyadhifa ya juu Serikalini.
Vipi kuhusu Wakristo wa Zanzibar? Japo ni "minority" lakini kupitia hoja yako una maoni gani kuhusu kundi hili? Jielekeze katika haki zao, uhuru wao, na amani yao kupitia katiba ya JMT.

Vipi kuhusu makundi mengine, mathalani dini za kijadi, Kihindu n.k. Nafikiri ni vyema tukajitazama kama taifa, zaidi ya kujiangalia kupitia itikadi zetu za kidini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia uteuzi ufuatao wa mamlaka ya Uthibiti wa Usafiri ardhini( LATRA).

Walioteuliwa majority ni Waislamu wa Zanzibar na Wakiristo wa Tanganyika.

View attachment 2484241

View attachment 2484243

Sijui kama mambo ya Usafiri wa ardhini ni jambo la Muungano anyway, Lakini unaona mamlaka za Uteuzi zinajaza Waislamu wa Zanzibar tupu. Huku wale wa Tanganyika wakiwa kama Yatima.

Huu muungano ni pasua kichwa!
Ina maana Wasukuma na Waislam tu ndiyo wana sifa ya kuwa Wenyeviti wa Tume ya haki za binadamu,hapa tumepigwa mnada.
 
Angalia uteuzi ufuatao wa mamlaka ya Uthibiti wa Usafiri ardhini( LATRA).

Walioteuliwa majority ni Waislamu wa Zanzibar na Wakiristo wa Tanganyika.

View attachment 2484241

View attachment 2484243

Sijui kama mambo ya Usafiri wa ardhini ni jambo la Muungano anyway, Lakini unaona mamlaka za Uteuzi zinajaza Waislamu wa Zanzibar tupu. Huku wale wa Tanganyika wakiwa kama Yatima.

Huu muungano ni pasua kichwa!
Huenda kuna ufahamu mdogo wa hii sheria ya TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA. Makamishna ni watano, halafu kuna Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti ambao lazima watoke pande tofauti za Muungano. Makamishna walioteuliwa ni watatu, hivyo wawili wanaendelea hadi muda wao ukamilike. Fuatilia hao wawili wanakotokea
 
Back
Top Bottom