Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
tuliaKumbe wewe ni mpaka usomeshwe , Haya kasome
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tuliaKumbe wewe ni mpaka usomeshwe , Haya kasome
Mzee Mwinyi alimtaja mtu huyo kuwa ni Jackson Makweta...huyu bwana hajasoma kitabu cha Mzee Mwinyi.
Kinyungu ukweli ni upi?Uongo tu. Hakuna ukweli. Mwinyi alijiuzuru 1977 na aliyembadili ni Hassan Moyo.
Mwinyi alipelekwa kuwa Balozi. Sio kweli kwamba hakuwa na kazi.
Hassan Moyo Ali kuwa waziri mambo ya ndani muda mfupi.
Mwinyi alirudi kuwa waziri 1983
Stories za vijiweni
Kinyungu hebu mjibu muhenga mwenzioStory ya uongo na ya kutungwa
Mzee Mwinyi alijiuzulu 1976 sio 1983
1983-1984 aliekuwa Waziri wa mambo ya Ndani hakuwa Natepe alikuwa Dr Salmeen Amour Juma ( Komandoo )
Kuna mtu alinirushia kwa Wasap nikam challenge akaishia kuniambia yeye alifowadiwa nae kaifoward
Ally Hassan Mwinyi baada ya kujiuzulu Uwaziri aliempa notes ya kuhama kwenye Nyumba ya Waziri alikuwa Waziri wa Nyumba aliekuwa anahusika na Shirika la Nyumba ambayo ndio walikuwa wamempa Nyumba na ilijulikana baadae kuwa huyo Waziri alikuwa amepokea maelekezo toka juu
Ally Hassan Mwinyi akiwa hajui afanyaje aliokolewa na Hayati Mzee Kitwana Kondo aliemsitiri kwa kumpa Nyumba yake akae bure mpaka siku akiamua kwa hiyari yake kutoka
Natepe hakuhusika kwa namna yoyote ile na Mwinyi ‘kufukuzwa ‘ kwny ile Nyumba
Tupo na wazee kama mimi hapa jamvini!!!Uongo tu. Hakuna ukweli. Mwinyi alijiuzuru 1977 na aliyembadili ni Hassan Moyo.
Mwinyi alipelekwa kuwa Balozi. Sio kweli kwamba hakuwa na kazi.
Hassan Moyo Ali kuwa waziri mambo ya ndani muda mfupi.
Mwinyi alirudi kuwa waziri 1983
Stories za vijiweni
Mkuu Konzo Ikweta , kwanza asante kwa story hii kwasababu ni tukio la kweli ila umekosea dates na datas.Alipojiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi mwaka 83 kama sijakosea nafasi yake aliteuliwa mzee mmoja kutoka Zanzibar anaitwa mzee Natepe kushika Uwaziri wa Mambo ya ndani ya nchi.