Jinsi Natepe alivyomhenyesha Rais Ali Hassan Mwinyi

Jinsi Natepe alivyomhenyesha Rais Ali Hassan Mwinyi

Alipojiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi mwaka 83 kama sijakosea nafasi yake aliteuliwa mzee mmoja kutoka zanzibar anaitwa mzee natepe kushika uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi.

Natepe alipoingia tu officen alimtaka waziri aliemtangulia kutoka katika nyumba ya waziri ili yeye aweze kukaa hapo kama waziri.

Ilikuwa shida kidogo maana waziri alieondoka bado alikuwa anatafuta makazi lakini alitakiwa haraka kutoka na Natepe.

Ikampasa mzee mwinyi kutoka kwa haraka na siku anatoka pale nyumbani alikuwa amenunua mabati 150 na mifuko ya saruji 100 ya kwake wala sio mali ya serekali.

Natepe alimkatalia kuvichukua akidai ni mali ya serekali kweli mzee mwinyi akaviacha akaondoka.

Baada ya miezi kadhaa tu mzee mwinyi akateuliwa kuwa Rais zanzibar Natepe wakati ana jifikiria jinsi ya kwenda kumpongeza na kumuomba radhi kwa aliyomfanyia kabla ya kufikiria njia mzee mwinyi akaletwa bara mwaka 1985 kama Rais wa JMT.

Hapa sasa Natepe akajua kazi hana na atatimuliwa haraka iwezekanavyo tena na kutengwa na nyadhifa za JMT kwakuwa kuna mabaya ya wazi na ya sirini aliyomtendea mzee mwinyi.

Mzee mwinyi baada tu ya kuapishwa kuwa Rais wa JMT wakati anateua baraza la mawaziri akamteua tena Natepe kuwa waziri pale pale mambo ya ndani.

Siku ya kumuapisha akamwambia Natepe sio kwamba nakupenda sana hapana ila napenda kazi yako unavyofanya endelea kufanya kazi.

Siku moja mzee mwinyi yupo ikulu kapumzika akaona malori yanaingia na akaambiwa mzigo wako huu mh Rais akashtuka mbona sijaagiza kitu mie??

Ndipo akaambiwa umetoka kwa natepe mzee mwinyi akacheka sana akawaambia wasaidizi wake shusheni mabati 150 na saruji 100 hizo ndio haki yangu zingine mrudishieni tu.
Anaitwa Natepe tuu hana surname wala la baba?
 
Story ya uapnde moja,ingawa ili iitwe Dunia lazima watu was aina hiyo wawepo.
 
Wana JF

Nimepata sehemu katika soma soma za jumapili, nikakutana na maelezo fulani sijui kama yana ukweli maana yana kiwango kikubwa cha msamaha kwa watesi. Mwinyi alipata matatizo kwenye uongozi, akajiuzuru akiwa wizara ya mambo ya ndani, aliyeteuliwa ghafla akamtaka aondoke siku iliyofuata na afungashe kilicho chake, nisiku choshe soma mwenyewe.

Screenshot_20211219-155540_Lite.jpg
 
Mzee mwinyi/Ruksa ana utajiri was roho katika maisha yake.hakuishi kwa visasi
 
Wana JF

Nimepata sehemu katika soma soma za jumapili, nikakutana na maelezo fulani sijui kama yana ukweli maana yana kiwango kikubwa cha msamaha kwa watesi. Mwinyi alipata matatizo kwenye uongozi, akajiuzuru akiwa wizara ya mambo ya ndani, aliyeteuliwa ghafla akamtaka aondoke siku iliyofuata na afungashe kilicho chake, nisiku choshe soma mwenyewe.

View attachment 2049849
Sio mzee Natepe,anagalia kwenye orodha ya mawaziri wa miaka hiyo ambaye alimrithi mzee Mwinyi
 
Sio mzee Natepe,anagalia kwenye orodha ya mawaziri wa miaka hiyo ambaye alimrithi mzee Mwinyi
Kwa mujibu wa kitabu cha Mzee Rukhsa. Waziri aliyehamia kwenye nyumba aliyokuwa akikaa Oysterbay ni Jackson Makweta. Pamoja na kwamba alizuia vifaa vyake lakini alipokiwa Rais alimteua Makweta kuwa Waziri
 
Alipojiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi mwaka 83 kama sijakosea nafasi yake aliteuliwa mzee mmoja kutoka Zanzibar anaitwa mzee Natepe kushika Uwaziri wa Mambo ya ndani ya nchi.

Natepe alipoingia tu ofisini alimtaka Waziri aliyemtangulia kutoka katika nyumba ya Waziri ili yeye aweze kukaa hapo kama Waziri.

Ilikuwa shida kidogo maana Waziri aliyeondoka bado alikuwa anatafuta makazi lakini alitakiwa haraka na Natepe kutoka.

Ikampasa Mzee Mwinyi kutoka kwa haraka na siku anatoka pale nyumbani alikuwa amenunua mabati 150 na mifuko ya saruji 100 ya kwake wala sio mali ya Serekali.

Natepe alimkatalia kuvichukua akidai ni mali ya Serekali kweli mzee Mwinyi akaviacha akaondoka.

Baada ya miezi kadhaa tu mzee mwinyi akateuliwa kuwa Rais Zanzibar. Natepe wakati anajifikiria jinsi ya kwenda kumpongeza na kumuomba radhi kwa aliyomfanyia kabla ya kufikiria njia Mzee Mwinyi akaletwa bara mwaka 1985 kama Rais wa JMT.

Hapa sasa Natepe akajua kazi hana na atatimuliwa haraka iwezekanavyo tena na kutengwa na nyadhifa za JMT kwakuwa kuna mabaya ya wazi na ya sirini aliyomtendea Mzee Mwinyi.

Mzee Mwinyi baada tu ya kuapishwa kuwa Rais wa JMT wakati anateua baraza la Mawaziri akamteua tena Natepe kuwa Waziri palepale Mambo ya Ndani.

Siku ya kumuapisha akamwambia Natepe sio kwamba nakupenda sana hapana ila napenda kazi yako unavyofanya endelea kufanya kazi.

Siku moja Mzee Mwinyi yupo Ikulu kapumzika akaona malori yanaingia na akaambiwa mzigo wako huu mh Rais akashtuka mbona sijaagiza kitu mie?

Ndipo akaambiwa umetoka kwa Natepe Mzee Mwinyi akacheka sana akawaambia wasaidizi wake shusheni mabati 150 na saruji 100 hizo ndio haki yangu zingine mrudishieni tu.
Kutoka chanzo kinachoaminika, alierithi nafasi ya wizara kutoka kwa mzee ruksa sio Natepe. Na haikuwa 1983 bali ni 1976.
Orodha ya mawaziri wa mambo ya ndani hii hapa chini.
Ambapo kwa sasa wanaotakiwa kuwa kwenye orodha ni pamoja na
Aphaxad Kangi Lugola aliechukuwa kwa Ng'wigulu, (July 2018-Jan 2020)
na sasa ni George Simbachawene (Jan 2020-

1639977984956.png
 
Alipojiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi mwaka 83 kama sijakosea nafasi yake aliteuliwa mzee mmoja kutoka Zanzibar anaitwa mzee Natepe kushika Uwaziri wa Mambo ya ndani ya nchi.

Natepe alipoingia tu ofisini alimtaka Waziri aliyemtangulia kutoka katika nyumba ya Waziri ili yeye aweze kukaa hapo kama Waziri.

Ilikuwa shida kidogo maana Waziri aliyeondoka bado alikuwa anatafuta makazi lakini alitakiwa haraka na Natepe kutoka.

Ikampasa Mzee Mwinyi kutoka kwa haraka na siku anatoka pale nyumbani alikuwa amenunua mabati 150 na mifuko ya saruji 100 ya kwake wala sio mali ya Serekali.

Natepe alimkatalia kuvichukua akidai ni mali ya Serekali kweli mzee Mwinyi akaviacha akaondoka.

Baada ya miezi kadhaa tu mzee mwinyi akateuliwa kuwa Rais Zanzibar. Natepe wakati anajifikiria jinsi ya kwenda kumpongeza na kumuomba radhi kwa aliyomfanyia kabla ya kufikiria njia Mzee Mwinyi akaletwa bara mwaka 1985 kama Rais wa JMT.

Hapa sasa Natepe akajua kazi hana na atatimuliwa haraka iwezekanavyo tena na kutengwa na nyadhifa za JMT kwakuwa kuna mabaya ya wazi na ya sirini aliyomtendea Mzee Mwinyi.

Mzee Mwinyi baada tu ya kuapishwa kuwa Rais wa JMT wakati anateua baraza la Mawaziri akamteua tena Natepe kuwa Waziri palepale Mambo ya Ndani.

Siku ya kumuapisha akamwambia Natepe sio kwamba nakupenda sana hapana ila napenda kazi yako unavyofanya endelea kufanya kazi.

Siku moja Mzee Mwinyi yupo Ikulu kapumzika akaona malori yanaingia na akaambiwa mzigo wako huu mh Rais akashtuka mbona sijaagiza kitu mie?

Ndipo akaambiwa umetoka kwa Natepe Mzee Mwinyi akacheka sana akawaambia wasaidizi wake shusheni mabati 150 na saruji 100 hizo ndio haki yangu zingine mrudishieni tu.
Mwisho wa ubaya ni aibu!
 
Acheni upumbavu chadema Burundi ni nchi ya watu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwanza mpumbavu ni wewe unayehusisha comment na chadema maana hakuna sehemu Kuna neno chadema au CCM.

Pili aliyeongelea Burundi ni CCM mwenzio brazako madelu, sasa pamoja hatujataja mambo ya vyama jitahidi kukumbuka.

Kuhusu Burundi kuwa nchi ya watu ni kweli kabisa hakina sehemu nimeandika Burundi ni nchi ya nyani au sio nchi ya watu.
 
RAIS ALLY HASSAN MWINYI.

Alipojiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi mwaka 1983 kama sijakosea nafasi yake aliteuliwa mzee mmoja kutoka zanzibar anaitwa mzee Natepe kushika uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi.

Natepe alipoingia tu ofisini alimtaka Waziri aliyemtangulia kutoka katika nyumba ya Waziri ili yeye aweze kukaa hapo kama Waziri.

Ilikuwa shida kidogo maana waziri aliyeondoka bado alikuwa anatafuta makazi lakini alitakiwa haraka kutoka na Natepe.

Ikampasa Mzee Mwinyi kutoka kwa haraka na siku anatoka pale nyumbani alikuwa amenunua mabati 150 na mifuko ya saruji 100 ya kwake wala sio mali ya Serikali.

Natepe alimkatalia kuvichukua akidai ni mali ya Serikali. Kweli mzee Mwinyi akaviacha akaondoka.

Baada ya miezi kadhaa tu Mzee Mwinyi akateuliwa kuwa Rais wa Zanzibar.
Natepe wakati ana jifikiria jinsi ya kwenda kumpongeza na kumuomba radhi kwa aliyomfanyia kabla ya kufikiria njia Mzee Mwinyi akaletwa bara mwaka 1985 kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hapa sasa Natepe akajua kazi hana na atatimuliwa haraka iwezekanavyo tena na kutengwa na nyadhifa za JMT kwa kuwa kuna mabaya ya wazi na ya sirini aliyomtendea Mzee mwinyi.

Mzee Mwinyi baada tu ya kuapishwa kuwa Rais wa JMT wakati anateua Baraza la Mawaziri akamteua tena Natepe kuwa Waziri pale pale mambo ya ndani.

Siku ya kumuapisha akamwambia Natepe siyo kwamba nakupenda sana hapana ila napenda kazi yako unavyofanya endelea kufanya kazi.

Siku moja Mzee Mwinyi yupo Ikulu kapumzika akaona malori yanaingia na akaambiwa mzigo wako huu. Mh Rais akashtuka mbona sijaagiza kitu mie??

Ndipo akaambiwa umetoka kwa Natepe Mzee Mwinyi akacheka sana akawaambia wasaidizi wake shusheni mabati 150 na saruji 100 hizo ndio haki yangu zingine mrudishieni tu.

Hapa kuna somo kubwa Sana. Ubaya hulipwa kwa Wema na Maisha hayana Mwalimu.
Kwa ujumbe huu nazidi kujifunza mengi.
[emoji120] uwe na siku njema...rafiki
Nawatakia maandalizi mema ya sikukuu ya Christmas na Mwaka mpya

[emoji2539] [emoji2539]

ASOMAYE na AFAHAMU.

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom