Jinsi Natepe alivyomhenyesha Rais Ali Hassan Mwinyi

Jinsi Natepe alivyomhenyesha Rais Ali Hassan Mwinyi

RAIS ALLY HASSAN MWINYI

Alipojiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi mwaka 1983 kama sijakosea nafasi yake aliteuliwa mzee mmoja kutoka zanzibar anaitwa mzee Natepe kushika uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi.

Natepe alipoingia tu ofisini alimtaka Waziri aliyemtangulia kutoka katika nyumba ya Waziri ili yeye aweze kukaa hapo kama Waziri.

Ilikuwa shida kidogo maana waziri aliyeondoka bado alikuwa anatafuta makazi lakini alitakiwa haraka kutoka na Natepe.

Ikampasa Mzee Mwinyi kutoka kwa haraka na siku anatoka pale nyumbani alikuwa amenunua mabati 150 na mifuko ya saruji 100 ya kwake wala sio mali ya Serikali.
Natepe alimkatalia kuvichukua akidai ni mali ya Serikali. Kweli mzee Mwinyi akaviacha akaondoka.

Baada ya miaka kadhaa tu Mzee Mwinyi akateuliwa kuwa Rais wa Zanzibar.
Natepe wakati ana jifikiria jinsi ya kwenda kumpongeza na kumuomba radhi kwa aliyomfanyia kabla ya kufikiria njia Mzee Mwinyi akaletwa bara mwaka 1985 kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hapa sasa Natepe akajua kazi hana na atatimuliwa haraka iwezekanavyo tena na kutengwa na nyadhifa za JMT kwa kuwa kuna mabaya ya wazi na ya sirini aliyomtendea Mzee mwinyi.

Mzee Mwinyi baada tu ya kuapishwa kuwa Rais wa JMT wakati anateua Baraza la Mawaziri akamteua tena Natepe kuwa Waziri pale pale mambo ya ndani.

Siku ya kumuapisha akamwambia Natepe siyo kwamba nakupenda sana hapana ila napenda kazi yako unavyofanya endelea kufanya kazi.

Siku moja Mzee Mwinyi yupo Ikulu kapumzika akaona malori yanaingia na akaambiwa mzigo wako huu. Mh Rais akashtuka mbona sijaagiza kitu mie??
Ndipo akaambiwa umetoka kwa Natepe Mzee Mwinyi akacheka sana akawaambia wasaidizi wake shusheni mabati 150 na saruji 100 hizo ndio haki yangu zingine mrudishieni tu.

Hapa kuna somo kubwa Sana. Ubaya hulipwa kwa Wema na Maisha hayana Mwalimu.

Kwa ujumbe huu nasi tujifunze mengi.
🙏
MUWE NA MWAKA WA BARAKA NYOTE!!
👁️
👁️

Tunapoanza mwaka mpya wa 2022 jitahidi kutolipa mabaya kwa mabaya
ASOMAYE na AFAHAMU.
271202902_315406957259827_705879233866484732_n.jpg
 
nadhani mwinyi ndo kiongozi mwenye hekima zaidi katika taifa letu, nyerere alikua akimkejeli wazi wazi kua anafanyiwa maamuzi na mkewe bt mwinyi hakuwahi kumvunjia heshima nyerere, viongozi wetu wanapaswa kujifunza kitu kwa huyu mwamba.
 
RAIS ALLY HASSAN MWINYI.
Alipojiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi mwaka 1983 kama sijakosea nafasi yake aliteuliwa mzee mmoja kutoka zanzibar anaitwa mzee Natepe kushika uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi.......
Nafikiri Natepe anasingiziwa katka kitabu chake anamtaja mtu mwingine ebu tafuta kitabu cha Mzee rhuksa usome halafu urudi uombe msamaha kwa huyo bwana
 
RAIS ALLY HASSAN MWINYI.
Alipojiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi mwaka 1983 kama sijakosea nafasi yake aliteuliwa mzee mmoja kutoka zanzibar anaitwa mzee Natepe kushika uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi.
Natepe alipoingia tu ofisini alimtaka Waziri aliyemtangulia kutoka katika nyumba ya Waziri ili yeye aweze kukaa hapo kama Waziri.
Ilikuwa shida kidogo maana waziri aliyeondoka bado alikuwa anatafuta makazi lakini alitakiwa haraka kutoka na Natepe.
Ikampasa Mzee Mwinyi kutoka kwa haraka na siku anatoka pale nyumbani alikuwa amenunua mabati 150 na mifuko ya saruji 100 ya kwake wala sio mali ya Serikali.
Natepe alimkatalia kuvichukua akidai ni mali ya Serikali. Kweli mzee Mwinyi akaviacha akaondoka.
Baada ya miaka kadhaa tu Mzee Mwinyi akateuliwa kuwa Rais wa Zanzibar.
Natepe wakati ana jifikiria jinsi ya kwenda kumpongeza na kumuomba radhi kwa aliyomfanyia kabla ya kufikiria njia Mzee Mwinyi akaletwa bara mwaka 1985 kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hapa sasa Natepe akajua kazi hana na atatimuliwa haraka iwezekanavyo tena na kutengwa na nyadhifa za JMT kwa kuwa kuna mabaya ya wazi na ya sirini aliyomtendea Mzee mwinyi.
Mzee Mwinyi baada tu ya kuapishwa kuwa Rais wa JMT wakati anateua Baraza la Mawaziri akamteua tena Natepe kuwa Waziri pale pale mambo ya ndani.
Siku ya kumuapisha akamwambia Natepe siyo kwamba nakupenda sana hapana ila napenda kazi yako unavyofanya endelea kufanya kazi.
Siku moja Mzee Mwinyi yupo Ikulu kapumzika akaona malori yanaingia na akaambiwa mzigo wako huu. Mh Rais akashtuka mbona sijaagiza kitu mie??
Ndipo akaambiwa umetoka kwa Natepe Mzee Mwinyi akacheka sana akawaambia wasaidizi wake shusheni mabati 150 na saruji 100 hizo ndio haki yangu zingine mrudishieni tu.
Hapa kuna somo kubwa Sana. Ubaya hulipwa kwa Wema na Maisha hayana Mwalimu.
Kwa ujumbe huu nasi tujifunze mengi.
🙏
MUWE NA MWAKA WA BARAKA NYOTE!!
👁️
👁️

Tunapoanza mwaka mpya wa 2022 jitahidi kutolipa mabaya kwa mabaya
ASOMAYE na AFAHAMU.View attachment 2066702


..Ali Hassan Mwinyi alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani kati ya 1975 to 1976.

..Major.General Abdallah Said Natepe alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani mwaka 1980 to 1983.

..Mawaziri wa Mambo ya Ndani walioteuliwa na Mzee Mwinyi ni Major.Gen.Muhidin Kimario, Nalaila Kiula, Augustino Mrema, na Ernest Nyanda.

..Inabidi ukafanye utafiti wako upya kwasababu Abdallah Said Natepe hakumpokea wizara, wala hakuwahi kuteuliwa Waziri, na Mzee Mwinyi.
 
Nafikiri Natepe anasingiziwa katka kitabu chake anamtaja mtu mwingine ebu tafuta kitabu cha Mzee rhuksa usome halafu urudi uombe msamaha kwa huyo bwana

..huyu bwana hajasoma kitabu cha Mzee Mwinyi.
 
RAIS ALLY HASSAN MWINYI.
Alipojiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi mwaka 1983 kama sijakosea nafasi yake aliteuliwa mzee mmoja kutoka zanzibar anaitwa mzee Natepe kushika uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi.
Natepe alipoingia tu ofisini alimtaka Waziri aliyemtangulia kutoka katika nyumba ya Waziri ili yeye aweze kukaa hapo kama Waziri.
Ilikuwa shida kidogo maana waziri aliyeondoka bado alikuwa anatafuta makazi lakini alitakiwa haraka kutoka na Natepe.
Ikampasa Mzee Mwinyi kutoka kwa haraka na siku anatoka pale nyumbani alikuwa amenunua mabati 150 na mifuko ya saruji 100 ya kwake wala sio mali ya Serikali.
Natepe alimkatalia kuvichukua akidai ni mali ya Serikali. Kweli mzee Mwinyi akaviacha akaondoka.
Baada ya miaka kadhaa tu Mzee Mwinyi akateuliwa kuwa Rais wa Zanzibar.
Natepe wakati ana jifikiria jinsi ya kwenda kumpongeza na kumuomba radhi kwa aliyomfanyia kabla ya kufikiria njia Mzee Mwinyi akaletwa bara mwaka 1985 kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hapa sasa Natepe akajua kazi hana na atatimuliwa haraka iwezekanavyo tena na kutengwa na nyadhifa za JMT kwa kuwa kuna mabaya ya wazi na ya sirini aliyomtendea Mzee mwinyi.
Mzee Mwinyi baada tu ya kuapishwa kuwa Rais wa JMT wakati anateua Baraza la Mawaziri akamteua tena Natepe kuwa Waziri pale pale mambo ya ndani.
Siku ya kumuapisha akamwambia Natepe siyo kwamba nakupenda sana hapana ila napenda kazi yako unavyofanya endelea kufanya kazi.
Siku moja Mzee Mwinyi yupo Ikulu kapumzika akaona malori yanaingia na akaambiwa mzigo wako huu. Mh Rais akashtuka mbona sijaagiza kitu mie??
Ndipo akaambiwa umetoka kwa Natepe Mzee Mwinyi akacheka sana akawaambia wasaidizi wake shusheni mabati 150 na saruji 100 hizo ndio haki yangu zingine mrudishieni tu.
Hapa kuna somo kubwa Sana. Ubaya hulipwa kwa Wema na Maisha hayana Mwalimu.
Kwa ujumbe huu nasi tujifunze mengi.
🙏
MUWE NA MWAKA WA BARAKA NYOTE!!
👁️
👁️

Tunapoanza mwaka mpya wa 2022 jitahidi kutolipa mabaya kwa mabaya
ASOMAYE na AFAHAMU.View attachment 2066702
Mzee Mwinyi ni kioo.. ili tuwe na upendo pamoja na hekima, inahitaji tujiangalie na tujifunze kupitia yeye. Ila kupachika jina la Natepe hapo umekosea sana chalii.
 
RAIS ALLY HASSAN MWINYI.
Alipojiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi mwaka 1983 kama sijakosea nafasi yake aliteuliwa mzee mmoja kutoka zanzibar anaitwa mzee Natepe kushika uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi.
Natepe alipoingia tu ofisini alimtaka Waziri aliyemtangulia kutoka katika nyumba ya Waziri ili yeye aweze kukaa hapo kama Waziri.
Ilikuwa shida kidogo maana waziri aliyeondoka bado alikuwa anatafuta makazi lakini alitakiwa haraka kutoka na Natepe.
Ikampasa Mzee Mwinyi kutoka kwa haraka na siku anatoka pale nyumbani alikuwa amenunua mabati 150 na mifuko ya saruji 100 ya kwake wala sio mali ya Serikali.
Natepe alimkatalia kuvichukua akidai ni mali ya Serikali. Kweli mzee Mwinyi akaviacha akaondoka.
Baada ya miaka kadhaa tu Mzee Mwinyi akateuliwa kuwa Rais wa Zanzibar.
Natepe wakati ana jifikiria jinsi ya kwenda kumpongeza na kumuomba radhi kwa aliyomfanyia kabla ya kufikiria njia Mzee Mwinyi akaletwa bara mwaka 1985 kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hapa sasa Natepe akajua kazi hana na atatimuliwa haraka iwezekanavyo tena na kutengwa na nyadhifa za JMT kwa kuwa kuna mabaya ya wazi na ya sirini aliyomtendea Mzee mwinyi.
Mzee Mwinyi baada tu ya kuapishwa kuwa Rais wa JMT wakati anateua Baraza la Mawaziri akamteua tena Natepe kuwa Waziri pale pale mambo ya ndani.
Siku ya kumuapisha akamwambia Natepe siyo kwamba nakupenda sana hapana ila napenda kazi yako unavyofanya endelea kufanya kazi.
Siku moja Mzee Mwinyi yupo Ikulu kapumzika akaona malori yanaingia na akaambiwa mzigo wako huu. Mh Rais akashtuka mbona sijaagiza kitu mie??
Ndipo akaambiwa umetoka kwa Natepe Mzee Mwinyi akacheka sana akawaambia wasaidizi wake shusheni mabati 150 na saruji 100 hizo ndio haki yangu zingine mrudishieni tu.
Hapa kuna somo kubwa Sana. Ubaya hulipwa kwa Wema na Maisha hayana Mwalimu.
Kwa ujumbe huu nasi tujifunze mengi.
🙏
MUWE NA MWAKA WA BARAKA NYOTE!!
👁️
👁️

Tunapoanza mwaka mpya wa 2022 jitahidi kutolipa mabaya kwa mabaya
ASOMAYE na AFAHAMU.View attachment 2066702
Uungwana wake umelipa, Zanzibar ameingiza wa.... si haba, ndiyo sababu babu katulia tuli anachekelea.
 
Back
Top Bottom