Konzo Ikweta
JF-Expert Member
- Oct 3, 2013
- 735
- 1,467
- Thread starter
- #81
HahahahahSasa ukitoa waraka wenzako wanatengeneza clip,ni mwendo wa kutibuliana tu,hakuna anayekubali kushindwa.
Nalog off
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahSasa ukitoa waraka wenzako wanatengeneza clip,ni mwendo wa kutibuliana tu,hakuna anayekubali kushindwa.
Nalog off
Mkuu Pohamba , ni kweli huyu Konzo Ikweta ni muongo!. 1976 ni mwaka wa tukio lililosabisha Mwinyi kujiuzulu, ila alijiuzulu mwaka 1977. Aliyemtimua kwenye nyumba ni Jackson Makweta.Story ya uongo na ya kutungwa
Mzee Mwinyi alijiuzulu 1976 sio 1983
Sawa MkuuMkuu Pohamba, 1976 ni mwaka wa tukio lililosabisha Mwinyi kujiuzulu.
Watuhumiwa wawili wa mauaji ya vikongwe Mwanza, Masanja Makhulla Mazengenuka na Issac Mwana Mkoboko, walifariki kwa mateso katika mahojiano na polisi eneo la Kigoto.
Kufuatia vifo hivyo, Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Hassan Mwinyi alijiuzulu, IGP, Samuel Pundugu, Director wa Tiss, Emilio Mzena, na Mkuu wa Mwanza, Peter Kisumo wakastaafishwa kwa manufaa yang umma. Mzee wangu, RSO wa Mwanza, RPC wa Mwanza, DSO wa Mwanza na OCD wa Mwanza wakashitakiwa kwenye ile Kesi ya Mauaji Mwanza.
PTISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
Wanabodi Naendelea na zile mada zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo ni mada za uzalendo kutoka kwa mzalendo wa kweli wa taifa hili. Mada ya leo ni kujadili moja ya Idara zetu nyeti sana, hapa nchini kwetu, hii ni idara yetu ya Usalama wa Taifa, TISS. Introduction ya Mada Hii ni mada very...www.jamiiforums.com
Alipojiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi mwaka 83 kama sijakosea nafasi yake aliteuliwa mzee mmoja kutoka zanzibar anaitwa mzee natepe kushika uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi.
Natepe alipoingia tu officen alimtaka waziri aliemtangulia kutoka katika nyumba ya waziri ili yeye aweze kukaa hapo kama waziri.
Ilikuwa shida kidogo maana waziri alieondoka bado alikuwa anatafuta makazi lakini alitakiwa haraka kutoka na Natepe.
Ikampasa mzee mwinyi kutoka kwa haraka na siku anatoka pale nyumbani alikuwa amenunua mabati 150 na mifuko ya saruji 100 ya kwake wala sio mali ya serekali.
Natepe alimkatalia kuvichukua akidai ni mali ya serekali kweli mzee mwinyi akaviacha akaondoka.
Baada ya miezi kadhaa tu mzee mwinyi akateuliwa kuwa Rais zanzibar Natepe wakati ana jifikiria jinsi ya kwenda kumpongeza na kumuomba radhi kwa aliyomfanyia kabla ya kufikiria njia mzee mwinyi akaletwa bara mwaka 1985 kama Rais wa JMT.
Hapa sasa Natepe akajua kazi hana na atatimuliwa haraka iwezekanavyo tena na kutengwa na nyadhifa za JMT kwakuwa kuna mabaya ya wazi na ya sirini aliyomtendea mzee mwinyi.
Mzee mwinyi baada tu ya kuapishwa kuwa Rais wa JMT wakati anateua baraza la mawaziri akamteua tena Natepe kuwa waziri pale pale mambo ya ndani.
Siku ya kumuapisha akamwambia Natepe sio kwamba nakupenda sana hapana ila napenda kazi yako unavyofanya endelea kufanya kazi.
Siku moja mzee mwinyi yupo ikulu kapumzika akaona malori yanaingia na akaambiwa mzigo wako huu mh Rais akashtuka mbona sijaagiza kitu mie??
Ndipo akaambiwa umetoka kwa natepe mzee mwinyi akacheka sana akawaambia wasaidizi wake shusheni mabati 150 na saruji 100 hizo ndio haki yangu zingine mrudishieni tu.
HahahahahahaHuyu Mzee ndiye Rais pekee mwenye sifa ya Uchamungu
Natepe kastaafu jeshini mwaka gani??Ni hivi ukiingia tu kwenye chama lazima uache kazi ya jeshi utabaki tu unaitwa kwa title lakini kambini tena uendi kama mwanajeshi na majukumu ya kijeshi wanakuvua.
Mie Natepe watoto wake wa rika langu ndio vijana niliokuwa nao mtaani na nilikuwa naingia mpaka nyumbani kwake na najua kuna fursa kibao zilimpita kwa sababu akutaka kuacha jeshi mpaka umri wa kustaafu ulipofika na alipo staafu ndio alianza kufanya kazi za chama.
Isitoshe mie mwenyewe baba yangu alikuwa mwanajeshi.
Amestaafu jeshi rasmi kipindi cha Mwinyi sikumbuki mwaka.Natepe kastaafu jeshini mwaka gani??
Basi ushakubaliana nami kuwa sio kweli zamani watu walikuwa hawashiki nafasi za kisiasa kabla ya kustaafu jeshini.Amestaafu jeshi rasmi kipindi cha Mwinyi sikumbuki mwaka.
Hila kweli alishakuwa waziri ya mambo ya ndani from 1980-83 (news to me) it makes sense kipindi hiki Nyerere alikuwa akijiami either way kushika nyazifa hizo inabidi uvue majukumu ya jeshi.
GoodBasi ushakubaliana nami kuwa sio kweli zamani watu walikuwa hawashiki nafasi za kisiasa kabla ya kustaafu jeshini.
Luteni kanali Jakaya kikwete kawa waziri toka 1988 jeshini kastaafu 1992
Kanali abdulrahman kinana amekuwa waziri toka awamu ya kwanza ya mzee mwinyi na akastaafu jeshini awamu ya pili ya mwinyi 1992.
Maja jenerali abdallah natepe kawa waziri 1983 na akastaafu enzi ya mwinyi.
Mkuu Paskali,Mkuu Pohamba, 1976 ni mwaka wa tukio lililosabisha Mwinyi kujiuzulu.
Watuhumiwa wawili wa mauaji ya vikongwe Mwanza, Masanja Makhulla Mazengenuka na Issac Mwana Mkoboko, walifariki kwa mateso katika mahojiano na polisi eneo la Kigoto.
Kufuatia vifo hivyo, Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Hassan Mwinyi alijiuzulu, IGP, Samuel Pundugu, Director wa Tiss, Emilio Mzena, na Mkuu wa Mwanza, Peter Kisumo wakastaafishwa kwa manufaa yang umma. Mzee wangu, RSO wa Mwanza, RPC wa Mwanza, DSO wa Mwanza na OCD wa Mwanza wakashitakiwa kwenye ile Kesi ya Mauaji Mwanza.
PTISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
Wanabodi Naendelea na zile mada zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo ni mada za uzalendo kutoka kwa mzalendo wa kweli wa taifa hili. Mada ya leo ni kujadili moja ya Idara zetu nyeti sana, hapa nchini kwetu, hii ni idara yetu ya Usalama wa Taifa, TISS. Introduction ya Mada Hii ni mada very...www.jamiiforums.com
Yule mshikishwa ukuta huko ubeberuni?Hekima ni kumpiga Lisu risasi!
Mwinyi ni mtu na nusuHekima ni zaidi ya pesa na utajili mwingine wote wa hapa chini ya jua
Lilikuwa jizi.Natepe alikuwa mtata sana
Duuh! Hii roho mm Sina. Ningemrudi Natepe mpk maji akayaita mmaNdipo akaambiwa umetoka kwa natepe mzee mwinyi akacheka sana akawaambia wasaidizi wake shusheni mabati 150 na saruji 100 hizo ndio haki yangu zingine mrudishieni tu.
Dah mzee mpaka aliandika kwenye kitabu chake inaonekana alimmaindi sana Ila sababu ana roho ya utu alimwachia Mwenyezi Mungu tu.Alipojiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi mwaka 83 kama sijakosea nafasi yake aliteuliwa mzee mmoja kutoka zanzibar anaitwa mzee natepe kushika uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi.
Natepe alipoingia tu officen alimtaka waziri aliemtangulia kutoka katika nyumba ya waziri ili yeye aweze kukaa hapo kama waziri.
Ilikuwa shida kidogo maana waziri alieondoka bado alikuwa anatafuta makazi lakini alitakiwa haraka kutoka na Natepe.
Ikampasa mzee mwinyi kutoka kwa haraka na siku anatoka pale nyumbani alikuwa amenunua mabati 150 na mifuko ya saruji 100 ya kwake wala sio mali ya serekali.
Natepe alimkatalia kuvichukua akidai ni mali ya serekali kweli mzee mwinyi akaviacha akaondoka.
Baada ya miezi kadhaa tu mzee mwinyi akateuliwa kuwa Rais zanzibar Natepe wakati ana jifikiria jinsi ya kwenda kumpongeza na kumuomba radhi kwa aliyomfanyia kabla ya kufikiria njia mzee mwinyi akaletwa bara mwaka 1985 kama Rais wa JMT.
Hapa sasa Natepe akajua kazi hana na atatimuliwa haraka iwezekanavyo tena na kutengwa na nyadhifa za JMT kwakuwa kuna mabaya ya wazi na ya sirini aliyomtendea mzee mwinyi.
Mzee mwinyi baada tu ya kuapishwa kuwa Rais wa JMT wakati anateua baraza la mawaziri akamteua tena Natepe kuwa waziri pale pale mambo ya ndani.
Siku ya kumuapisha akamwambia Natepe sio kwamba nakupenda sana hapana ila napenda kazi yako unavyofanya endelea kufanya kazi.
Siku moja mzee mwinyi yupo ikulu kapumzika akaona malori yanaingia na akaambiwa mzigo wako huu mh Rais akashtuka mbona sijaagiza kitu mie??
Ndipo akaambiwa umetoka kwa natepe mzee mwinyi akacheka sana akawaambia wasaidizi wake shusheni mabati 150 na saruji 100 hizo ndio haki yangu zingine mrudishieni tu.
Jakaya na Kinana walistaafu na kutoka jeshini baada ya kuanza kwa vyama vingi.Jakaya na kinana wamestaafu jeshini mwaka 1992
Jakaya kawa waziri toka 1988.
Una roho ya mwendazake?Duuh! Hii roho mm Sina. Ningemrudi Natepe mpk maji akayaita mma
wewe ni stupid kabiszUongo tu. Hakuna ukweli. Mwinyi alijiuzuru 1977 na aliyembadili ni Hassan Moyo.
Mwinyi alipelekwa kuwa Balozi. Sio kweli kwamba hakuwa na kazi.
Hassan Moyo Ali kuwa waziri mambo ya ndani muda mfupi.
Mwinyi alirudi kuwa waziri 1983
Stories za vijiweni
Sasa siku hizi mbona watu wananyiziwa vituo cha police hatusiki RSO , RPC, RC n.k wakijiuzukuMkuu Pohamba, 1976 ni mwaka wa tukio lililosabisha Mwinyi kujiuzulu.
Watuhumiwa wawili wa mauaji ya vikongwe Mwanza, Masanja Makhulla Mazengenuka na Issac Mwana Mkoboko, walifariki kwa mateso katika mahojiano na polisi eneo la Kigoto.
Kufuatia vifo hivyo, Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Hassan Mwinyi alijiuzulu, IGP, Samuel Pundugu, Director wa Tiss, Emilio Mzena, na Mkuu wa Mwanza, Peter Kisumo wakastaafishwa kwa manufaa yang umma. Mzee wangu, RSO wa Mwanza, RPC wa Mwanza, DSO wa Mwanza na OCD wa Mwanza wakashitakiwa kwenye ile Kesi ya Mauaji Mwanza.
PTISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
Wanabodi Naendelea na zile mada zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo ni mada za uzalendo kutoka kwa mzalendo wa kweli wa taifa hili. Mada ya leo ni kujadili moja ya Idara zetu nyeti sana, hapa nchini kwetu, hii ni idara yetu ya Usalama wa Taifa, TISS. Introduction ya Mada Hii ni mada very...www.jamiiforums.com