Kile kibinti kinajikutaga mboga tisa wakati shida zimekajaa hadi mgongoni.nadhani tumsikilize pia na mabeste anasemaje kuhusu tuhuma hizi..
Tusikilize pande zote mbili.
Sema wanawake wa sasa mkiachana ataanza ooh nimemlea..sijui nini
Sio Siri angekomaa kipindi kile angekuwa far away.
Yeye alipokutana na huyu mzungu koko akaona kashafika mwenyewe, kayapatia maisha..
Hata huyu mama anaonekana alimpendea mabeste "ustar "aliokuwa nao that time .
So hujaoa bado na huna Familia.
Ila Ni kweli ukae Tu uhudumiwe hujishughulishi na chochote upo tuuu unasubiri mkeo apambane hata pipi huuzi au huonyeshi jitihada zozote za kutafuta mweeeehhhhAmesema kwamba kuna tofauti kubwa kati ya mkulima anaye kwenda shambani kisha akakosa mazao na Mtu ambaye amekaa tu amebweteka Bila ya kutafuta .... Daahh matusi makubwa sana haya
Kama huo ndio ukweli ma-beste anapaswa kujifunza
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume wachache Sana hapa duniani wanaweza kumvumlia Lisa kwenye kile kipindi alichopitia Cha ugonjwa alafu Leo unashindwa kuwa nashukrani japo kidogo tu kwa mabeste.Bora dada umekuwa mkweli kwa kuchangia bila kuangalia yule ni mwanamke mwenzako.
Mbn wanaume wa mkoani kutwa kupigana mapanga na kukatwa uume hkoNami nashangaa ingekuwa mwanaume mwingine angemuacha aisee tena wanaume wa dar
Sent using Jamii Forums mobile app
Naam nikweli ...Mimi nilikuwahga karibu sana na Mona gangster Ma-beste alikuwaga anakuja pale classic sound na shetta pamoja na marehemu Pancho .... So najua kiasi baadhi ya story zao zinazo husu maisha yao ... So unachokisema ni kweli Huyo binti alijitoa sana kwa ma-beste .... Ma-beste ni msanii mwenye kipaji sana '' Lakini tatizo Hana kiu ya kutafuta mafanikio
Sent using Jamii Forums mobile app
Me mama yangu kamvumilia mzee wangu alikosa kazi Mwaka 1 mzima huduma zote mama ndo alikuwa ana hudumia kuanzia kulipa ada shule, kula, nauli za Baba kwenda kutafuta kazi sehemu tofauti tofauti pamoja na kumlisha Baba n.k.Mzee baba sio wanawake wote wapo hivyo.
Ila si ndo uyu demu ambae alikua anaumwaga kpnd flani hv MABESTE alikua nae bega kwa bega lamn ? Au yule alikua kamikaze maana nawafananishaga sana hawa jamaa wawili
yess BiShoo haswaaA
Ha,[emoji16][emoji3]Sawa Lisa endelea na shuhuli zako tayari Mabeste ameshaelezea ilivyokua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una obsessionAnatakiwa abadilishe ukubwa wa jina lake kwenda kwenye kipato.
Otherwise ataendelea kulalamika kunyanganywa wanawake.
hivi umeisikiliza hata interview yenyewe kweli???,Haswa ndie yeye,
Mume alipambana sana kumnusuru mkewe.
Na haya ndio malipo ya mke kwa mumewe[emoji119] #wanawake pepo tutaishia kuisoma kwenye vitabu vitakatifu
Sent using Jamii Forums mobile app
je mabeste amelinda jina la lisa????Binafsi nilipenda ndoa yao na wote nimesikia interview zao ila kwa upande wa mabeste hajafunguka Kama mke wake so sitaki nikae kwenye upande fulani cos sijajua mkewe Lisa aliyoongea ni kweli au la! Cha msingi ni vizuri Lisa angevunga au kukaa kimya ili kulinda jina la mabeste kingine mnapofunga ndoa kunakuwa na kiapo kinachosema hasa kwa kikristo tutapendana kwenye shida na wakati wa Raha naonaga hiki kipengele akitekelezwi sijui kwanini?
Mabeste ni kama yule Leo Mysterio wa Riyama Ally!
Una obsession