Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

nadhani tumsikilize pia na mabeste anasemaje kuhusu tuhuma hizi..

Tusikilize pande zote mbili.
Sema wanawake wa sasa mkiachana ataanza ooh nimemlea..sijui nini
Kile kibinti kinajikutaga mboga tisa wakati shida zimekajaa hadi mgongoni.
Siku zote tunafundishwa kushukuru hata kwa kidogo.
.
Anatakiwa aheshimu mchango wa Mabeste jamaa ana mwili mdogo ila hadi alinyauka zaidi means he was struggling for her health, what goes around huwa inakuja tena iko siku katapatwa na shida katamkumbuka msela hapo katakuwa kwa mtu wa ajabu kabisa
 
Sio Siri angekomaa kipindi kile angekuwa far away.
Yeye alipokutana na huyu mzungu koko akaona kashafika mwenyewe, kayapatia maisha..

Hata huyu mama anaonekana alimpendea mabeste "ustar "aliokuwa nao that time .

Of course, na alijua kwa hustle zake wakikomaa pamoja watatoboa.

Mabeste alikuja akarelax, demu kaondoka kwa sababu za kifedha. Kwa hiyo jamaa anatakiwa apige kazi.
 
Amesema kwamba kuna tofauti kubwa kati ya mkulima anaye kwenda shambani kisha akakosa mazao na Mtu ambaye amekaa tu amebweteka Bila ya kutafuta .... Daahh matusi makubwa sana haya

Kama huo ndio ukweli ma-beste anapaswa kujifunza

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila Ni kweli ukae Tu uhudumiwe hujishughulishi na chochote upo tuuu unasubiri mkeo apambane hata pipi huuzi au huonyeshi jitihada zozote za kutafuta mweeeehhhh
Sio Lisa hata Mimi siwezi kuvumilia
Ntavumilia mwanaume hata akiwa anauza nyanya au mzibua vyooo mradi anapata kihalali hapo mabeste alikua amekaa anasubiri apate shoo so akili yake inamuambia kwa hadhi yake hawezi uza pipi yeye Ni staa[emoji41][emoji41][emoji41]mpuuzi huyo kaka!!!
Mwanamke hata siku 1 hawezi ona wala kukubali wanawe walale njaa atapambana mpk kieleweke

Wanaume hakuna kazi ya hadhi yako, kazi Ni kazi mradi mkono uende kinywani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23]🤣


Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume wachache Sana hapa duniani wanaweza kumvumlia Lisa kwenye kile kipindi alichopitia Cha ugonjwa alafu Leo unashindwa kuwa nashukrani japo kidogo tu kwa mabeste.Bora dada umekuwa mkweli kwa kuchangia bila kuangalia yule ni mwanamke mwenzako.
 
Livivuu!basi ataolewa[emoji3][emoji3][emoji3]alijua kapata mzungu wa kumchuna
Hajui kua ukishikwa shikamana usibweteke!
Naam nikweli ...Mimi nilikuwahga karibu sana na Mona gangster Ma-beste alikuwaga anakuja pale classic sound na shetta pamoja na marehemu Pancho .... So najua kiasi baadhi ya story zao zinazo husu maisha yao ... So unachokisema ni kweli Huyo binti alijitoa sana kwa ma-beste .... Ma-beste ni msanii mwenye kipaji sana '' Lakini tatizo Hana kiu ya kutafuta mafanikio

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba alikua anahangaika hakubweteka
Me mama yangu kamvumilia mzee wangu alikosa kazi Mwaka 1 mzima huduma zote mama ndo alikuwa ana hudumia kuanzia kulipa ada shule, kula, nauli za Baba kwenda kutafuta kazi sehemu tofauti tofauti pamoja na kumlisha Baba n.k.Mzee baba sio wanawake wote wapo hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila si ndo uyu demu ambae alikua anaumwaga kpnd flani hv MABESTE alikua nae bega kwa bega lamn ? Au yule alikua kamikaze maana nawafananishaga sana hawa jamaa wawili

yess BiShoo haswaaA


Daaa jamaa huyu mm shabiki yake sana kwa hii nyimbo moja tu.

Sijui ni kwanin hakuonyesha mapenz ya kutosha kwa mkewake, Labda na yeye atakua na yake ya kusema.
 
Binafsi nilipenda ndoa yao na wote nimesikia interview zao ila kwa upande wa mabeste hajafunguka Kama mke wake so sitaki nikae kwenye upande fulani cos sijajua mkewe Lisa aliyoongea ni kweli au la! Cha msingi ni vizuri Lisa angevunga au kukaa kimya ili kulinda jina la mabeste kingine mnapofunga ndoa kunakuwa na kiapo kinachosema hasa kwa kikristo tutapendana kwenye shida na wakati wa Raha naonaga hiki kipengele akitekelezwi sijui kwanini?
je mabeste amelinda jina la lisa????

Sent from my Moto C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom