Jinsi nilivyoambulia kipigo 2016 kwenye Makambi ya wasabato

Jinsi nilivyoambulia kipigo 2016 kwenye Makambi ya wasabato

Pole sana,kuna binti mmoja sijui hata tulianzana vipi,ila alikua mlokole.
Muimba kwaya
Mi muhuni tu,
katika kupiga SOUnd binti kasema ili nikupe mzigo twende wote church tukaimbe.
E bana nilipiga kisichana(nyagi)
Mapema tu.
Mle ndani church ilikua pale kwa chidumule siku hizi selebonge anauza vihepe.
Hombus inn mbele.
Niliimba siku hiyo unaambiwa vibe lote.
Binti alinipa mzigo kilaini
sana badae ikawa mchekea tu.
Ila sikufanikiwa kupigwa
 
Pole sana,kuna binti mmoja sijui hata tulianzana vipi,ila alikua mlokole.
Muimba kwaya
Mi muhuni tu,
katika kupiga SOUnd binti kasema ili nikupe mzigo twende wote church tukaimbe.
E bana nilipiga kisichana(nyagi)
Mapema tu.
Mle ndani church ilikua pale kwa chidumule siku hizi selebonge anauza vihepe.
Hombus inn mbele.
Niliimba siku hiyo unaambiwa vibe lote.
Binti alinipa mzigo kilaini
sana badae ikawa mchekea tu.
Ila sikufanikiwa kupigwa
Heri Yako wewe ulipata mbususu mkuu. Mimi.sikupata na viboko nilipigwa!
 
Tiyari Nimeshaoa mkuu na Nina familia kabisa. Hapa nakumbushia huenda Kwa Sasa sitalisema Tena.

Maana sikuwahi kuwaambia wasabato wowote huko.
🤣🤣🤣🤣
Nyie ndio huwa mnatuaribia malam I tunaonekana wa saba to ni wazinzi.

Rudi upya uoe Ingawa inabidi uwe makini wasabato wa kike wenye mission kama yako pia ni wengi.
 
Back
Top Bottom