Von_Lufuta
JF-Expert Member
- Mar 19, 2023
- 1,528
- 3,641
Usimsemee eti alikukataa sababu ni dhambi, haukumvutia kwa chochote wala usijifarijiSijui uzuri wa mtu upo wapi
Ila nimesikia uzuri wa mtu upo machoni pa mtu mwenyewe
Kingine huyu kijana wa pili ni kati ya wale vijana waaminifu ukizingatia ni msabato nahisi aliona dhambi
Huyo wa kwqnza tulikuwq wqtoto halafu kipindi hicho nilikuwaga kabaya kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anyway mimi kweli ni kabaya sio tu ka kawaida
🤣Nimeshangaa kweli....maana hawa misumali yao ipo active 24 hoursNi ajabu kweli
🤣🤣🤣Ila we dada wewe🤣🤣🙌Watu na nanjirinji tangu lini tukawa wazurii[emoji2957][emoji16]
Jamani 🙄😃😃😃😃Sidhani kama ulikuwa ni pisi kali kama wale jamaa rafiki zake na hendsamu walivyokuwa wanakujaza... Unaonekana wa kawaida tu ndio maana attempt zako zote ziligoma. Ungekuwa mzuri wala isingekuwa rahisi wanaume wote kuchomoa
NAKAZIAInawezekana sio kila mwanamke anafaa kukubaliwa hii unitokea Sana naona ni Bora kukaa single kuliko kulala Kazi Ambazo hazieleweki
🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌 Aziz Ki nini?Wewe Ni mwamba haswaa, kwa kuwa ulifanikiwa kutongoza vijana wawili kwa nyakati tofauti bila kuliwa na hata mmoja wao.
🤣🤣🤣🤣🤣🙌Umenikumbusha Olevel kuna demu 1 alijichanganya kwangu, nkamuonesha picha za maex wangu wote then nkamuuliza kuna hata mmoja hapo umemzidi chochote? Kanichukia mpaka leo sijui hata yupo wapi hahahaha!
Wewe Ni mwamba haswaa, kwa kuwa ulifanikiwa kutongoza vijana wawili kwa nyakati tofauti bila kuliwa na hata mmoja wao.
Mmmh nina shangazi yangu..
Nikiendaga kumtembelea anapenda kujiita hivi (mamamzungu) sio ndo wewe humu
Karibu MiCasa Lounge kuna kreti lako la bia mkuu🙌🙌🙌Umenikumbusha Olevel kuna demu 1 alijichanganya kwangu, nkamuonesha picha za maex wangu wote then nkamuuliza kuna hata mmoja hapo umemzidi chochote? Kanichukia mpaka leo sijui hata yupo wapi hahahaha!
Tena sisi wanaume ndo huwa tunadhihakiwa sana kwenye utongozaji ila tunachukuliaga poa tu, hatujali wala nini.[emoji23][emoji23] sio vizuri muue au umbake
Mmmmhh shangazi ndio wewe...Inawezekana maana sasa hivi ni mshangazii
Hahahahahaha! Riverside hapo nakuja chap ziwe za baridi kuliko hili baridi.Karibu MiCasa Lounge kuna kreti lako la bia mkuuí ½í¹í ½í¹í ½í¹
Tena sisi wanaume ndo huwa tunadhihakiwa sana kwenye utongozaji ila tunachukuliaga poa tu, hatujali wala nini.
SAY NO TO PISI MBOVU... BORA UCHUKUE SHERIA MKONONI
Mmmmhh shangazi ndio wewe...
Ngoja nikasome hii mwanzo mwisho [emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji119][emoji119][emoji119]