Jinsi nilivyokataliwa na hawa vijana

Usimsemee eti alikukataa sababu ni dhambi, haukumvutia kwa chochote wala usijifariji
 
Sidhani kama ulikuwa ni pisi kali kama wale jamaa rafiki zake na hendsamu walivyokuwa wanakujaza... Unaonekana wa kawaida tu ndio maana attempt zako zote ziligoma. Ungekuwa mzuri wala isingekuwa rahisi wanaume wote kuchomoa
Jamani 🙄😃😃😃😃
 
Umenikumbusha Olevel kuna demu 1 alijichanganya kwangu, nkamuonesha picha za maex wangu wote then nkamuuliza kuna hata mmoja hapo umemzidi chochote? Kanichukia mpaka leo sijui hata yupo wapi hahahaha!
🤣🤣🤣🤣🤣🙌
 
Umenikumbusha Olevel kuna demu 1 alijichanganya kwangu, nkamuonesha picha za maex wangu wote then nkamuuliza kuna hata mmoja hapo umemzidi chochote? Kanichukia mpaka leo sijui hata yupo wapi hahahaha!
Karibu MiCasa Lounge kuna kreti lako la bia mkuu🙌🙌🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…