Jinsi nilivyokataliwa na hawa vijana

Pole sana

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Udaku story nisubili party 2
 

[emoji23][emoji23][emoji23] niliumia sana halafu mpk Leo ni rafiki angu kuna kipindi nini limuomba ushaurii kuhusu kijana mmoja alikuwa ananisumbua nishawahi kuweka mada hapa ni mchaga

Sasa rafiki angu nae ni mchaga alivyo hana akili ananiambia et kama vipi nimpe yeye huyo mchaga maana wachaga wanaweza a wenyewe kwa wenyewe akawa analazimisha nimpe namba [emoji1787][emoji23][emoji23]

Nilivyoona hivyo nikakumbuka aliwahi niibia zamani ikabidi nimwambie niliokuambia yote ni uongo ndio akaacha hizo swaga za kuomba namba ya bebi wangu
 
Umenikumbusha Olevel kuna demu 1 alijichanganya kwangu, nkamuonesha picha za maex wangu wote then nkamuuliza kuna hata mmoja hapo umemzidi chochote? Kanichukia mpaka leo sijui hata yupo wapi hahahaha!
Kwahiyo uliona ndiyo njia yakumkatalia?

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Wewe jiheshimu....
Shangazi ni kwa kiume na Mshangazi ni kwa wa kike...
Mmmmh hamna. Kama ni mwembamba ndio shangazi, ila mshangazi ujue ni matumbo matumbo tu.

wewe ndio ulinisiginia kunguni kwa mnyaturu wangu, sasa ngoja nikukazie kama Nyerere alivyomkazia mzungu
 
Niliwahi kusema uwoga wako utakuponza sana....πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“
Nimekuwa nyuki wa mashineni πŸ˜…πŸ˜…πŸ™Œ


Wazee tuliozaliwa enzi ya Nyerere tuna maadili πŸ€ͺ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…