Nakumba kuna vijana walikuwa wanamnang'a mdada boss wao akawakuta aliwasema sana kama humtaki usimseme vibaya, kuna wengine huwaacha wapenzi wao nakuwaona wabaya wakienda huko sasa wanavyokutana navyo huko ni majutoKwakweli ni ukatili wa kijinsia
mimi nachagua nyama ya kula πItakuwa ni wewe eti?
Ndiyo wale wakiwa na wapenzi wao wamekaa sehemu hawezi hata mgusa kidole nikuinama inama kama kuku mwenye mdondo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Haha baada ya hapo ukaanza kutongozwa mpaka kuwekwa ndani na kujenga familia uliyonayo au vipi mama mzungu?
Kwasababu hauna ndiyo uwafanyie hivyo wadada wawatu? Kwani huwezi kuzaa binti? Mungu fundi anaweza fanana na .....sio vizuri, ni maoni yangu tu lakini!Sina dada! kwetu tupo watatu, wote maharamia kudadeki.
Mimi chuo nimekataa mademu watatu kisa sijavutiwa nao [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Halafu pisi kali zote wakanitolea nje [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimetoka kapa [emoji23][emoji23][emoji23]
Umenikumbusha Enzi za secondary Kuna mkaka nilimuelewa vibaya sana...mdogo wake tulikuwa tunasoma naye huyo kaka alikuwa kidato cha mbele yetu
Basi mdogo wake wa kiume alikuwa best yangu...ikabidi nimwambie nampenda kaka yako akanambia andika barua nitampelekea....basi bidada nikajipinda nikaandika barua nikapachika sticker za makopa na dedication kibao za kina Celine dion [emoji6][emoji6] kaka akapelekewa bwana....akarudisha majibu kumbe na yeye alinielewa tukaanza kudate [emoji2960]
Mdogo mtu akaanza wivu siku ya siku akaiiba ile barua akaisambaza darasani jamani niliaibika mie [emoji24][emoji24][emoji24] kidogo nitoroke shuleee
Ila bahati nzuri kakamtu alinicover sana mdogomtu akaaibika[emoji41]
Malaya kazini
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mpaka inakera[emoji23][emoji23][emoji23] ni mafara tu
Uyo kijana wa pili nafikir bado alikuwa limbukeni wa mapenzi haiwezekani mdada akutongoze alafu umwache usimpige miti kweli dah inauzunisha sana, ila siwezi mlaumu sana nakumbuka kipindi hicho kwenye 2005 nilikuwa kwenye kidato cha pili hivi kiufupi nilikuwa bado kitoto kuna demu mmoja alikuwa mkali sana yan dah[emoji24] yule manzi alikuwa ananipenda sana ilifika wakati mpka akawa anakaa uchi anamanua mipaja tumbua linaonekana sema lilifichwa na pichu lakini bado mbishi nilikuwa sijaelewa code zile basi dah sikulipiga miti lile lidada ila badae wenge likaja nikaa sawa roho iliniuma sana nilijuta kwa nn nilimwacha
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Rafiki mkia wa fisi[emoji23][emoji23][emoji23] Bora wewe alifikisha ujumbe mimi niliomtumA na yeye alijituma akambeba moja kwa moja
Huyo wa pili ndio mpk dedication za Mauasama ila akanichomolea
Utakuwa huna mvuto kabisa ...
Sikumfanyia hvyo coz mimi sina dada. Nilimjibu nilichomjibu kwasababu ni mbaya! Siwezi kudate demu mbaya abadan.Kwasababu hauna
Nakumba kuna vijana walikuwa wanamnang'a mdada boss wao akawakuta aliwasema sana kama humtaki usimseme vibaya, kuna wengeni huwaacha wapenzi wao nakuwaona wabaya wakienda huko sasa wanavuokutana navyo majuto
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Haha kwa mitongozo hiyo wakisikia rahaaa mwenyewe na kujiona ulikuwa bwege kipindi kile eh?πYeah natongozwa kama maji tu siku hizi
Awo vijana wazembe ningekuwa mimi nachapa alafu natimka
Rafiki mkia wa fisi
Sikumfanyia hvyo coz mimi sina dada. Nilimjibu nilichomjibu kwasababu ni mbaya! Siwezi kudate demu mbaya abadan.
Hahahaha.............Hongera kukua, hebu nitupie hiyo mistari sasa nione kama nitakubali π€ͺNishakua sasa