Jinsi nilivyolazwa nje na wachawi mkoani Njombe

Jinsi nilivyolazwa nje na wachawi mkoani Njombe

Sijawahi sikia kuwa kuna mti ambao watu waliokufa kwa njia ya kichawi wanaweza rudi. Ingekuwa hivyo ingekuwa ndo mwisho wa wachawi kufanya ujinga wao na pia kuumbuka. Pia watu wengi wangerudishwa maana kila mtu angeenda kuuchukua. Kumbuka kuwa hapa Tanzania mambo kama hayo yanafanya watu wengi waliofanikiwa kushindwa kufanya maendeleo yao vijijini kisa ni ujinga huu
Sio mti kama mti bali dawa ya kuwatoa huko waliko imefukiwa chini ya huo mti.
 
Yeah vikongwe vingi vilifyekwa, Sumbawanga ndio balaa, hata juzi tu ufipa hapa kuna mzee wamemlima mapanga kwa issue za uchawi na alikuwa akiogopeka sana.
Japo ni uvunjifu was Sheria Ila mda mwingine ni Bora tu
 
Namwelekeza dogo anasema niwe naamini tu kwa kuwa sijafahamu kama kitu kipo. Nami nmemuuliza kwa kuwa hafahamu kuwa mimi ni baba yake original je sasa nimemjulisha anasemaje?
Duh😄😄😄
 
Vitabu vitakatufu vyenyewe vinasema usimuache mchawi aishi. Mchawi ndiye chanzo cha mifarakano kwenye familia mpaka jamii nzima. Jamii ikitawaliwa na wachawi hakuna maendeleo yatakayoonekana hilo eneo abadan.
Sahihi
 
Uliwafanya nini mkuu mbon mm niko huku njombe mwak wa 11 huu cjawahi lazwa nje kwanza ni kijiji gani hicho
😂😂😂😂Wastaarabu gani wanivalishe nguo afu washindwe kunisanua kwamba oya umelala nje?
 
Back
Top Bottom