Jinsi nilivyolazwa nje na wachawi mkoani Njombe

Jinsi nilivyolazwa nje na wachawi mkoani Njombe

Waache waseme Chai,
Watoto hao.
Familia yetu toka pale iliparaganyika mpaka sasa.
Yule mama ndo kabisa anauza samaki huko morogoro.
Wakati maisha yalikua ya Neema tu kabla hawa wazee hawajafa.
Uchawi ni chanzo kikuu cha umasikini, tuupige vita. Tusiwaone wajinga watu wa Kanda ya ziwa waliokuwa wakiua vikongwe vichawi, na wengine kuwafukuza kwenye jamii zao, walichoshwa.
 
Shalom wapendwa,

Leo nimekumbuka kisa hiki, kilichonitokea mwenyewe nikiwa katika harakati Mkoa wa Njombe. Narudia tena hii sio stori ya kufikirika imenitokea mwenyewe.

Uchawi hauna faida yoyote ni ujinga uliokomaa, ni utumwa. Walio wachawi wanamani kutoka ila there is no way out there. Ninamiliki maduka ya dawa za binadamu yaliyopo maeneo ya vijijini huko, kazi yangu hua ni kuzunguka na kutafuta watu wa kuuza tu na kufunga mahesabu mwisho wa mwezi.

Siku Moja kuna dada wa ADDO aliyekuwa akiuza moja kati ya maduka alipata dharura na kwakua nilikuwa na nafasi nilimruhusu aende nami nikaenda kumpokea kuuza dawa Ili clients wasikose huduma mpaka atakaporejea. Sasa hapo ndipo tatizo lilipoanzia.

Hiyo siku nimeamka vizuri kabisa nikashinda vema jioni imefika nikafunga hesabu na kulikua na pesa kwenye draw nilizibeba na kwenda nazo nyumbani kwa sababu za kiusalama, nikaacha kiasi kadhaa pia kwenye draw. Baada ya kufikia nyumbani nikaweka pesa vizuri nikawasha data niperuzi kidogo Kisha nikalala.

Naamka asubuhi nimelala nje😂😂😂 kwenye shimo Moja lilikua jirani na nyumba. Kitu kilichonishangaza nililala na boksa nikaamka nje nikiwa na nguo zangu nilizovaa jana😨

Kitendo cha kutaka kurudi ndani nakuta mlango umefungwa kwa ndani, nikawa najiuliza nilitokea wapi? Nikajaribu kupush mlango ukafunguka kuingia ndani nakuta panya sita kitandani wametulia wananiangalia tu😂😂😂 nikarusha kiatu wakapanda darini na kupotea ghafla kukawa kimya.

Impact za tukio lile, pesa nilizorudi nazo jana hakukua na hata kumi iliyokuepo😬 (zilipotea)

Sikuweza kukaa tena kule, nikafunga duka mpaka yule dada aliporudi kusongesa gurudumu. Kwa Sasa nikienda huwa silali kabisa hata iwe late kiasi gani nitarudi mjini.

Kama hujapita Njombe hujaona uchawi bado.
🤣🤣🤣
 
Shalom wapendwa,

Leo nimekumbuka kisa hiki, kilichonitokea mwenyewe nikiwa katika harakati Mkoa wa Njombe. Narudia tena hii sio stori ya kufikirika imenitokea mwenyewe.

Uchawi hauna faida yoyote ni ujinga uliokomaa, ni utumwa. Walio wachawi wanamani kutoka ila there is no way out there. Ninamiliki maduka ya dawa za binadamu yaliyopo maeneo ya vijijini huko, kazi yangu hua ni kuzunguka na kutafuta watu wa kuuza tu na kufunga mahesabu mwisho wa mwezi.

Siku Moja kuna dada wa ADDO aliyekuwa akiuza moja kati ya maduka alipata dharura na kwakua nilikuwa na nafasi nilimruhusu aende nami nikaenda kumpokea kuuza dawa Ili clients wasikose huduma mpaka atakaporejea. Sasa hapo ndipo tatizo lilipoanzia.

Hiyo siku nimeamka vizuri kabisa nikashinda vema jioni imefika nikafunga hesabu na kulikua na pesa kwenye draw nilizibeba na kwenda nazo nyumbani kwa sababu za kiusalama, nikaacha kiasi kadhaa pia kwenye draw. Baada ya kufikia nyumbani nikaweka pesa vizuri nikawasha data niperuzi kidogo Kisha nikalala.

Naamka asubuhi nimelala nje[emoji23][emoji23][emoji23] kwenye shimo Moja lilikua jirani na nyumba. Kitu kilichonishangaza nililala na boksa nikaamka nje nikiwa na nguo zangu nilizovaa jana[emoji32]

Kitendo cha kutaka kurudi ndani nakuta mlango umefungwa kwa ndani, nikawa najiuliza nilitokea wapi? Nikajaribu kupush mlango ukafunguka kuingia ndani nakuta panya sita kitandani wametulia wananiangalia tu[emoji23][emoji23][emoji23] nikarusha kiatu wakapanda darini na kupotea ghafla kukawa kimya.

Impact za tukio lile, pesa nilizorudi nazo jana hakukua na hata kumi iliyokuepo[emoji51] (zilipotea)

Sikuweza kukaa tena kule, nikafunga duka mpaka yule dada aliporudi kusongesa gurudumu. Kwa Sasa nikienda huwa silali kabisa hata iwe late kiasi gani nitarudi mjini.

Kama hujapita Njombe hujaona uchawi bado.
Duuuu walikuvesha mpaka nguo aisee hao wachawi wastarabu hawajakubaka kweli?
 
Asante mkuu, uchawi upo. Nikiendaga Mbeya huwa nauangaliaga sana mti ambao yule causin alisema dawa ya kuwarudisha walioondoka ipo. Ni miaka mingi sasa, inawezekana hata uko alipokuwa baba ameshafariki kwa kifo cha Muumba (Natural death). May his beloved soul rest in peace[emoji120]
Sijawahi sikia kuwa kuna mti ambao watu waliokufa kwa njia ya kichawi wanaweza rudi. Ingekuwa hivyo ingekuwa ndo mwisho wa wachawi kufanya ujinga wao na pia kuumbuka. Pia watu wengi wangerudishwa maana kila mtu angeenda kuuchukua. Kumbuka kuwa hapa Tanzania mambo kama hayo yanafanya watu wengi waliofanikiwa kushindwa kufanya maendeleo yao vijijini kisa ni ujinga huu
 
Sasa kuto kuvijua wewe haimaanishi kwamba havipo, kwa hiyo ili uamini kuwa kuna ushoga ni lazima uliwe wewe trako kwanza ndio utaamini ushoga upo?
Kwa hiyo nikisema mimi ndo nilimpa Mimba mama yako ukazaliwa wewe utakubali? Kuwa wewe ni sehemu ya my sperms?
 
Uchawi ni chanzo kikuu cha umasikini, tuupige vita. Tusiwaone wajinga watu wa Kanda ya ziwa waliokuwa wakiua vikongwe vichawi, na wengine kuwafukuza kwenye jamii zao, walichoshwa.
Enzi za macho mekundu?
 
Sijawahi sikia kuwa kuna mti ambao watu waliokufa kwa njia ya kichawi wanaweza rudi. Ingekuwa hivyo ingekuwa ndo mwisho wa wachawi kufanya ujinga wao na pia kuumbuka. Pia watu wengi wangerudishwa maana kila mtu angeenda kuuchukua. Kumbuka kuwa hapa Tanzania mambo kama hayo yanafanya watu wengi waliofanikiwa kushindwa kufanya maendeleo yao vijijini kisa ni ujinga huu
Na vijijini ndo Kuna matatizo sana
 
Back
Top Bottom