MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
ni mwiko mchawi kuiba akiwa kazini.
CHAI.!!😉
CHAI.!!😉
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kama ulikuwepo vile😆Polee sana mkuu...hiyo mikoa ni balaa nakumbuka familia ikianza kunyanyuka tu wanatuma komboraa...tena ndugu yako kabisa anakumaliza ......
Kudadeki hii ni balaa🤔 pole Sana mkuuNgoja nisimulie.....
Baba ni alishatangulia mbele za haki na kwa kifo chake sisi kama familia hatukuwahi mazishi yake baada ya kuchelewa kufika msibani Mbeya toka Dar esa Salaam. Kwanini ilikuwa hivi; baba alilazwa Tanga akafia njiani maeneo ya Iringa wakati baba mdogo anamrudisha Mbeya nyumbani baada ya baba kumsisitiza mdogo wake amrudishe kwa wazazi Mbeya. So baba mdogo akaona kwasababu ameshafika Iringa kugeuza kuja na maiti Dar itakuwa kipengere akakanyaga mafuta mpaka Mbeya( Hii ni kwa mujibu ya maelezo yake kwa bi mkubwa). So walipoona sisi watoto wake na mkewe tunachelewa wakaamua wazike maana mwili ulishaanza kujaribika.
Ilipita miaka mingi kama tisa tangia baba afariki, mama alimchukia mtoto wa shangazi kule kijijini ili amsomeshe kumpunguzia mzigo wifi yake. Katika kukaa pale home, mama alishindwa kuzielewa tabia za yule dogo, kwasababu mama alikuwa mlokole, Kuna siku alialika timu ya walokole wenzake na mchungaji pale nyumbani nasisi watoto wote tukiwepo. Baada ya kuimbaimba na kuanza maombi yule dogo (mtoto wa shangazi akapandisha mapepo) walipokuwa wakimuombea yale majamaa yaliyompanda kichwani yakaanza kuongea mambo ambayo hakuna aliyetegemea hata kidogo. Kumbe yule dogo yuko nyumbani kwetu kimisheni, kwa ninayokumbuka yalisema " tumemleta huyu hapa kuhakikisha mwezi wa kumi na mbili inapatikana kafara kutoka Kwenye familia hii na target alikuwa mdogo wangu wa kike anayenifuata mimi. Na baba walimchukua yupo Kwenye nyumba ya babu akitumika maana alikuwa hakubaliani na mambo anayofanya baba ake yaani babu yetu Sasa.
Watu wote walishtuka kusikia vile. Kwasababu waliongea mambo mazito ikabidi apigiwe simu baba yetu mdogo aje asikie yale mambo.
Kipindi hiko dogo amerudiwa na fahamu sasa jioni mzee mdogo akaja home na kuwekwa kikao kidogo cha kifamilia na marafiki wachache wa baba ambao mama aliwaita. Hapa nina waongelea watu wazito, mzee alifariki akiwa Chief Auditor wa shirika moja kubwa la UN, baba mdogo alikuwa Deputy Managing Director wa shirika kuba la kuzalisha umeme hapa nchini na marafiki wa mzee wenye nafasi zao serikalini kipindi hiko.
Yule dogo aliongea mengi mpaka kutaja members wa chama chao cha wachawi kule kijijini Mbeya kikiongozwa na dada ake babu yetu msaidizi akiwa babu na wote ambao wameshawala nyama na waliowachukua msukule ambao yeye anawafahamu, baba yetu (kwa yule dogo ni mjomba) alichukuliwa kwasababu alikuwa ni mbishikwa mambo ya babu. Pia alielezea jinsi wanavyofanya na babu na huwa anakuja mpaka pale nyumbani na kwa baba mdogo O-bay. Jinsi wanavyoangamiza familia, akawataja na shangazi zangu watatu ambao ni marehemu sasa walivyowachukua. Akaongezea mwaka huo ndio zamu ya mdogo wangu na mtoto mkubwa wa baba mdogo wetu wa kiume.
Baba mdogo kusikia hivyo akachomoa bastola na kumlenga yule dogo, watu wote walihamaki. Bila kutegemea bastola ilitoa moshi baada ya kufyatua risasi(kiufupi risasi iligoma kutoka) wakati anashangaa rafiki yake baba aliyekuwa jirani na mzee akampokonya ile bastola mzee kwa hasira akatoka nje na kwenda kukaa Kwenye gari yake. Baadae tukaamuliwa watoto wote tuondoke wakabaki wazee pale sebureni wakijadili yaliyotokea.
Ninachokumbuka kesho yake yule binti alitaarishiwa nauli na kurudishwa Mbeya. Hiki ndio kisa kilichoifanya nyumba yetu wote tuokoke na kutokanyaga kule kijijini Mbeya mpaka alipofariki babu na kukaa miaka kadhaa baada ya kumaliza chuo kikuu. Kiufupi familia yetu haukutaka kusikia tena mambo yanayoendelea kule kijijini pamoja na kuitwa mara nyingi kwenye vikao vya kiukoo. Sasa hivi ni mtu mzima, naenda kuwatembelea waliobaki, lakini wadogo zangu na mama wameshikiria msimamo wao mpaka Sasa. Uchawi upo
Niishie hapa
Asante mkuu, uchawi upo. Nikiendaga Mbeya huwa nauangaliaga sana mti ambao yule causin alisema dawa ya kuwarudisha walioondoka ipo. Ni miaka mingi sasa, inawezekana hata uko alipokuwa baba ameshafariki kwa kifo cha Muumba (Natural death). May his beloved soul rest in peace🙏Kudadeki hii ni balaa🤔 pole Sana mkuu
Mkuu pole sana,lakini wadogo zangu na mama wameshikiria msimamo wao mpaka Sasa. Uchawi upo
Niishie hapa
ChaiShalom wapendwa,
Leo nimekumbuka kisa hiki, kilichonitokea mwenyewe nikiwa katika harakati Mkoa wa Njombe. Narudia tena hii sio stori ya kufikirika imenitokea mwenyewe.
Uchawi hauna faida yoyote ni ujinga uliokomaa, ni utumwa. Walio wachawi wanamani kutoka ila there is no way out there. Ninamiliki maduka ya dawa za binadamu yaliyopo maeneo ya vijijini huko, kazi yangu hua ni kuzunguka na kutafuta watu wa kuuza tu na kufunga mahesabu mwisho wa mwezi.
Siku Moja kuna dada wa ADDO aliyekuwa akiuza moja kati ya maduka alipata dharura na kwakua nilikuwa na nafasi nilimruhusu aende nami nikaenda kumpokea kuuza dawa Ili clients wasikose huduma mpaka atakaporejea. Sasa hapo ndipo tatizo lilipoanzia.
Hiyo siku nimeamka vizuri kabisa nikashinda vema jioni imefika nikafunga hesabu na kulikua na pesa kwenye draw nilizibeba na kwenda nazo nyumbani kwa sababu za kiusalama, nikaacha kiasi kadhaa pia kwenye draw. Baada ya kufikia nyumbani nikaweka pesa vizuri nikawasha data niperuzi kidogo Kisha nikalala.
Naamka asubuhi nimelala nje😂😂😂 kwenye shimo Moja lilikua jirani na nyumba. Kitu kilichonishangaza nililala na boksa nikaamka nje nikiwa na nguo zangu nilizovaa jana😨
Kitendo cha kutaka kurudi ndani nakuta mlango umefungwa kwa ndani, nikawa najiuliza nilitokea wapi? Nikajaribu kupush mlango ukafunguka kuingia ndani nakuta panya sita kitandani wametulia wananiangalia tu😂😂😂 nikarusha kiatu wakapanda darini na kupotea ghafla kukawa kimya.
Impact za tukio lile, pesa nilizorudi nazo jana hakukua na hata kumi iliyokuepo😬 (zilipotea)
Sikuweza kukaa tena kule, nikafunga duka mpaka yule dada aliporudi kusongesa gurudumu. Kwa Sasa nikienda huwa silali kabisa hata iwe late kiasi gani nitarudi mjini.
Kama hujapita Njombe hujaona uchawi bado.
Sasa kama mtu alichukuliwa ukimrudisha unamuweka wapi? Ila inawezekana ikawepo.💔Asante mkuu, uchawi upo. Nikiendaga Mbeya huwa nauangaliaga sana mti ambao yule causin alisema dawa ya kuwarudisha walioondoka ipo. Ni miaka mingi sasa, inawezekana hata uko alipokuwa baba ameshafariki kwa kifo cha Muumba (Natural death). May his beloved soul rest in peace🙏
Lakini Kuna watu watakuja kusema ni chai😬.Mkuu pole sana,
Mi mzee wangu pia walimpitia,ni hukohuko Mbeya.
Kisa mdingi alisimamia mirathi ya mshkaji wake wa karibu na tulikua majirani tu.
Sasa kaka mtu kapita na mdogo wake yaani kamuua,hazijapita siku 2 kahamia kwenye lile jumba,
Baadae kataka kumrithi mke wa mdogo wake na watoto na mali zote.
Yule Mama alikua wa Kyela hukoMzuri saaana.
aisee kile kilio alikuja kuangusha pale nyumbani wakati anaelezea mambo yao sio cha nchi hii.
Dingi akabeba jukumu lote,
Yule alikua mtu wake wa karibu tu kuna deal zao walikua wanapiga Tunduma huko na Chunya.
Dingi kasimamia kisheria, mke kapewa haki yake.
Da Dingi kapewa Onyo na yule mwanga.
Kwamba we unajifanya unajua kusimamia kesi za watu.
Ngoja yako.
Nakumbuka kabisa alianza kugawa vitu..
Mi Redio alinipa maana ndo tulikua tunaipiga na kuskiliza mziki wa Sam Mangwana, Tabu Ley,Evoloko,Viva la Musika pamoja huku ye akila vyombo vyake.
Aisee mdingi akafa ghafla tu kwa accident.
Hili jambo km familia mpaka leo tuna machungu sana.
Huyo mlozi kuna siku nikakutana nae kwa mbali Simike aisee alianza kukimbia aliponiona tu na nikatambaa nae kala mawe ya kutosha.
Walikuja kukiri baadae kwamba walimchukua Mzee Msukule.
Hao wake wa wazee wote ni Walokole kabisa.
RIP🙏
Sasa kuto kuvijua wewe haimaanishi kwamba havipo, kwa hiyo ili uamini kuwa kuna ushoga ni lazima uliwe wewe trako kwanza ndio utaamini ushoga upo?Nabisha sababu siwezi kukubali vitu ambavyo sivijui. Wewe huwa unakubali?
Hujawahi sikia msukule unarudishwa? Hapo sasa ndio sijui anakuwa katika hali gani I mean kama itawezekana kurecover na kurudiwa na kumbukumbu zake na kuwa binadamu wa kawaida.Sasa kama mtu alichukuliwa ukimrudisha unamuweka wapi? Ila inawezekana ikawepo.💔
Wenge lako tu au pombe huyo mfanyakazi wako anaishije huko?Shalom wapendwa,
Leo nimekumbuka kisa hiki, kilichonitokea mwenyewe nikiwa katika harakati Mkoa wa Njombe. Narudia tena hii sio stori ya kufikirika imenitokea mwenyewe.
Uchawi hauna faida yoyote ni ujinga uliokomaa, ni utumwa. Walio wachawi wanamani kutoka ila there is no way out there. Ninamiliki maduka ya dawa za binadamu yaliyopo maeneo ya vijijini huko, kazi yangu hua ni kuzunguka na kutafuta watu wa kuuza tu na kufunga mahesabu mwisho wa mwezi.
Siku Moja kuna dada wa ADDO aliyekuwa akiuza moja kati ya maduka alipata dharura na kwakua nilikuwa na nafasi nilimruhusu aende nami nikaenda kumpokea kuuza dawa Ili clients wasikose huduma mpaka atakaporejea. Sasa hapo ndipo tatizo lilipoanzia.
Hiyo siku nimeamka vizuri kabisa nikashinda vema jioni imefika nikafunga hesabu na kulikua na pesa kwenye draw nilizibeba na kwenda nazo nyumbani kwa sababu za kiusalama, nikaacha kiasi kadhaa pia kwenye draw. Baada ya kufikia nyumbani nikaweka pesa vizuri nikawasha data niperuzi kidogo Kisha nikalala.
Naamka asubuhi nimelala nje😂😂😂 kwenye shimo Moja lilikua jirani na nyumba. Kitu kilichonishangaza nililala na boksa nikaamka nje nikiwa na nguo zangu nilizovaa jana😨
Kitendo cha kutaka kurudi ndani nakuta mlango umefungwa kwa ndani, nikawa najiuliza nilitokea wapi? Nikajaribu kupush mlango ukafunguka kuingia ndani nakuta panya sita kitandani wametulia wananiangalia tu😂😂😂 nikarusha kiatu wakapanda darini na kupotea ghafla kukawa kimya.
Impact za tukio lile, pesa nilizorudi nazo jana hakukua na hata kumi iliyokuepo😬 (zilipotea)
Sikuweza kukaa tena kule, nikafunga duka mpaka yule dada aliporudi kusongesa gurudumu. Kwa Sasa nikienda huwa silali kabisa hata iwe late kiasi gani nitarudi mjini.
Kama hujapita Njombe hujaona uchawi bado.
Wengine hawaamini haya tuyasemayo ila nimependa mchangiaji mmoja mwanzoni alisema kuwa mpaka yakutokee ndio utaamini, wacha wachukulie hizi simulizi kama chai.Mkuu pole sana,
Mi mzee wangu pia walimpitia,ni hukohuko Mbeya.
Kisa mdingi alisimamia mirathi ya mshkaji wake wa karibu na tulikua majirani tu.
Sasa kaka mtu kapita na mdogo wake yaani kamuua,hazijapita siku 2 kahamia kwenye lile jumba,
Baadae kataka kumrithi mke wa mdogo wake na watoto na mali zote.
Yule Mama alikua wa Kyela hukoMzuri saaana.
aisee kile kilio alikuja kuangusha pale nyumbani wakati anaelezea mambo yao sio cha nchi hii.
Dingi akabeba jukumu lote,
Yule alikua mtu wake wa karibu tu kuna deal zao walikua wanapiga Tunduma huko na Chunya.
Dingi kasimamia kisheria, mke kapewa haki yake.
Da Dingi kapewa Onyo na yule mwanga.
Kwamba we unajifanya unajua kusimamia kesi za watu.
Ngoja yako.
Nakumbuka kabisa alianza kugawa vitu..
Mi Redio alinipa maana ndo tulikua tunaipiga na kuskiliza mziki wa Sam Mangwana, Tabu Ley,Evoloko,Viva la Musika pamoja huku ye akila vyombo vyake.
Aisee mdingi akafa ghafla tu kwa accident.
Hili jambo km familia mpaka leo tuna machungu sana.
Huyo mlozi kuna siku nikakutana nae kwa mbali Simike aisee alianza kukimbia aliponiona tu na nikatambaa nae kala mawe ya kutosha.
Walikuja kukiri baadae kwamba walimchukua Mzee Msukule.
Hao wake wa wazee wote ni Walokole kabisa.
RIP🙏
🤣🤣🤣Shalom wapendwa,
Leo nimekumbuka kisa hiki, kilichonitokea mwenyewe nikiwa katika harakati Mkoa wa Njombe. Narudia tena hii sio stori ya kufikirika imenitokea mwenyewe.
Uchawi hauna faida yoyote ni ujinga uliokomaa, ni utumwa. Walio wachawi wanamani kutoka ila there is no way out there. Ninamiliki maduka ya dawa za binadamu yaliyopo maeneo ya vijijini huko, kazi yangu hua ni kuzunguka na kutafuta watu wa kuuza tu na kufunga mahesabu mwisho wa mwezi.
Siku Moja kuna dada wa ADDO aliyekuwa akiuza moja kati ya maduka alipata dharura na kwakua nilikuwa na nafasi nilimruhusu aende nami nikaenda kumpokea kuuza dawa Ili clients wasikose huduma mpaka atakaporejea. Sasa hapo ndipo tatizo lilipoanzia.
Hiyo siku nimeamka vizuri kabisa nikashinda vema jioni imefika nikafunga hesabu na kulikua na pesa kwenye draw nilizibeba na kwenda nazo nyumbani kwa sababu za kiusalama, nikaacha kiasi kadhaa pia kwenye draw. Baada ya kufikia nyumbani nikaweka pesa vizuri nikawasha data niperuzi kidogo Kisha nikalala.
Naamka asubuhi nimelala nje😂😂😂 kwenye shimo Moja lilikua jirani na nyumba. Kitu kilichonishangaza nililala na boksa nikaamka nje nikiwa na nguo zangu nilizovaa jana😨
Kitendo cha kutaka kurudi ndani nakuta mlango umefungwa kwa ndani, nikawa najiuliza nilitokea wapi? Nikajaribu kupush mlango ukafunguka kuingia ndani nakuta panya sita kitandani wametulia wananiangalia tu😂😂😂 nikarusha kiatu wakapanda darini na kupotea ghafla kukawa kimya.
Impact za tukio lile, pesa nilizorudi nazo jana hakukua na hata kumi iliyokuepo😬 (zilipotea)
Sikuweza kukaa tena kule, nikafunga duka mpaka yule dada aliporudi kusongesa gurudumu. Kwa Sasa nikienda huwa silali kabisa hata iwe late kiasi gani nitarudi mjini.
Kama hujapita Njombe hujaona uchawi bado.
Waache waseme Chai,Wengine hawaamini haya tuyasemayo ila nimependa mchangiaji mmoja mwanzoni alisema kuwa mpaka yakutokee ndio utaamini, wacha wachukulie hizi simulizi kama chai.