Sio mti kama mti bali dawa ya kuwatoa huko waliko imefukiwa chini ya huo mti.Sijawahi sikia kuwa kuna mti ambao watu waliokufa kwa njia ya kichawi wanaweza rudi. Ingekuwa hivyo ingekuwa ndo mwisho wa wachawi kufanya ujinga wao na pia kuumbuka. Pia watu wengi wangerudishwa maana kila mtu angeenda kuuchukua. Kumbuka kuwa hapa Tanzania mambo kama hayo yanafanya watu wengi waliofanikiwa kushindwa kufanya maendeleo yao vijijini kisa ni ujinga huu
Wale wazee sita uliowakuta kitandani ulipaswa uwaamkie na kuwatafutia ng'ing'i watafune kupunguza uchovu.
Lilikuwa ni jaribio kwako uoneshe heshima.😄😄😄Ujasiri huo unatoa wapi kuongea na ghosts
Vitabu vitakatufu vyenyewe vinasema usimuache mchawi aishi. Mchawi ndiye chanzo cha mifarakano kwenye familia mpaka jamii nzima. Jamii ikitawaliwa na wachawi hakuna maendeleo yatakayoonekana hilo eneo abadan.Japo ni uvunjifu was Sheria Ila mda mwingine ni Bora tu
Kwani Si ntakuita baba wa mtandaoni, simple tu.Kwa hiyo nikisema mimi ndo nilimpa Mimba mama yako ukazaliwa wewe utakubali? Kuwa wewe ni sehemu ya my sperms?
Ok. So sisi tuna unganishwa na your mother kwenye mtandao wake? Haya sasa uwe na heshima.Kwani Si ntakuita baba wa mtandaoni, simple tu.
Ahaaa! Sawa shikamoo baba.Ok. So sisi tuna unganishwa na your mother kwenye mtandao wake? Haya sasa uwe na heshima.
😂😂😂😂Wastaarabu gani wanivalishe nguo afu washindwe kunisanua kwamba oya umelala nje?
Marhaba mwanangu. Umekua sasa. Upo darasa la ngapi?Ahaaa! Sawa shikamoo baba.
Miaka mingi na sikai naye. Ni hawa watoto tunawapatia wanawake nje ya ndoa.Dingi hujui mwanao yupo darasa la ngapi au ndo umekua king mswati😄