Jinsi nilivyolazwa nje na wachawi mkoani Njombe

😂😂😂😂😂
 
Me nililala na nguo Hasubuhi najikuta nipo na boxer ila shati lilibaki suruali ndiyo nilivuliwa ingawa hawakunitoa nje au pengine walinitoa na kunirudisha sijui.daah yule mama Muha wa Kigoma sitamsahau kwa uchawi wake alitutessa sana wapangaji wenzake
 
Haukukuta ute ute kwenye makalio
 
Peleka Facebook.
 
Kwa baridi la Njombe ukalala nje?

Ulikua kwenye hatari ya kufa kwa hypothermia au kupatwa na shida ya frostbitten but you suffered neither.

Nieleweshe kwanini hukukutwa na chochote kati ya hivyo.
wachawi walijua hilo ndio maana wakamlaza na sweater karibu na shimo nyumbani kwake
 
VIPi ulimnyima nini
 
Ilitakiwa ujimwage hapo hapo msibani ulale
Pale ilikua ni mkesha tunachoma moto kula kande ndizi na matakaPela na chai.
Mikate ilikua ya kumwaga nilikuja
Nayo.
Sema mda wangu ulikua mfupi.
Nimeshinda barabarani usiku kucha nawezaje kukesha pale.
Sikuwa hata na hiyo program.
Ila nilipoambiwa jirani kafa hapo asb nawaza niondoke kwenda Tokyo ( Tukuyu)
Ndio msiba huo.
Doh nikaenda kibingwa tu.
Siku 5 ilikua lazima nitimke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…