Jinsi nilivyopoteza milioni mbili kwenye soko la hisa

Jinsi nilivyopoteza milioni mbili kwenye soko la hisa

Hapo hakuna cha utapeli, naona kuna mambo makuu mawili...

1.Tamaa ya utajiri wa haraka
-Kwa mara ya kwanza tu kujihusisha na uwekezaji wa hisa ,ukaamua kununua za Millioni 2,ambazo kwa kipato chako inaonekana hiyo hela ni kubwa.

2.Kukosa elimu
Kwa maelezo yako ,inaonesha wazi haukuwa na elimu ya kutosha na mpaka bado hauna elimu ya kutosha kuhusiana na hisa.
Kilichokuchanganya ni kuskia neno IPO,,,ambapo
  • ni kawaida katika IPO bei za hisa kuwa juu....
  • Ulinunuaje hisa bila kupata elimu ya Sekta ya Nishati hasa katika makampuni ya utafiti wa mafuta.
  • Ulinunuaje bila kufuatilia financial statements za kampuni husika.?
  • Kampuni ya utafiti wa mafuta huwa inaingiza hasara always, unapewaje gawio? Hiyo ni dunia nzima.
Ukiona elimu gharama, jaribu ujinga....
Nina Elimu kubwa sna kwenye mambo haya hisa na dhamana Hadi kuingia na kuchagua kampuni hyo nilijiridhisha kbsa kuwa it's trade vzr

Sasa kwani. Hisa zake zimeporomoka na Hakuna taarifa zozote
Hata rfk angu alizinunua za TBL Hadi Sasa hajauzana anakosa mteja hata za crdb na nmb haziuziki wewe unaongea hbr gani
 
Kabla ya kuwekeza kwenye Soko la hisa,hakikisha unatumia si chini ya miezi minne kupata elimu ya
  • Hisa : faida,hasara na misamiati yake.
  • Sekta ambazo makampuni yapo :Mawasiliano,Nishati,Benki na Fedha,Huduma, Mawasiliano.
  • Kuna miaka Sekta flani inakua juu kuliko nyingine mf.Now hisa za makampuni ya Sekta ya technology ni zipo juu,ila kipindi cha COVID sekta ya afya ilikuwa juu.
  • Jua historia ya kampuni husika,,kuna kampuni zipo vizuri kutoa dividends,nyingine zinanunua hisa za wanahisa wake....
Nilikuwa na Elimu ya kutosha mtu treasury na finance nishindwe kuelewa hisa
 
Nina Elimu kubwa sna kwenye mambo haya hisa na dhamana Hadi kuingia na kuchagua kampuni hyo nilijiridhisha kbsa kuwa it's trade vzr

Sasa kwani. Hisa zake zimeporomoka na Hakuna taarifa zozote
Hata rfk angu alizinunua za TBL Hadi Sasa hajauzana anakosa mteja hata za crdb na nmb haziuziki wewe unaongea hbr gani
1.Kwamba bei ya hisa imeporomoka na huna taarifa zozote. Ni taarifa gani unaitaka na haipatikani? Taarifa za fedha(Mwaka na robo mwaka) za kila kampuni iliyoorodheshwa DSE huwekwa hadharani kwenye tovuti ya DSE.
2.Kama una elimu kubwa kwenye masuala ya hisa na dhamana na kwamba ulijiridhisha kwamba kampuni hiyo itafanya vizuri: imekuaje sasa ukawekeza kwenye kampuni ya kitapeli?
3.Bei ya hisa kwenye soko hutegemea vitu kadhaa, ikiwemo "sentiments" za watu kwenye soko..and not necessarily the company's financial fundamentals.....maana yake---bei ya hisa inaweza isiakisi thamani halisi ya hisa.....
4.Uwekezaji kwenye soko la hisa kama uwekezaji mwingine wowote au biashara yoyote huambatana na hatari(risks) ambazo zinaweza kupelekea kutofikiwa malengo/kupata hasara....
5.Endelea kujifunza, elimu haina mwisho....
 
Siwez kuwa na
Naona wanasema iko real vipi utapeli wake upoje mkuu. Hebu shusha nondo
Actualy sina Uzoefu Sana ila kipindi nasoma kwenye international finance nilikuta na kitu kinaitwa libor interest rate na inflation rate Sasa hyo betcon zenu tuliipitia na kujuwa kbsa abtrate yake Ni risk kubwa sna na Ziad sna Bora mtu akawekeza kwenyehati fingani
 
1.Kwamba bei ya hisa imeporomoka na huna taarifa zozote. Ni taarifa gani unaitaka na haipatikani? Taarifa za fedha(Mwaka na robo mwaka) za kila kampuni iliyoorodheshwa DSE huwekwa hadharani kwenye tovuti ya DSE.
2.Kama una elimu kubwa kwenye masuala ya hisa na dhamana na kwamba ulijiridhisha kwamba kampuni hiyo itafanya vizuri: imekuaje sasa ukawekeza kwenye kampuni ya kitapeli?
3.Bei ya hisa kwenye soko hutegemea vitu kadhaa, ikiwemo "sentiments" za watu kwenye soko..and not necessarily the company's financial fundamentals.....maana yake---bei ya hisa inaweza isiakisi thamani halisi ya hisa.....
4.Uwekezaji kwenye soko la hisa kama uwekezaji mwingine wowote au biashara yoyote huambatana na hatari(risks) ambazo zinaweza kupelekea kutofikiwa malengo/kupata hasara....
5.Endelea kujifunza, elimu haina mwisho....
Asnte kwa taarifa nitashukuru tukikitana tuyajenge hakika unafauu vingi
 
Walai mwaka huo ungenunua BITCOIN za ml 2 kipindi ilo ilikuwa kati ya usd 320 ungepata btc ata 5 ivi kwa ela yako ambapo leo ungekuwa millionare 60k mara 5 mean usd 3ook
Mwaka 2011... Nilikaribia kununua Bitcoin ..Tena nilipanga ninunue kumi tu na nikae nazo miaka kumi tu Tena bila kuzifanya chochote., nadhani ni akili ya ujana ikanituma Ile hela nikaifanyia kuburudisha mwili kwa kula chakula ( price @ bitcoin ilikuwa just 1.50$) ... Kichomi nachopatwa kila nikiona BTC acha tu , ningechukua hatua kutimiza "gamble" Ile sijui yaani , ila pia nadhani ni Mola tu maulana mtoa vyote kuna namna aliingilia kati.
 
Nina Elimu kubwa sna kwenye mambo haya hisa na dhamana Hadi kuingia na kuchagua kampuni hyo nilijiridhisha kbsa kuwa it's trade vzr

Sasa kwani. Hisa zake zimeporomoka na Hakuna taarifa zozote
Hata rfk angu alizinunua za TBL Hadi Sasa hajauzana anakosa mteja hata za crdb na nmb haziuziki wewe unaongea hbr gani
Mkuu kama kweli una elimu ya hisa na ni mfuatiliaji mzuri wa hisa....sikutegemea kama ungesema kuwa hisa za CRDB na NMB haziuziki.
Kwa sababu moja ya hisa zenye liquidity na volume ya mauzo sokoni ni CRDB, sasa sijui hii statement yako imetoka kwenye utafiti upi ...?? On addition kutokana na dse, hisa za nmb wanaohitaji kununua ni wengi kuliko wauzaji....watu wamezi hold.
 
Hata mm mkuu
Mwaka 2011... Nilikaribia kununua Bitcoin ..Tena nilipanga ninunue kumi tu na nikae nazo miaka kumi tu Tena bila kuzifanya chochote., nadhani ni akili ya ujana ikanituma Ile hela nikaifanyia kuburudisha mwili kwa kula chakula ( price @ bitcoin ilikuwa just 1.50$) ... Kichomi nachopatwa kila nikiona BTC acha tu , ningechukua hatua kutimiza "gamble" Ile sijui yaani , ila pia nadhani ni Mola tu maulana mtoa vyote kuna namna aliingilia kati.
Hata Mimi mdogo wangu aliniambia tununue nikampuudha tu nikamwambiq ni mambo ya kitapeli kumbe nimepishana na pesa.
 
Vijana acheni uvivu na uoga. Nchi yetu bado ina fursa nyingi sana za kupiga kwa mpambanaji. Ni ujinga mtupu kuweka mamilioni yako sehemu na kutegemea gawio lisilofika hata 30% ya hela uliyoweka. Mambo ya hisa ningeshauri wafanye zaidi wazee wastaafu. Vijana tujipange kufungua biashara zetu ili baadae na sisi tuwauzie hisa wengine.
 
Mfano iyo btc ingeenda minus ama ikapotea ikafilisika Kama kampuni zingine ingekuwaje. Labda wewe ulinunua btc ngapi mkuu Mana unayajua ya kesho itakavyokuwa. Tuambie btc after 6yrs itakuwaje . Nina hisi koo yako wote ni matajiri wanamiliki btc mia kidogo Kila mmoja Mana ukiweza kuyaona haya ya leo
Walai mwaka huo ungenunua BITCOIN za ml 2 kipindi ilo ilikuwa kati ya usd 320 ungepata btc ata 5 ivi kwa ela yako ambapo leo ungekuwa millionare 60k mara 5 mean usd 3ook
 
Mwaka 2011... Nilikaribia kununua Bitcoin ..Tena nilipanga ninunue kumi tu na nikae nazo miaka kumi tu Tena bila kuzifanya chochote., nadhani ni akili ya ujana ikanituma Ile hela nikaifanyia kuburudisha mwili kwa kula chakula ( price @ bitcoin ilikuwa just 1.50$) ... Kichomi nachopatwa kila nikiona BTC acha tu , ningechukua hatua kutimiza "gamble" Ile sijui yaani , ila pia nadhani ni Mola tu maulana mtoa vyote kuna namna aliingilia kati.
Pole sana i feel you
 
Mwaka 2011... Nilikaribia kununua Bitcoin ..Tena nilipanga ninunue kumi tu na nikae nazo miaka kumi tu Tena bila kuzifanya chochote., nadhani ni akili ya ujana ikanituma Ile hela nikaifanyia kuburudisha mwili kwa kula chakula ( price @ bitcoin ilikuwa just 1.50$) ... Kichomi nachopatwa kila nikiona BTC acha tu , ningechukua hatua kutimiza "gamble" Ile sijui yaani , ila pia nadhani ni Mola tu maulana mtoa vyote kuna namna aliingilia kati.
Acha uongo

Mwaka 2011 TZ hatukua na access ya crypto exchanges.

Hapakua na Binance, Localbitcoin wala Coinbase.

Hapakua na access yoyote kuweza kununua cryptos.
 
Mfano iyo btc ingeenda minus ama ikapotea ikafilisika Kama kampuni zingine ingekuwaje. Labda wewe ulinunua btc ngapi mkuu Mana unayajua ya kesho itakavyokuwa. Tuambie btc after 6yrs itakuwaje . Nina hisi koo yako wote ni matajiri wanamiliki btc mia kidogo Kila mmoja Mana ukiweza kuyaona haya ya leo
We don't know future but we are creating it ukijuwa iki utafanikiwa sana,
BTC is the future of money mazee utaki kaa pale, tuombe uzima miaka 6 tukutane hapa ktk huu huu uzi
 
We don't know future but we are creating it ukijuwa iki utafanikiwa sana,
BTC is the future of money mazee utaki kaa pale, tuombe uzima miaka 6 tukutane hapa ktk huu huu uzi
So why do you talk about future?
I don't know what tomorrow will hold and am very comfortable with that.
I don't want to make hindsight bias, fitting outcome to my thinking. Tuambie na stocks ambayo inafanya vizuri at future.
So umeshanunua btc ngapi Mana una uhakika na kesho. Am sure you'll be rich , Kama huuu mtandao utakuwepo nitashuhudia ulivyokuwa bilionea
 
We don't know future but we are creating it ukijuwa iki utafanikiwa sana,
BTC is the future of money mazee utaki kaa pale, tuombe uzima miaka 6 tukutane hapa ktk huu huu uzi
You wanna fell right to predict future,
How many btc do you up to now. Ama unajsiikia Raha kuwa wewe ni mjanja na una akili mno ya kuweza kuiona kesho, Kuna egoistic may is at work.
Niambie kesho ama mwezi ujayo ita trade wapi na wapi from h to l iyo btc.
 
Mfano iyo btc ingeenda minus ama ikapotea ikafilisika Kama kampuni zingine ingekuwaje. Labda wewe ulinunua btc ngapi mkuu Mana unayajua ya kesho itakavyokuwa. Tuambie btc after 6yrs itakuwaje . Nina hisi koo yako wote ni matajiri wanamiliki btc mia kidogo Kila mmoja Mana ukiweza kuyaona haya ya leo
Ndo investment iyo ila back days kulikuwa na btcmarkets amapo uliweza nunua kwa paypal.
 
Back
Top Bottom