Yaani akitoa tamko kali mnasema anavunja katiba hafati sheria..akifata sheria na katiba mnasema hatoi tamko wala hakemei.
Suala la mtu kuhama chama na uchaguzi kurudiwa ni haki ya kila mtu kisheria na kikatiba. SASA kwanini mnataka rais avunje katiba kwa kukemea???.
Mkiambiwa mnavuta bangi pale ufipa makaburini mnatukana.