Sera utazijuaje kama hata kuzitangaza hizo sera ni sheeda! Upinzani umebanwa pumnzi. It is like TZ imerudi nyuma miaka 20Wapi sera ya kubana matumizi??..sema sisi wabongo wajinga sana aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sera utazijuaje kama hata kuzitangaza hizo sera ni sheeda! Upinzani umebanwa pumnzi. It is like TZ imerudi nyuma miaka 20Wapi sera ya kubana matumizi??..sema sisi wabongo wajinga sana aisee
Hili la bange litakuwa linakuhusu wewe mwenyewe.Yaani akitoa tamko kali mnasema anavunja katiba hafati sheria..akifata sheria na katiba mnasema hatoi tamko wala hakemei.
Suala la mtu kuhama chama na uchaguzi kurudiwa ni haki ya kila mtu kisheria na kikatiba. SASA kwanini mnataka rais avunje katiba kwa kukemea???.
Mkiambiwa mnavuta bangi pale ufipa makaburini mnatukana.