Jinsi polisi walivyonusuru maisha yangu last night

Pole san mkuu hiv hao askar ukiwapa taarfa kuw gari imewafata wapi had hapo.mlipo inamaana njia zao hazina kamera kufalia gari yako na ya hao watu wanaokufata


Lakn inawezekan bado technology haitumiw vzr maan hapo zoez lilikuw jepesi sana kutambua hyo gari kama kungekuw na mifumo mizur ya CCTV camera
 
Yeye hajiulizi hata hapo Tz anapoona kuna amani, juzikati kuna watu walikuwa wanafurahia kutembea usiku baada ya kijana aliekuwa anaingia nyumba moja moja kuchinja watu na kusepa zake alipouwawa na askari hapo Arusha.

Mtu uache kufanya kazi inayokupa ulaji ati uogope Kifo ambacho kipo tuu hata ukilala nyumbani kwako. Kuna Watu upeo Mdogo.

Wapo Watu wanakufa wakiwa mbele ya madaktari bingwa.
Na wapo Watu wanakufa wakiwa chini ya ulinzi Mkali. Wengine wanafia Ikulu.
 
Mifumo hiyo ipo mkuu, sema hapo ndo imetoka hiyo. Mara nyingi umakini huchukuliwa kama yametokea maafa.

Ila kwa vile hakuna maafa yaliotokea, na jamaa wametokomea zao basi inakua hakuna ufuatiliaji. Matukio hapa ni mengi kiasi ya kwamba hawawezi kufuatilia kila tukio.
 
Sasa still bado hutoishi kwa aman , kama wanakufatilia wanakujua kbsa kuw makn zaid
 
Kongo au Sudan kusini. Pamoja na kwamba ni nchi za vita na yanatokea mauaji kila siku. Lakini bado utakuta kuna watu wanaishi maeneo hayo ya vita ambayo ndio huwapatia wao riziki zao za kila siku.

Ni kama vile wakati ule wa covid 19 ambapo nchi nyingi ziliweka lockdown kwa raia wao kutotoka nje.

Sasa mwisho wake ikawa badala ya kufa kwa ugonjwa, wengi wakafa kwa njaa na strees.
 
Sasa still bado hutoishi kwa aman , kama wanakufatilia wanakujua kbsa kuw makn zaid
Kweli mkuu ni kuwa makini na kumtanguliza sana Mungu mbele.

Mambo mengine ni pasua kichwa kiasi kwamba mtu unashindwa kujua la kufanya kwa muda husika.
 
Pole sana. Muhimu kuendelea kuchukua tahadhari!
 
Unafuu unakuwa Sandton yoote au ndani ya mageti tu...hata kwenye malls kuna usalama?
Usalama wa kule ni kwa sababu watu wengi yani 90% au 95 ya wanaoishi kule wanamiliki silaha, hivyo inafanya wahalifu waogope kwenda kufanya uhalifu kama wanavyofanya maeneo mengine.

Pili kule askari na walinzi wa makampuni binafsi ni wengi sana kiasi ya kwamba ukifanya uhalifu utafukuzwa mpaka ukamatwe, labda tu siku yako ya kukamatwa iwe haijatimia.

Tatu asilimia kubwa ya mataa ya trafiki yana camera hivyo kila utapokuwa unakimbia watakuwa wanakuona na kama wakikufuatilia na helicopter na gari za polisi chini basi watakukamata kwa urahisi sana.

Kumbuka hiyo ni sehemu ya watu wenye pesa, hivyo hata baadhi ya viongozi wanaishi huko.
 
pOLE SANA DIASPORA
 
Pole sana,Mungu ni mwema,Rudini nyumbani kumenoga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…