Jinsi Rwanda inavyopambwa kuliko uhalisia wake

Jinsi Rwanda inavyopambwa kuliko uhalisia wake

Rwanda gani mkuu inayopiga hatua??
Rwanda iko na biased economy,yani maendeleo ya kujitenga ama kujibagua,maendeleo yanakitwa sana Kigali ila maeneo mengine haba.
*Kukuta hospitali sawa na hospitali ya rufaa Kigali mikoa mingine ni uongo.
*Food security hakuna.
*Huduma zinginezo za kijamii hazijakitwa kwa wingi kama hapa Tanzania.
Hivi unaamini bro madaktari wa Rwanda wanakuja kufunzwa Tanzania ubobezi kila mwaka!??
Na hospitali zao kuu za kujifunzia Mloganzila na Bugando.
Unaongelea mwaka gani? Kwa sasa Rwanda has one of the best organized health care systems in Africa. All citizens are able to obtain health care insurance for $2 per year.

 
Unaongelea mwaka gani? Kwa sasa Rwanda has one of the best organized health care systems in Africa. All citizens are able to obtain health care insurance for $2 per year.

😂😂😂😂😂😂Mkuu hata Kenya inasifika kuwa na huduma bora za afya ilhali raia wake kila leo wanakuja pale JKCI kupata huduma za moyo.
Navyokwambia mwaka huu mwaka huu huu kina Janabi wamepokea madaktari wa Rwanda kuja kujifunza pale Mloganzila na wengine Bugando.
Nitafutie kitengo kikubwa cha Orthopaedic Rwanda kama Cha MOI.
Nitafutie cardiac institute kubwa pale Rwanda kama ya JKCI.
Halafu sasa kaka chanzo chenyewe cha Rwanda,hivi unatarajia Rwanda wajiweke chini!??
 
Kuna sehemu nilisoma wameandika Generally Kagame alikua ni Master wa Psychological Warfare.😂
Psychological warfare(psywar) vita vya kisaikolojia.. Kwa wataalam wa military psychology wanakuambia ni vita vya kumdunisha adui kimitazamo, kiitikadi Kwa propaganda na UZUSHI Kwa kumfanya adui ajione hawezi na hatimaye ajiondoe kwenye vita kabla ya vita vya silaha havijashika Kasi.... Kagame yupo hivyo lkn Kwa tz alishashindwa maana 2014... M 23 walisambaratishwa ... Akakekenua, kikwete akawapa 24 hours watusi kuondoka ngara na wengi walrudinkwao... Hatasahau
 
Mkuu RWANDA kinachoipa KIburi ni rais wao yupo pale kimkakati akifanya Kaz kama wakala mkuu wa usimamizi wa magenge ya kihalifu Congo.. amefanya hivyo Kwa MIAKA 30 Sasa..uchumi wao ni biased kama ulivyosema. Amewekeza Zaid mjini..ndio maana licha ya udogo wake, Kigali Ina zaidi ya watu million 1.2.. miundo mbinu haba na huduma za jamii hafifu.mtandao wa barabara za lami ni mdogo sana huku sehem kubwa ya Rwanda ni vilima tu...mabonde mengi yamejaa wafugaji na WAUZA maziwa. Mazao kama vile pareto , mahindi japo siyo sana, na mpunga, mihogo , chai na karafuu wanajitahidi lkn hakuna LARGE SCALE FARMING .. mazao mengi yanatoka Kwa wakulima wadogo. Hii ni kutokana udogo wa eneo..
Kipindi cha Corona Kagame aliamuru lock down weeeh weeeh😂😂😂😂😂😂 wiki mbili na nusu tu raia wakawa wanakula mlo mmoja kukawa na acute food insecurity.
 
Rwanda ni nchi flan yenye ukubwa wa km za mraba zisizopungua 26330 hivi.. ikiwa na idadi ya watu wasiopungua million 10.. huku mji mkuu ukiwa ni Kigali wenye idadi ya watu kama million 1,288,000 ..miji mingine ya kutegemewa ni GISENYI, Wwenye idadi ya watu laki nane na ushee hivi...Pato ghafi ni dollar za kimarekani ni takriban billion 12 na million mia kadhaa. Huku Pato la kila mwananchi ni takriban dollar 909 na sent kadhaa... Rwanda wanategemea kilimo Cha chai na kahawa.

Japo Kwa Sasa wanajitahidi kulima maharage na mahindi pamoja na ndizi, biashara inayostawi na wanaojidai nayo ni biashara ya maziwa, na mnyrwanda humdanganyi kuhusu ubora wa maziwa.. wao huwa wanayaweka kwenye ukucha maziwa freshi yakisambaa tu kwenye ukucha anakuambia hamna KITU hapo ni maji tu...

Wana refineries kdhaa za kuchenjua dhahabu japo Wana kias au deposit ndogo sana ya dhahabu. Dhahabu nyingi inatoka mashariki mwa Kongo mahalo penye vurugu ila sijui kama wanaipata Kwa uhalali !!!!!! Kwa ufupi story za RWANDA NI PROPAGANDA, SIKU AKIFA MAGLASS WATATESEKA SANA
Hajaa andaa mtu hadi leo?
 
Psychological warfare(psywar) vita vya kisaikolojia.. Kwa wataalam wa military psychology wanakuambia ni vita vya kumdunisha adui kimitazamo, kiitikadi Kwa propaganda na UZUSHI Kwa kumfanya adui ajione hawezi na hatimaye ajiondoe kwenye vita kabla ya vita vya silaha havijashika Kasi.... Kagame yupo hivyo lkn Kwa tz alishashindwa maana 2014... M 23 walisambaratishwa ... Akakekenua, kikwete akawapa 24 hours watusi kuondoka ngara na wengi walrudinkwao... Hatasahau
JK konyo sana

Kidogo mke wangu awe deported hiyo 2014

JK alimweza PK
 
😂😂😂😂😂😂Mkuu hata Kenya inasifika kuwa na huduma bora za afya ilhali raia wake kila leo wanakuja pale JKCI kupata huduma za moyo.
Navyokwambia mwaka huu mwaka huu huu kina Janabi wamepokea madaktari wa Rwanda kuja kujifunza pale Mloganzila na wengine Bugando.
Nitafutie kitengo kikubwa cha Orthopaedic Rwanda kama Cha MOI.
Nitafutie cardiac institute kubwa pale Rwanda kama ya JKCI.
Halafu sasa kaka chanzo chenyewe cha Rwanda,hivi unatarajia Rwanda wajiweke chini!??
Juzi yule mwehu anayejiita mchungaji sijui wanamlipa sh. Ngapi akaja na HOJA kuwa madaktari w
Huwa wanakuita ukifika hukoo? Wasabato wanautumia sana msemo huo gisenyi
JK konyo sana

Kidogo mke wangu awe deported hiyo 2014

JK alimweza PK
Hahahhahahahaha
 
Psychological warfare(psywar) vita vya kisaikolojia.. Kwa wataalam wa military psychology wanakuambia ni vita vya kumdunisha adui kimitazamo, kiitikadi Kwa propaganda na UZUSHI Kwa kumfanya adui ajione hawezi na hatimaye ajiondoe kwenye vita kabla ya vita vya silaha havijashika Kasi.... Kagame yupo hivyo lkn Kwa tz alishashindwa maana 2014... M 23 walisambaratishwa ... Akakekenua, kikwete akawapa 24 hours watusi kuondoka ngara na wengi walrudinkwao... Hatasahau
Ok ndiyo nilitaka ieleweke hivyo
 

Attachments

  • Screenshot_20240830-174556.jpg
    Screenshot_20240830-174556.jpg
    487.7 KB · Views: 3
😂😂😂😂😂😂Mkuu hata Kenya inasifika kuwa na huduma bora za afya ilhali raia wake kila leo wanakuja pale JKCI kupata huduma za moyo.
Navyokwambia mwaka huu mwaka huu huu kina Janabi wamepokea madaktari wa Rwanda kuja kujifunza pale Mloganzila na wengine Bugando.
Nitafutie kitengo kikubwa cha Orthopaedic Rwanda kama Cha MOI.
Nitafutie cardiac institute kubwa pale Rwanda kama ya JKCI.
Kuwa na madaktari wazuri sio kwamba wewe una health cares nzuri. Unaweza kuwa na madaktari wazuri lakini wenzako wakakuzidi. Rwanda wana jitahidi sana ku provide the best healthcare they can to their population.
Umefatilia Hospital ambayo Rwanda na Misri wanayo jenga huko Rwanda? Afu kuna ile Research ya mambo ya moyo
Itakuwa the first NGO hospital offering cardiovascular healthcare services free of charge to the people of Rwanda na labda pia wa East Africa.

Kuhusu Orthopaedic umefatilia, The orthopedic surgeons at King Faisal Hospital iliopo Rwanda?

Lini mara yako ya mwisho kwenda Rwanda?
 
Kipindi cha Corona Kagame aliamuru lock down weeeh weeeh😂😂😂😂😂😂 wiki mbili na nusu tu raia wakawa wanakula mlo mmoja kukawa na acute food insecurity.
Rafiki yangu tuweke utani pembeni speed anaye enda nayo Kagame unaweza kuja kukuta akawa na jeshi bora East Africa we tega masikio tu, tutaziona Jet fighter za Rwanda zina cheza viuno Dar es Salam

Mmeyaona mabus lakini 😄
 
Kuwa na madaktari wazuri sio kwamba wewe una health cares nzuri. Unaweza kuwa na madaktari wazuri lakini wenzako wakakuzidi. Rwanda wana jitahidi sana ku provide the best healthcare they can to their population.
Umefatilia Hospital ambayo Rwanda na Misri wanayo jenga huko Rwanda? Afu kuna ile Research ya mambo ya moyo
Itakuwa the first NGO hospital offering cardiovascular healthcare services free of charge to the people of Rwanda na labda pia wa East Africa.

Kuhusu Orthopaedic umefatilia, The orthopedic surgeons at King Faisal Hospital iliopo Rwanda?

Lini mara yako ya mwisho kwenda Rwanda?
Mkuu kama ingekua kwao wako more better basi wasingeleta madaktari wao wajifunze kwetu.
Pia raia wao wasingejazana kwetu kwa utalii wa matibabu.
Unajua NGO itoe matibabu bure ya moyo bro inatakiwa itengwe fungu la bajeti kuendesha hiyo taasisi kwa kitengo hicho!?
Hizo pesa ni wapi zitatolewa?
Atatoa Rwanda government au washirika wake!?
Hiyo Egypt yenyewe aina ya matibabu wanaotushinda ni neurosurgeon tu mkuu.
Katika neurosurgery Afrika kumkuta Egypt ni kipengele,ila sio moyo wala mifupa.

Na asikwambie mtu,kitengo kikubwa cha afya kinatakiwa kimilikiwe na serikali na sio na shirika binafsi/NGO.
Kuna gharama za uendeshaji ambazo ndizo zina determine gharama za ulipaji wa wateja katika matibabu.
Kama wako better than us wasije huku Tanzania wabakie kwao Rwanda.
 
Rafiki yangu tuweke utani pembeni speed anaye enda nayo Kagame unaweza kuja kukuta akawa na jeshi bora East Africa we tega masikio tu, tutaziona Jet fighter za Rwanda zina cheza viuno Dar es Salam

Mmeyaona mabus lakini 😄
Kucheza viuno kivipi kaka!?🙄😂😂😂
Unamaanisha fighter jets za Rwanda zina survey anga la Tanzania!?

Huko kwa jeshi mkuu hata usiguse,hao Rwanda leo kikinuka nchi tunaigeuza mkoa ile.
Sio kwa vifaa wala jeshi la ardhini Rwanda hawezi mfikia Tanzania.
 
Mkuu kama ingekua kwao wako more better basi wasingeleta madaktari wao wajifunze kwetu.
Pia raia wao wasingejazana kwetu kwa utalii wa matibu.
Unajua NGO itoe matibabu bure ya moyo bro inatakiwa itengwe fungu la bajeti kuendesha hiyo taasisi kwa kitengo hicho!?
Hizo pesa ni wapi zitatolewa?
Atatoa Rwanda government au washirika wake!?
Hiyo Egypt yenyewe aina ya matibabu wanaotushinda ni neurosurgeon tu mkuu.
Katika neurosurgery Afrika kumkuta Egypt ni kipengele,ila sio moyo wala mifupa.

Na asikwambie mtu,kitengo kikubwa cha afya kinatakiwa kimilikiwe na serikali na sio na shirika binafsi/NGO.
Kuna gharama za uendeshaji ambazo ndizo zina determine gharama za ulipaji wa wateja katika matibabu.
Kama wako better than us wasije huku Tanzania wabakie kwao Rwanda.
Rafiki yangu point zako ni 💯 nazikubali, nacho ongelea mimi zaidi ni huko mbele ya safari Kagame anaiba pesa Congo haibi anaipeleka Rwanda mbali sana sio ilivyo kuwa.

Lakini umemuona mama Samia anakagua ndege za mafunzo ya kijeshi au bado 😄
 
Back
Top Bottom