Jinsi teknolojia ya Motion capture inavyofanya kazi kwenye utengenezaji wa filamu

Basi Jack Chan apewe sifa. Kumbe wanatuibia namna hii, Mimi na Kesha na Money Heist ya akina Professor na Tokyo, kumbe watu wamejifungia masaa matatu na kutengeza episode 1 !!!
 
Asante kwa kunifungua macho mkuu, binafsi nilikuwaga afahamu huwenda movie Kama ya King Kong anatumika sokwe halisi Kisha wanamtengeneza kwenye kompyuta ndipo tunapata kuona tunachokiona... Kumbe ni tofauti kabisa aisee [emoji50]
Wahuni Halafu wanalauumu saaana movies za kihindi!!!
 
Huo mfumo lazima kuna mtu awepo juu yao akitoa maelekezo. Huyo hasa ndio anazungumziwa. Sijui ww ni muislam au lah ila Qur'an imemueleza vyema tu.
Na nikukumbushe tu kua mwanzo kabisa nimesema hii ni conspiracy theory so inaweza kua sahihi au uongo
Umemjibu vizuri

Na labda kama unaogopa kumuudhi nimwambie tu hata shetani ni mfumo hakuna mtu/kitu kimoja kinaitwa shetani

Huenda hata Mungu ni hivyohivyo
 
Huo mfumo lazima kuna mtu awepo juu yao akitoa maelekezo. Huyo hasa ndio anazungumziwa. Sijui ww ni muislam au lah ila Qur'an imemueleza vyema tu.
Na nikukumbushe tu kua mwanzo kabisa nimesema hii ni conspiracy theory so inaweza kua sahihi au uongo
NI UONGO NA HAPA UNATUMIA AKILI NYEPESI TU YA DARASA LA 6. NI UONGO. hata conspiracy theories nyingine unatakiwa uchanganye na zako. Akili za mbayumbayu. Mimi ni Muislamu nasoma hata Biblia. Uongo nauchukia na ukweli nautafuta. Hakuna picha ya Yesu Duniani.
 
Umemjibu vizuri

Na labda kama unaogopa kumuudhi nimwambie tu hata shetani ni mfumo hakuna mtu/kitu kimoja kinaitwa shetani

Huenda hata Mungu ni hivyohivyo
Hakuna Picha ya Mpinga Kristo. Ni uongo kuwa ile video ya Yesu ni sura ya mpinga Kristo. Ni very stupid arguement.
 
Basi wenyewe wamemwita jinias
 
Kaka Habari Naweza kuja PM
 
Blacknar Boltagon (Black Bolt) suti yake ilitengenezwa kwa CGI
 
Toka nianze fuatilia huu Uzi,kuna vibe fulani la kuàngalia movies limenitoka.

Kama ilivo handmade products zilivo na bei, hata movies zisizo na makolokolo tajwa zitakua na thamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…