Jinsi teknolojia ya Motion capture inavyofanya kazi kwenye utengenezaji wa filamu

Jinsi teknolojia ya Motion capture inavyofanya kazi kwenye utengenezaji wa filamu

Aisee Mkuu 'Da'Vinci" ukiniambia Gemini Man ni De-aging nzuri Kwako nitashindwa kukushangaa..na may be utakua umeichek kwny 720p 🙂🙂 haaha jokes!!

Ni hiv ukichek scene nying sana za "will smith Jr" utagundua hich kitu,kwanza akiwa anafight na dingi yake anakua yuko fasta sana (ile film sio ya maheroes ile ni about cloning science)kias kwamb unashindwa kumdetail yaan yupo kama character wa game,Hii hapa chini ni scene moja wapo ambayo Jr anaonekana ni ''FULL BODY CGI'' kitu kinachopelekea kuonekana kama plastic zaid!!
sasa uwez fanya de-aging kwa full body cgi yaan unakuta The lighting, the textures, the muscle movement vyote vinabadilika nakuleta bad look expression,,,ila wangetumia double stunt then wakamalizia na hyo face mocap kama walivyofanya .


View attachment 2126965

Ila nick fury de-aging yake iko fresh!!
Sema nishaifuta hii muvi ingebidi niirejee kutazama haya uliyoongea.
Ila hua nashangaa sana wanawezaje mtu mmoja kuigiza part mbili tofauti halafu anapigana.. How they do it??
 
Sema nishaifuta hii muvi ingebidi niirejee kutazama haya uliyoongea.
Ila hua nashangaa sana wanawezaje mtu mmoja kuigiza part mbili tofauti halafu anapigana.. How they do it??
Technique nilizowahi kuzicatch ziko mbili ya
i/.Doubles stunt vfx;
hii ndio ile unakuta wanatumia mtu mwingine ambaye anayeendana nae kimuonekano,,kwahyo atakua on set kama ni "CLONE FIGHTING" bas character husika atakua anapambana na huyu stunt double wake lakini shot ikichukuliwa kwny green/Blue screen...na hii inatakiwa iwe hvyo kuleta uhalisia pale wanapo gusana,,,,Mtu wa DOuble itatakiwa awe na marker usoni kwa ajili ya kuicover ' facial mocap''

Facial Mocap hii
itarudiwa studio na character husika ebanaa ni bonge la kazi usichukulie poa hapa ndipo wazee wa cgi wanahusika..

TERMINATOR GENISYS:2015

hii ni battle ambayo "Arnold" alikua anapambana na Clone yake,,hapa kuna on set kwanza tunaona stunt double man yuko on CGI SUIT. na baada ya final comp...

terminator-genisys-vfx-1.png
terminator-genisys-vfx-2.JPG.png



arnold-t-800-1984.jpg


hii hapa stunt double anapogeuzwa kua character husika
terminator-genisys-vfx-3.png
terminator-genisys-vfx-4.png

ii/.green/blue screen;
hii ndio njia rahisi kuliko,ata hapa bongo wanaweza even u mkuu ukijifunza saa moja asubuh mpka saa tatu asubuhi (utakua unafanya rendering ya project yako!!!.

sasa hii character anapigwa shot mbili on set,,mfano amesimama lakin yuko upande wa kushoto atapigwa picha then atarudia tena yeye mwenyewe lakin akiwa upande kulia atapigwa tena motion picture!!after editing blue/green screen itaondolewa itawekwa background iliyokua inatakiwa lakin hawa watu itaonekana wako real,,ikitakiwa hawa watu wanatakiwa wagusane EDITORS wnatumia blur version technique kuficha details, usisahau hii pia wanatumia doubles stunt lakin wakificha sura.

combatcapvscap.jpg
image_2022-02-22_150846.png


Respect sana mkuu Da'Vinci kwa uzi huu,kwa maelezo haya sijui nimefanikiwa kukujibu swali lako kama ulivyokua umeuliza!!

kuhusu program zinazotumika kufanya haya makorokocho nafikiri zinafahamika!!!
 
Technique nilizowahi kuzicatch ziko mbili ya
i/.Doubles stunt vfx;
hii ndio ile unakuta wanatumia mtu mwingine ambaye anayeendana nae kimuonekano,,kwahyo atakua on set kama ni "CLONE FIGHTING" bas character husika atakua anapambana na huyu stunt double wake lakini shot ikichukuliwa kwny green/Blue screen...na hii inatakiwa iwe hvyo kuleta uhalisia pale wanapo gusana,,,,Mtu wa DOuble itatakiwa awe na marker usoni kwa ajili ya kuicover ' facial mocap''

Facial Mocap hii
itarudiwa studio na character husika ebanaa ni bonge la kazi usichukulie poa hapa ndipo wazee wa cgi wanahusika..

TERMINATOR GENISYS:2015

hii ni battle ambayo "Arnold" alikua anapambana na Clone yake,,hapa kuna on set kwanza tunaona stunt double man yuko on CGI SUIT. na baada ya final comp...

View attachment 2127399View attachment 2127402


View attachment 2127407

hii hapa stunt double anapogeuzwa kua character husika
View attachment 2127412View attachment 2127413
ii/.green/blue screen;
hii ndio njia rahisi kuliko,ata hapa bongo wanaweza even u mkuu ukijifunza saa moja asubuh mpka saa tatu asubuhi (utakua unafanya rendering ya project yako!!!.

sasa hii character anapigwa shot mbili on set,,mfano amesimama lakin yuko upande wa kushoto atapigwa picha then atarudia tena yeye mwenyewe lakin akiwa upande kulia atapigwa tena motion picture!!after editing blue/green screen itaondolewa itawekwa background iliyokua inatakiwa lakin hawa watu itaonekana wako real,,ikitakiwa hawa watu wanatakiwa wagusane EDITORS wnatumia blur version technique kuficha details, usisahau hii pia wanatumia doubles stunt lakin wakificha sura.

View attachment 2127355View attachment 2127360

Respect sana mkuu Da'Vince kwa uzi huu,kwa maelezo haya sijui nimefanikiwa kukujibu swali lako kama ulivyokua umeuliza!!

kuhusu program zinazotumika kufanya haya makorokocho nafikiri zinafahamika!!!
Salute comrade..
Nimejifunza vitu vipya kupitia post yako hii..
Kweli utengenezaji wa series ni ngumu sana aisee. Nawaza Benedict Cumberbatch amewezaje kuigiza version kama 4 za doctor strange ndani ya muvi moja. Loh
images (92).jpeg
 
Salute comrade..
Nimejifunza vitu vipya kupitia post yako hii..
Kweli utengenezaji wa series ni ngumu sana aisee. Nawaza Benedict Cumberbatch amewezaje kuigiza version kama 4 za doctor strange ndani ya muvi moja. Loh
View attachment 2127477
hahaha!!!tusubir more supprise may 5!!!!
MCU wanatoao kazi kwa kampuni kubwa za CGi kuhakikisha wanawapa fans wao kitu ambacho hawakukigetemea

kampuni kama ILM ya george lucas,weta digital by peter jackson na lostboys kwa upande wa x-men hawa jamaa ni hatar!!
Kwenye AVENGERS ENDGAME;14,000 VFX Artist walikua busy kuipika ile ngoma mpaka ikatoka.sasa hyo si idadi ya raia ambao taifa pale inaomba cku moja waingie ata kwa mechi moja!!

kwahyo hawa jamaa wako serious kwel na ni ngumu kweli!!

kuna genius mmoja ye miaka kumi still yuko location anajitegengenezea franchies zake,,sijui yule mwamba anatka kutuleta nini mwaka huu.......na vile ndo amegoma kutoka pale kwny highest gross movie karibia milongo miwili sasa....anataka apigilie msumali mwingine mwaka huu..

marvel=elon musk james cameroon=billget
 
hahaha!!!tusubir more supprise may 5!!!!
MCU wanatoao kazi kwa kampuni kubwa za CGi kuhakikisha wanawapa fans wao kitu ambacho hawakukigetemea

kampuni kama ILM ya george lucas,weta digital by peter jackson na lostboys kwa upande wa x-men hawa jamaa ni hatar!!
Kwenye AVENGERS ENDGAME;14,000 VFX Artist walikua busy kuipika ile ngoma mpaka ikatoka.sasa hyo si idadi ya raia ambao taifa pale inaomba cku moja waingie ata kwa mechi moja!!

kwahyo hawa jamaa wako serious kwel na ni ngumu kweli!!
Daah VFX ya Michael Bay ni kiboko, hua najiuliza waliwezaje kutengeneza madude ya Autobots. Anayejua anajua tu
kuna genius mmoja ye miaka kumi still yuko location anajitegengenezea franchies zake,,sijui yule mwamba anatka kutuleta nini mwaka huu.......na vile ndo amegoma kutoka pale kwny highest gross movie karibia milongo miwili sasa....anataka apigilie msumali mwingine mwaka huu..

marvel=elon musk james cameroon=billget
Ngoja tuone December mwaka huu atakua katuandalia nini kipindi chote hicho. Halafu Endgame mbona ilimtoa tu pale juu sema walivyorudia kuionyesha ndio akarudi #1
 
Daah VFX ya Michael Bay ni kiboko, hua najiuliza waliwezaje kutengeneza madude ya Autobots. Anayejua anajua tu
Zbrush pixology,Autodesk Maya 3d(hollywood hii ndio inatumiwa sana kuzifanya hz movie tuzionazo kua kama magic}modo,CINEMA 4D hzi ni CGI PROGRAM ambazo uchawi wote uanzia.....kitu pekee sio program tu bali artist wakucheza na hzo program,,

huku kwetu ni sawa kuna wachoraji,lakin ni wale wanachora kwa karatasi na pen,,na wale wanaochora kwa rangi pekee
image_2022-02-22_222611.png
AnyConv.com__download (2).jpg
(hahaha,,hawa pia ata kwao wapo)

lakina huko kwao kuna hawa wanaotumia DIGITAL DRAWING
kupitia hizo program juu,wanadraw ,wanafanya cgi modelling (hapa ndio utajua michael bay amefanyaje kwny THE TRANSFORMER}na sculpture

blackout.jpg
images-_1_.png

AnyConv.com__download.png
images-_2_.png


hyo ni 3d modelling inaenza ikiwa imefanyika kwny zbrush au maya autodesk.

Na kuchora au kudesign hz modelling ili zitumike kwny film au games zinachorwa kwa device mfano wa table mfano: wacom tablet(special tablet kwa ajili ya digital painting)so ukichukua hizo program ukijumlisha na hz tablet then akaja mwana art basi kinachofuata nikudesign chochote kilichopo kwny mind,,unakiumba na kinakua!!!
zbrush-46bcb860d913bee1c4de3d2bddbf89e45f0f3506.jpg


Wacom_NaughtyDog_26454.jpg
aa-4.jpg

zbrush-nedir-heykelcilik-3d-model-renk-paleti-kil-3dmadmax-2-675x405.jpg


zbrush-2019.1-cgrecord.jpg
Pixologic-ZBrush-4R8-CG-Record.jpg


so hayo marobot baada ya kupitia process zote texture na mapainting then kupitia hyo maya au c4d wanafanya animation inaweza ikawa kwa KURIGGING through computer hii njia inatake time , lakin simple way ila ni gharama ni "MOTION CAPTURE"

wazee wa VFX watafinalize kwa kucompose kwny mafinal cut au adobe!!
 
Zbrush pixology,Autodesk Maya 3d(hollywood hii ndio inatumiwa sana kuzifanya hz movie tuzionazo kua kama magic}modo,CINEMA 4D hzi ni CGI PROGRAM ambazo uchawi wote uanzia.....kitu pekee sio program tu bali artist wakucheza na hzo program,,

huku kwetu ni sawa kuna wachoraji,lakin ni wale wanachora kwa karatasi na pen,,na wale wanaochora kwa rangi pekee
View attachment 2127830View attachment 2127834(hahaha,,hawa pia ata kwao wapo)

lakina huko kwao kuna hawa wanaotumia DIGITAL DRAWING
kupitia hizo program juu,wanadraw ,wanafanya cgi modelling (hapa ndio utajua michael bay amefanyaje kwny THE TRANSFORMER}na sculpture

View attachment 2127842View attachment 2127844
View attachment 2127845View attachment 2127847

hyo ni 3d modelling inaenza ikiwa imefanyika kwny zbrush au maya autodesk.

Na kuchora au kudesign hz modelling ili zitumike kwny film au games zinachorwa kwa device mfano wa table mfano: wacom tablet(special tablet kwa ajili ya digital painting)so ukichukua hizo program ukijumlisha na hz tablet then akaja mwana art basi kinachofuata nikudesign chochote kilichopo kwny mind,,unakiumba na kinakua!!!
View attachment 2127849

View attachment 2127852View attachment 2127853
View attachment 2127856

View attachment 2127860View attachment 2127862

so hayo marobot baada ya kupitia process zote texture na mapainting then kupitia hyo maya au c4d wanafanya animation inaweza ikawa kwa KURIGGING through computer hii njia inatake time , lakin simple way ila ni gharama ni "MOTION CAPTURE"

wazee wa VFX watafinalize kwa kucompose kwny mafinal cut au adobe!!
Aisee ndio maana bajeti inafika $400mil asee kazi ina process ndefu sana. Mimi kitu kinachonishangaza ni jinsi wanavyozipatia details ndogondogo kwenye kiumbe/mtu aliyetengenezwa hasa animation. Details kama vile vinyweleo, matundu ya jasho nk.
Ni umakini wa hali ya juu asee yaani hadi nyuzi/sufi sufi zailizopo kwenye mguo hua wanazionyesha
images (94).jpeg
images (95).jpeg

Jacket alilovaa is so realistic asee
images (51).jpeg

Details nazosema angalia nguonza huyu mdada, japo hii ni picha ya kuchora ila mchoraji alizingatia small details hadi picha imekua Realistic
FB_IMG_16033466185285178.jpg
 
Inawezekana sana hii ila, nasema ila ni kwa bongo movie tu!.
Kwakua wazungu wanapenda professionalism na Creativity basi ndio maana watapenda kila engo ishikwe na mtu tofauti.
Lakini huku kwetu Mbona Kanumba Tge Great alikua Director, Producer, Writer, Nk lakini kazi zake tulizipenda na zilikua na taste tofauti na za wengine
 
Kwakua wazungu wanapenda professionalism na Creativity basi ndio maana watapenda kila engo ishikwe na mtu tofauti.
Lakini huku kwetu Mbona Kanumba Tge Great alikua Director, Producer, Writer, Nk lakini kazi zake tulizipenda na zilikua na taste tofauti na za wengine
Test but not characters and infrastructure, maana now days kila muigizaji anakuwa na vyeo vyote hiyo siyo Lishe ya tasnia ya production.

Nakumbuka miaka ya 199x jamaangu alipokuwa anafanya production mwisho na mwanzo alikuwa anaandika jina lake.
 
kinachonishangaza ni jinsi wanavyozipatia details ndogondogo kwenye kiumbe/mtu aliyetengenezwa hasa animation. Details kama vile vinyweleo, matundu ya jasho nk.
Kwenye hiz Program za 3d modelling MAYA 3D AUTODESK au BLENDER 3D.

mfano; BLENDER 3D
hii ni bure kabisa ata ukiingia google unaweza download haifiki ata mb250,sasa hiz software zpo complete kila idara yaan kuanzia modeling,animation,video editing,colour,texture material ,kuna mipen humo ndani,vfx simulation(huku unachora hadi upepo,vimbunga ,tsunami, humo ndani yaan wamefanya kila kitu we unataka kukifanya kisishindikane...ndio maan uwez shindwa fanya.....kuna vitu vpo ambavyo wew kama artist ni kutumia ujanja wako,maan kuna time hadi macreator wenyew wa hiz program wanashangaa kuona uwezo wa ma artist wanavyofanya competition ya kuvifanya vitu vionekane "REALISTIC"nitaonyesha mfano



hii ni modelling ya nguo(cloth)bila ya texture
cloth_study.jpg


sasa kwasababu after modelling kuna zile painting kwa kutumia texture,hz texture znakua ktika mfumo wa bandle kuna ambazo zinakuja nasoftware lakin kuna ambazo unaziupload mwenyew kwa kupiga picha texture rangi yeyote au picha yeyote yenye coulor uliyokua unaitaji katika high resolution nakuinstall tena kwa ajili ya matumiz so utajumlisha ktk bando za texture material,,mfano kwa wale music producer wanaitaga ''kusample''

lakin katika kesi hii ya 3d modelling hasa hzi animation ili kuleta kitu kiwe realistic basi kuna hiz bundle texture


ukiangalia hapo kuna texture mbalimbali,kama ulidesign nguo kuna nguo za satin,kuna za fabric zenye nyuzinyuz yaan ni wewe tu

kama ulidesign liquid simulation basi kuna volcan texture,,,kuna sky texture yaan kila kitu kipo,,,na texture zingine zpo unadownload tu online!! kama vile unavyodownload brush kwny photoshop
138593241_1351715868501623_8126107642064778550_o.jpg


kuna wood texture,metallic kwa ajili ya vitu vya chumachuma
cube-diorama.jpg


YyPu8.png


lakini pia unaweza kudesign FUR kwa skin za wanyama na HAIR kwa human{hapa unatumia brush),,NA hyo yote kwasababu kuna VFX for FUR na HAIR na unawezo wa kuzisimulation zikiwa zinafanya kama zinapepea ni about effect tu ambazo zote zko humo ndan ya hz 3dsofwatre
maxresdefault (1).jpg
q3zrH.jpg


fur material kwa animals
469801a0a11242f5580769a697baa747--blenders-fur.jpg

Blender3D_FurWithParticles-Combing-2.48a.png



maxresdefault.jpg


CGI artist siku zote wanapambana kuifanya 3d ionekane atleast kama realistic kitu ambacho sasa wako karibu kukifikia ndio maan ukiangalia DISNEY katuni zao ambazo wanazileta katika livbe action kama the lion king unaweza ukasema dah!!simba now days wamekua actors wazur.

ukiangali cgi adavance ya HULK marvel,toka 2003 till today kuna utofaut mkubwa sana wamboresha sana kwny skin texture mpka kias kwamba anauacha kabisa ukatuni .

2003

hulk(bruce banner)wa humu ni scene za night ndio zilikua zinamfanya cgi kua great
lakin akitokea mchana alikua ni full katuni
8989464_orig.png

Thor: Ragnarok2017​

fans na baadhi ya cgi artist walireact kwamba hulk wa humu alikua wa plasitic complete​

thor-ragnarok-hulk-mark-ruffalo-1191992.jpg

Avengers: Endgame 2019​

marvel wakaclear makosa,wakamleta bruce banner akiwa almost ni realistic had ukimzooom unaona details ambazo ni ngumu kuzifanya kwa CGI​

Marvel-HULK.jpg

salute!​

 
Fikiria mtu kama huyu anafanya Face riging kwa kutumia only computer without mocap!!
na face expression imetulia


anafanya human modelling utafikir ni real ,huyu jamaa ni balaa

modelling yake anachora hadi neva za jicho!!

na vyote amefanyia kwny blender 3d



 
Kwenye hiz Program za 3d modelling MAYA 3D AUTODESK au BLENDER 3D.

mfano; BLENDER 3D
hii ni bure kabisa ata ukiingia google unaweza download haifiki ata mb250,sasa hiz software zpo complete kila idara yaan kuanzia modeling,animation,video editing,colour,texture material ,kuna mipen humo ndani,vfx simulation(huku unachora hadi upepo,vimbunga ,tsunami, humo ndani yaan wamefanya kila kitu we unataka kukifanya kisishindikane...ndio maan uwez shindwa fanya.....kuna vitu vpo ambavyo wew kama artist ni kutumia ujanja wako,maan kuna time hadi macreator wenyew wa hiz program wanashangaa kuona uwezo wa ma artist wanavyofanya competition ya kuvifanya vitu vionekane "REALISTIC"nitaonyesha mfano



hii ni modelling ya nguo(cloth)bila ya texture
View attachment 2128200

sasa kwasababu after modelling kuna zile painting kwa kutumia texture,hz texture znakua ktika mfumo wa bandle kuna ambazo zinakuja nasoftware lakin kuna ambazo unaziupload mwenyew kwa kupiga picha texture rangi yeyote au picha yeyote yenye coulor uliyokua unaitaji katika high resolution nakuinstall tena kwa ajili ya matumiz so utajumlisha ktk bando za texture material,,mfano kwa wale music producer wanaitaga ''kusample''

lakin katika kesi hii ya 3d modelling hasa hzi animation ili kuleta kitu kiwe realistic basi kuna hiz bundle texture


ukiangalia hapo kuna texture mbalimbali,kama ulidesign nguo kuna nguo za satin,kuna za fabric zenye nyuzinyuz yaan ni wewe tu

kama ulidesign liquid simulation basi kuna volcan texture,,,kuna sky texture yaan kila kitu kipo,,,na texture zingine zpo unadownload tu online!! kama vile unavyodownload brush kwny photoshop
View attachment 2128201

kuna wood texture,metallic kwa ajili ya vitu vya chumachuma
View attachment 2128204

View attachment 2128205

lakini pia unaweza kudesign FUR kwa skin za wanyama na HAIR kwa human{hapa unatumia brush),,NA hyo yote kwasababu kuna VFX for FUR na HAIR na unawezo wa kuzisimulation zikiwa zinafanya kama zinapepea ni about effect tu ambazo zote zko humo ndan ya hz 3dsofwatre
View attachment 2128217View attachment 2128218

fur material kwa animals
View attachment 2128219
View attachment 2128220



View attachment 2128221

CGI artist siku zote wanapambana kuifanya 3d ionekane atleast kama realistic kitu ambacho sasa wako karibu kukifikia ndio maan ukiangalia DISNEY katuni zao ambazo wanazileta katika livbe action kama the lion king unaweza ukasema dah!!simba now days wamekua actors wazur.

ukiangali cgi adavance ya HULK marvel,toka 2003 till today kuna utofaut mkubwa sana wamboresha sana kwny skin texture mpka kias kwamba anauacha kabisa ukatuni .

2003

hulk(bruce banner)wa humu ni scene za night ndio zilikua zinamfanya cgi kua great
lakin akitokea mchana alikua ni full katuni
View attachment 2128225

Thor: Ragnarok2017​

fans na baadhi ya cgi artist walireact kwamba hulk wa humu alikua wa plasitic complete​

View attachment 2128228

Avengers: Endgame 2019​

marvel wakaclear makosa,wakamleta bruce banner akiwa almost ni realistic had ukimzooom unaona details ambazo ni ngumu kuzifanya kwa CGI​

View attachment 2128233

salute!​

Aisee naona upo deep sana kwenye masuala haya Blender, Umenihamsisha sana kujifunza hii kitu japo sijui nianzie wapi, nimejifunza mengi hapa asee
Jinsi ya kujifunza Tafadhali.

Someone@Stephen Chelu naona naye ni mshirikibwa mambo haya
 
Aisee naona upo deep sana kwenye masuala haya Blender, Umenihamsisha sana kujifunza hii kitu japo sijui nianzie wapi, nimejifunza mengi hapa asee
Jinsi ya kujifunza Tafadhali.

Someone@Stephen Chelu naona naye ni mshirikibwa mambo haya
Respect mkuu Da'vinci .hahahah kuhusu blender nimetolea mfano tu mkuu{si kwmba niko deep sana},kwasababu ukiacha hyo BLender,software zote zilizobaki zinauzwa,,sijajua kwanini hiii iko free lakin ukwel ni kwamba inapiga kazi sawsaw na Maya 3d!!!

na cku hiz raia weng hapa Tz even kenya,naona wanafanya animation bila shaka itakua wanatumia hii blender,,,kwny masuala ya CGi ,maanimation haya inahitajika sana powerful computer ,hv vijicore i3 vyetu havina ata graphics card then uinstall blender ujikite kutengeneza animation huo utakua uongo!!

then mkuu najua "YOUTUBE" imekua mzito sana kwako lakini nikwambie kule ndio kuna kila elimu kwa kuanzia unayotaka kujifunza ata mwenye hii blender anachannel yake na anafundisha vitu vipya vinavyojiupdate kweny software yake.

kwa upande wangu nilijifunza maxon c4d nikaishia njian hapo zaman za kale,maya 3d ilikua mzto kwa pc yangu ni vtu vichache sana nilijfunza basics ila inavitu ving kama kitabu cha "LAMBERT",pixology zbrush {hii unaweza design charcter,maship,robot,unaumba chocote tu kwa kifupi unafanya modeling yeyote }hii tamu sana lakin nayo niliishia njian,,blender naifahamu basics lakin kwny video editing nilikua na enjoy tu kama kuangalia movie hakuna tofauti na adobe!!

kama utaweza jifunza blender bas hautashindwa kuilewa maxon au maya siku ukikutanayo,point znakua ni zlezle!!!

anza kupenda youtube kama vile unavyopenda vitabu!!🙂🙂🙂 jokes
 
Thanks owa mchango wako niliwahi kulizungumzia hili huko nyuma..
Ila de-aging nzuri niliyoipenda ni ya Michael Douglas/Hank Pym Ant-Man, Will Smith/Gemini Man na Samuel L jackson/Nick Fury Captain Marvel.

Hiyo kamera hapo sidhani kama bongo hii ipo, hata serikalini
Kwanza usikute bei yake tu ndio bajeti ya movie za kibongo
 
Back
Top Bottom