BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Soma kwa kituo huyu yuko huko kikazi lakini maskani ni bara.
Hamia bara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamia bara
Inakuwaje Tanzania sasa ?!Kumbe Zanzibar sio Tanzania
Kama napikia jiko la kuni jee? Bado nikapikie ndani? Au ndiyo haiwahusu?
kama haya usemayo ni kweli basi itakuwa mamlaka za Zanzibar bado haziujui Uislamu!
Aisee.Ukipikia jiko la kuni watakuja mtaa wote kwako hao jamaa ni matatizo
Ndio upumbavu wao hawajasoma ndio tatizo kuuWaislamu bwana, yaani wanataka kile wanachokiamini kila mmoja akiamini pia.
Bara huku kuna Uhuru sana, yaani unafanya unachojisikia yaani.Mimi ningepika ndani, ila napika nyama kwa mtindo wa kunukia mpaka nyumba ya 5.
Sijawahi kupapenda zanzibari
Naunga mkono hoja haiwezekan mm nisile kisa wewe umefunga, kufunga kwako kunanihusu nn?Icho kisiwa chafaa kutawaliwa kijeshi
Ukipikia jiko la kuni watakuja mtaa wote kwako hao jamaa ni matatizo
Hii mijitu haikusoma ndio tatizoPoleni sana
Ila hawa watu wabaguzi jamani
Kwa nn na ww usiende kwa waxungu kulaMazingira ya maisha hapa zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa ramadan kwa wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida, mfano kupata chakula inabidi uende kwenye lile kanisa ambapo zamani kulikua na soko la watumwa,ukiwa mwanakwerekwe napo inabidi uende pale kanisani,ukiwa maeneo ya mbweni itabidi uende kanisani ndio kuna kimgahawa hapo utapata chakula,ila kwa siku ya leo kuna kitu kimenikera sana baada ya kukosa chakula kanisani ikabidi nipelekwe sehemu ya mafichoni kunapouzwa chakula,nimefika na chakula nimepata ila mazingira ya kukaa pamoja ulaji sio mzuri kwa sababu unakula kwa hofu kwamba muda wowote mnaweza kamatwa.na kama unafamilia yako huku basi kama mkeo anataka kupika ni marufuku kupikia nje inatakiwa kila kitu amalize humo humo ndani na ukikamatwa unapelekwa jela mpaka mwezi uishe ndio unaachiwa,lakini hivi vitu vinafanyika kwa ngozi nyeusi kwa nyeusi,ngozi nyeupe aiguswi na hii zihaka mzungu wanakula na kunywa muda wowote na hotel/ mabaa yao yako wazi muda wote,ombi langu kwa waislamu ni kwamba waache tabia za unafiki wa kubagua maana kwa mtindo huu hata thwawabu sidhani kama mtapata.
Hahahaa! JF kila mtu msomi Ila elimu yenyewe ndio hii inayolalamikiwa kila sikuHii mijitu haikusoma ndio tatizo
Elimu ni kitu cha muhimu sana
Punguza hasira mkuu. Ukipanda boti kwenda znz unalipia kwa shillings na wazungu wanalipa kwa dollar. Hapo huoni ubaguzi?Hii mijitu haikusoma ndio tatizo
Elimu ni kitu cha muhimu sana
Mimi ningepika ndani, ila napika nyama kwa mtindo wa kunukia mpaka nyumba ya 5.ni mzanzibari gani aliyewahi kumpenda mbara?
Sijawahi kupapenda zanzibari