Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Punguza hasira mkuu. Ukipanda boti kwenda znz unalipia kwa shillings na wazungu wanalipa kwa dollar. Hapo huoni ubaguzi?
Fuata taratibu za sheria hivi huyu mleta mada angenunua chakula na kwenda kula kwake au kanisani nani angemfatilia?. Kwanini hakufanya hivyo?


Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Ni kwann Nile kwa kujificha? Kwan mie mwizi? Kwan wewe kufunga kwako kunanihusu Nini mm? Mbna wakristo wakifunga hawazuii wengine?
Nyie Ni washamba/mbumbumbu hamna elimu ndio maana
 
Punguza hasira mkuu. Ukipanda boti kwenda znz unalipia kwa shillings na wazungu wanalipa kwa dollar. Hapo huoni ubaguzi?
Fuata taratibu za sheria hivi huyu mleta mada angenunua chakula na kwenda kula kwake au kanisani nani angemfatilia?. Kwanini hakufanya hivyo?


Ndukiiiii [emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️
Na akila hadharani tatizo lipo wapi?
 
Mkuu wafanyie kama lilivyo jina lako "mtima nyongo" kula kama kawaida tu, sasa wafunge wao halafu mpate shida nyie, mbona mnawaendekeza sana hao watu nyie......... huku bara wakianza huo ujinga aisee watachakaa
watapigwa mpaka wakimbie
 
Ni kwann Nile kwa kujificha? Kwan mie mwizi? Kwan wewe kufunga kwako kunanihusu Nini mm? Mbna wakristo wakifunga hawazuii wengine?
Nyie Ni washamba/mbumbumbu hamna elimu ndio maana
Kwenye ukristo kuna masharti yake mfano kuna fidia ya ubatizo kama hujalipa unaweza kubatizwa?.
Kama ukiwa mlokole hivi Lutheran au wakatoliki watakusalia na kukuzika?
Kwa waislam wao hata uwe shia basi ukifa watakuzika tu hata uwe na dhehebu lipi utadhikwa tu. Kila sehemu na sheria yake usiifanye sheri kuwa njia ya ubaguzi.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 

Miss aleesha, Naomba nikuambie kitu kimoja, ni kweli hakuna Mzanzibar aliewahi kumpenda mtu wa bara, ila hakuna Mnzanzibar alie bara anaetaka kurudu Zanzibar, nakueleza hayupo, hayupoo

Na ndio maana wanaotaka kujitenga ni wanzanzibar wa Nzanzibar bali sio Wanaoishi Bara

Hakuna mtu anataka mateso sasa hivi
 
Mazingira ya maisha hapa zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa ramadan kwa wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida, mfano kupata chakula inabidi uende kwenye lile kanisa ambapo zamani kulikua na soko la watumwa,ukiwa mwanakwerekwe napo inabidi uende pale kanisani,ukiwa maeneo ya mbweni itabidi uende kanisani ndio kuna kimgahawa hapo utapata chakula,ila kwa siku ya leo kuna kitu kimenikera sana baada ya kukosa chakula kanisani ikabidi nipelekwe sehemu ya mafichoni kunapouzwa chakula,nimefika na chakula nimepata ila mazingira ya kukaa pamoja ulaji sio mzuri kwa sababu unakula kwa hofu kwamba muda wowote mnaweza kamatwa.na kama unafamilia yako huku basi kama mkeo anataka kupika ni marufuku kupikia nje inatakiwa kila kitu amalize humo humo ndani na ukikamatwa unapelekwa jela mpaka mwezi uishe ndio unaachiwa,lakini hivi vitu vinafanyika kwa ngozi nyeusi kwa nyeusi,ngozi nyeupe aiguswi na hii zihaka mzungu wanakula na kunywa muda wowote na hotel/ mabaa yao yako wazi muda wote,ombi langu kwa waislamu ni kwamba waache tabia za unafiki wa kubagua maana kwa mtindo huu hata thwawabu sidhani kama mtapata.

nina ishi south africa huku dini ni yako mwenyewe hakuna anaye kubuguzi yani kitu kinacho hitwa haki ya binadamu huku wamekitendea haki.
mpaka muislamu kafunga lakini anauza mgahawa wake watu wanakula,huku kila mtu yupo huru [emoji23]
 
Back
Top Bottom