Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi za kikristo zinazolazimisha ushoga kwakuwa kwao ni tendo takatifu hujaziona?Hii ni dhambi kubwa sana ya kuwatesa wale wasiokuwa waislamu kwa kisingizio cha Ramadhan.
Utakuwa umetoka kucheza na padri ule mchezo waoKuna dini imejaa wapuuzi sijapata ona...kuna dini inataka wenyewe wakishinda njaa basi kila mtu nae ashinde njaa
We umesoma ila hukuelimikaHii mijitu haikusoma ndio tatizo
Elimu ni kitu cha muhimu sana
Waisrael wanajua namna ya ku deal nao.Waislamu bwana, yaani wanataka kile wanachokiamini kila mmoja akiamini pia. Tena kwa nguvu!
Mkuu tafuta watu wanaojua kutukana utukanane nao vizuri...mimi siweziUtakuwa umetoka kucheza na padri ule mchezo wao
Nchi za kikristo zinazolazimisha ushoga kwakuwa kwao ni tendo takatifu hujaziona?
Wazee wa mchezo wa mapadriWazee wa dini ya haki
HujielewiUtakuwa umetoka kucheza na padri ule mchezo wao
Mpuuzi ni aliyekuhubiria leo. Akakufundisha kutokuheshimu imani za wengine.Wapumbavu hao jamaa akili zao hazina akili empty set
Kwa mujibu wa mafundisho ya nabii Tito?Funga ya kweli ni ile mtu ukifunga haitakiwa hata jirani yako au mtu mwingine ajue kuwa umefunga
Kutangazia kila mtu kwamba umefunga ni unafiki wa kiwango cha Standard gauge
Mazingira ya maisha hapa zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa ramadan kwa wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida, mfano kupata chakula inabidi uende kwenye lile kanisa ambapo zamani kulikua na soko la watumwa,ukiwa mwanakwerekwe napo inabidi uende pale kanisani,ukiwa maeneo ya mbweni itabidi uende kanisani ndio kuna kimgahawa hapo utapata chakula,ila kwa siku ya leo kuna kitu kimenikera sana baada ya kukosa chakula kanisani ikabidi nipelekwe sehemu ya mafichoni kunapouzwa chakula,nimefika na chakula nimepata ila mazingira ya kukaa pamoja ulaji sio mzuri kwa sababu unakula kwa hofu kwamba muda wowote mnaweza kamatwa.na kama unafamilia yako huku basi kama mkeo anataka kupika ni marufuku kupikia nje inatakiwa kila kitu amalize humo humo ndani na ukikamatwa unapelekwa jela mpaka mwezi uishe ndio unaachiwa,lakini hivi vitu vinafanyika kwa ngozi nyeusi kwa nyeusi,ngozi nyeupe aiguswi na hii zihaka mzungu wanakula na kunywa muda wowote na hotel/ mabaa yao yako wazi muda wote,ombi langu kwa waislamu ni kwamba waache tabia za unafiki wa kubagua maana kwa mtindo huu hata thwawabu sidhani kama mtapata.
Mpuuzi zaidi ni wewe muathirika wa ushoga. Umeharibu tamaduni zako kwakuwapenda wazungu na unataka na wengine wawe kama ninyi.Hebu acha upumbavu wa kutoka nje ya mada. Kinachojadiliwa hapa na ushoga wapi na wapi? Nyie ndiyo huwa mnafeli mitihani kwa upumbavu wa hali ya juu. Mjadala unahusu mtu kukosa sehemu ya kula kwa sababu tu ya Ramadhan na weye unaleta upuuzi wako usiohusu kitu kwenye uzi huu.
Ungekuwa unajielewa ungejiuliza kwanini makanisa yote asili yake ni uzunguni na si uyahudini alipotokea YesuHujielewi
PumbaUngekuwa unajielewa ungejiuliza kwanini makanisa yote asili yake ni uzunguni na si uyahudini alipotokea Yesu
Mpuuzi zaidi ni wewe muathirika wa ushoga. Umeharibu tamaduni zako kwakuwapenda wazungu na unataka na wengine wawe kama ninyi.
Mmeitwa Zanzibar? Huo ni utamaduni wao kila ukifika mwezi huo. Kama ilivyokwenu kudharau na kutukana kila asiye wa imani yenu.
Juha zaidi ni wewe usieheshimu imani za wengine. Unadhani kutukana utamtisha nani we nyumbu.Wewe ni mpumbavu wa kutupa. Acha kurukia watu humu usiowajua kwa kujifanya unawajua. Huu uzi hauhusu ushoga lakini zwazwa wewe huelewi. Kama ungeona michango yangu kuhusu kuupinga ushoga usingeandika huu UPUUZI WAKO kama huna cha maana cha kuandika kuhusu mjadala husika kaa kimya badala ya kuonyesha ujuha wako hadharani. Pimbi wewe.