Dah kuna jamaa angu kichwa mbovu kweli ni christian
Nataman angefika huko , angewanyoosha vilivyo hao[/] mbwiga wanaoleta usumbufu huko !
Ntolee unafki wako hapaKila la heri.
Unazidi kuiaibisha dini yako.
Bye!
Mijitu inapenda kula ovyo ovyo halafu ikizuiliwa inalalamika.Mwambie aende, Kama hajaishia jela Hadi mfungo unaisha. Unadhani hayo yameanza leo?.
Sijasema kuna mtu kakamatwa kula kwa kula mchana.Nilichokizungumzia ni watu kufananisha Zanzibar na Bara.Mkuu sheria mama siku zote ni katiba ya jamuhuri ya muungano wa tanzania...na sheria za jamuhuri ya muungano wa tanzania ndo sheria zinazoiongoza tanzania si vingine achana na hizo by-laws....ndo mana nimekwambia kula mchana wakati wa mwezi mtukufu wa ramadhani si kosa kisheria kama nikosa nipe mfano wa mtu aliyepelekwa mahakamani kwa kula mchana na uniambie alihukumiwa vipi
Asante Adilinanduguze . Quote bora kwenye huu mjadala. Kuna watu wamekariri vitabu vya dini bila kujua application kwa maishaNi kwenda kinyume na Uislam kutompatia chakula au access ya kula mtu ambaye hastahiki kufunga kama ndugu zetu Wakristo
Hili ni kosa tu bila kujali limefanyika wapi, aidha Zanzibar au sehemu yoyote ya Dunia
Ila kitu kikubwa ambacho nadhani ndugu zetu Wakristo wanashindwa kukielewa ni kwamba Staha na Stara wakati mnapata Vyakula na Vinywaji ktk nyakati hizi ni kitu cha Uungwana sana
Kuna wakati niliwahi kosana na Wife juu ya hili jambo. House Girl ambaye ni Mkristo alitembelewa na Baba yake toka kijijini kwa bahati mbaya wife akawa anasita kutoa mlo kwa Mgeni kwa sababu tu ni Mkristo. Baada ya kumuelimisha sana wife akaelewa huwezi amini yule Bwana alivutika sana na dini yetu na ndio ikawa mwanzo wa kuelewa uislam
Zanzibar hawajakataza kula mchana kwa ambao hawafungi walichokataza ni kula hadharani. Kama mko organised a Muslim Catarer anaweza waletea chakula hata sehemu ya kazi mkaendelea na menu zenu na sio dhambi kwa mfanyabiashara wa kiislam kutoa hiyo service kwa wasio Waislamu
Regards
Teh teh ndiyo ushangae na wewe.Huyu mungu wa waislam anayejua kiarabu tu, ninamashaka nae kwakweli. Na watu walivyo apumbavu wanaamini ete kiarabu ndo lugha ya mbinguni. Waislam wote mjiandae kwenda mbingu ya Kilombero au mbuguni na sio Mbinguni/ Peponi.
Waarabu wamefanya kufuru kuliko watu wengine wowote Duniani. Leo wanawaaminisha eti wao ndio wacha Mungu kweli [emoji202] kama kusoma hamjui hata Picha hamuoni
Ni wanafki kupita maelezo. Tena ukikutana na wale wanaojidai wamesoma Dini[emoji16][emoji16][emoji16]utadhani ndiyo LuciferSio tu siku ya idd
Kuna siku yao kabla ya mfungo kuanza wanaita vunja chungu, hiyo siku nilijua baada kutoka safari kenya nikawa natafuta pakulala nilihaangaika sana cause vyumba vilikuwa vimejaa, driver taxi akanielezea hiyo siku ni ya vunja chungu
Nilisikitika sana
Sio wote ila kuna watu ni wanafiki sana
Nimetoka kula kitimoto, kilikuwa kitamu balaa.Nafsi zenu zinawasuta na mnajua mpo katika upotofu. Hamna chakufanya zaidi ya chuki na kebehi.
Angalia hapa mjinga mwenzio anampigia Yesu simu.View attachment 1109216
Dah,pole sana mkuu ndio maisha ya utafutaji huo inakulazimu ufunge bila kutakaMazingira ya maisha hapa zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa ramadan kwa wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida, mfano kupata chakula inabidi uende kwenye lile kanisa ambapo zamani kulikua na soko la watumwa,ukiwa mwanakwerekwe napo inabidi uende pale kanisani,ukiwa maeneo ya mbweni itabidi uende kanisani ndio kuna kimgahawa hapo utapata chakula,ila kwa siku ya leo kuna kitu kimenikera sana baada ya kukosa chakula kanisani ikabidi nipelekwe sehemu ya mafichoni kunapouzwa chakula,nimefika na chakula nimepata ila mazingira ya kukaa pamoja ulaji sio mzuri kwa sababu unakula kwa hofu kwamba muda wowote mnaweza kamatwa.na kama unafamilia yako huku basi kama mkeo anataka kupika ni marufuku kupikia nje inatakiwa kila kitu amalize humo humo ndani na ukikamatwa unapelekwa jela mpaka mwezi uishe ndio unaachiwa,lakini hivi vitu vinafanyika kwa ngozi nyeusi kwa nyeusi,ngozi nyeupe aiguswi na hii zihaka mzungu wanakula na kunywa muda wowote na hotel/ mabaa yao yako wazi muda wote,ombi langu kwa waislamu ni kwamba waache tabia za unafiki wa kubagua maana kwa mtindo huu hata thwawabu sidhani kama mtapata.
Naunga mkono hoja, hata mimi naishi huku Zanzibar lakini sio kweli kuwa wamekataza kula mchana ila usile hadharani. Migahawa iliofungwa ni ile ya hadharani lakini kwenye Hotel na migahawa ambayo haipo hadharani vyakula vinapatikana na ruksa kula. Na sio kweli kwamba haurusiwi kupika ukiwa nyumbani kwako, unaweza kupika na kula bila ya tatizo. Huyu mleta mada anaposema kuwa eti wazungu wameruhusiwa kula hadharani sio kweli maana hata ile migahawa ya kitalii ambayo ipo hadharani imefungwa sasa watakula wapi, na huko wanapokula wazungu hata yeye anaruhusiwa kula ila vyakula vipo bei juu sana ndio maana wengi wanashindwa kwenda. Na tusishangae Zanzibar kuwa na sheria hizo maana ni sheria ndogondogo (by laws )ambazo wamejiwekea.Ni kwenda kinyume na Uislam kutompatia chakula au access ya kula mtu ambaye hastahiki kufunga kama ndugu zetu Wakristo
Hili ni kosa tu bila kujali limefanyika wapi, aidha Zanzibar au sehemu yoyote ya Dunia
Ila kitu kikubwa ambacho nadhani ndugu zetu Wakristo wanashindwa kukielewa ni kwamba Staha na Stara wakati mnapata Vyakula na Vinywaji ktk nyakati hizi ni kitu cha Uungwana sana
Kuna wakati niliwahi kosana na Wife juu ya hili jambo. House Girl ambaye ni Mkristo alitembelewa na Baba yake toka kijijini kwa bahati mbaya wife akawa anasita kutoa mlo kwa Mgeni kwa sababu tu ni Mkristo. Baada ya kumuelimisha sana wife akaelewa huwezi amini yule Bwana alivutika sana na dini yetu na ndio ikawa mwanzo wa kuelewa uislam
Zanzibar hawajakataza kula mchana kwa ambao hawafungi walichokataza ni kula hadharani. Kama mko organised a Muslim Catarer anaweza waletea chakula hata sehemu ya kazi mkaendelea na menu zenu na sio dhambi kwa mfanyabiashara wa kiislam kutoa hiyo service kwa wasio Waislamu
Regards
Hivi unamjua jamaa angu kweli wewe
Mwambie aende, Kama hajaishia jela Hadi mfungo unaisha. Unadhani hayo yameanza leo?.
Teh teh teh.Teeh teeh
Njoo uone sa hizi nimempakata mama wa Mungu wenu nataka niitoe bikra yake nyie si mmeshindwa huko nyote mnaolewa makanisani.
rudi kwenu kufar weweMazingira ya maisha hapa zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa ramadan kwa wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida, mfano kupata chakula inabidi uende kwenye lile kanisa ambapo zamani kulikua na soko la watumwa,ukiwa mwanakwerekwe napo inabidi uende pale kanisani,ukiwa maeneo ya mbweni itabidi uende kanisani ndio kuna kimgahawa hapo utapata chakula,ila kwa siku ya leo kuna kitu kimenikera sana baada ya kukosa chakula kanisani ikabidi nipelekwe sehemu ya mafichoni kunapouzwa chakula,nimefika na chakula nimepata ila mazingira ya kukaa pamoja ulaji sio mzuri kwa sababu unakula kwa hofu kwamba muda wowote mnaweza kamatwa.na kama unafamilia yako huku basi kama mkeo anataka kupika ni marufuku kupikia nje inatakiwa kila kitu amalize humo humo ndani na ukikamatwa unapelekwa jela mpaka mwezi uishe ndio unaachiwa,lakini hivi vitu vinafanyika kwa ngozi nyeusi kwa nyeusi,ngozi nyeupe aiguswi na hii zihaka mzungu wanakula na kunywa muda wowote na hotel/ mabaa yao yako wazi muda wote,ombi langu kwa waislamu ni kwamba waache tabia za unafiki wa kubagua maana kwa mtindo huu hata thwawabu sidhani kama mtapata.
Ndio tabia na sifa za makafiri, hufurahia maovu !Nimetoka kula kitimoto, kilikuwa kitamu balaa.
True, wanaona wakati mzuri wa kuwakomoa watu kutoka bara ni kipindi cha RamadhaniTabia hii ya wazinzibar inajificha katika kichaka cha Ramadhani
UKWELI NI KWAMBA WAMEEBA CHUKI NA KISASI CHA MUUNGANO DHIDI YA WABARA
Ova.
Kwenye kitimoto shetani hakanyagi[emoji3][emoji3]mpaka hapo umeshajua shetani ni dini gani.Ndio tabia na sifa za makafiri, hufurahia maovu !
Kumbe Mlimani City Mall kuna Msikiti ! Nimefurahije !Teh teh teh.
Swaumu imekaza[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].
Na bado moto wa jehanum ni kwa ajili yenu.
Nina muda hata wa kupakua mafundisho ya kipepo. Hapa nataka habari za Shujaa Yesu Kristo aliyekufa na akafufuka na yupo hai hadi Leo.Kumbe Mlimani City Mall kuna Msikiti ! Nimefurahije !
Jifunze Uislaam hapo kafiri kama lugha inapanda.View attachment 1109381
Wewe ndiyo muongo,mleta maada aliyoandika ni sahihi kabisaNaunga mkono hoja, hata mimi naishi huku Zanzibar lakini sio kweli kuwa wamekataza kula mchana ila usile hadharani. Migahawa iliofungwa ni ile ya hadharani lakini kwenye Hotel na migahawa ambayo haipo hadharani vyakula vinapatikana na ruksa kula. Na sio kweli kwamba haurusiwi kupika ukiwa nyumbani kwako, unaweza kupika na kula bila ya tatizo. Huyu mleta mada anaposema kuwa eti wazungu wameruhusiwa kula hadharani sio kweli maana hata ile migahawa ya kitalii ambayo ipo hadharani imefungwa sasa watakula wapi, na huko wanapokula wazungu hata yeye anaruhusiwa kula ila vyakula vipo bei juu sana ndio maana wengi wanashindwa kwenda. Na tusishangae Zanzibar kuwa na sheria hizo maana ni sheria ndogondogo (by laws )ambazo wamejiwekea.
Democracy means that Domo kiasi