Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Sijasema kuna mtu kakamatwa kula kwa kula mchana.Nilichokizungumzia ni watu kufananisha Zanzibar na Bara.

Ukimsoma mtoa post kuna sehemu kasema ukikutwa unakula mchana unaweza kufungwa mwezi mmoja.Sasa mumuulize kayatoa wapi hayo asemayo?Kama si uchonganishi na chuki ni nini?

NB:
Zanzibar hawafuati sheria za bara japo zaweza kufanana.Kuna mambo mengine si ya muungano.Ndio maana kuna vikosi vya SMZ.Haviingiliani na Jamhuri ya Muungano.Kule ni JWTZ na Polisi tu ndio vikosi vya Jamhuri ya Muungano.
Wana mahakama kuu ya Zanzibar,na muswada wa sheria ukipitishwa na bunge la Jamhuri kama inahusu maswala ya muungano,lazima ijadiliwe na baraza la wawakilishi kabla ya kuanza kutumika.
 
Asante Adilinanduguze . Quote bora kwenye huu mjadala. Kuna watu wamekariri vitabu vya dini bila kujua application kwa maisha
 
Teh teh ndiyo ushangae na wewe.
 
Ni wanafki kupita maelezo. Tena ukikutana na wale wanaojidai wamesoma Dini[emoji16][emoji16][emoji16]utadhani ndiyo Lucifer
 
Dah,pole sana mkuu ndio maisha ya utafutaji huo inakulazimu ufunge bila kutaka
 
Naunga mkono hoja, hata mimi naishi huku Zanzibar lakini sio kweli kuwa wamekataza kula mchana ila usile hadharani. Migahawa iliofungwa ni ile ya hadharani lakini kwenye Hotel na migahawa ambayo haipo hadharani vyakula vinapatikana na ruksa kula. Na sio kweli kwamba haurusiwi kupika ukiwa nyumbani kwako, unaweza kupika na kula bila ya tatizo. Huyu mleta mada anaposema kuwa eti wazungu wameruhusiwa kula hadharani sio kweli maana hata ile migahawa ya kitalii ambayo ipo hadharani imefungwa sasa watakula wapi, na huko wanapokula wazungu hata yeye anaruhusiwa kula ila vyakula vipo bei juu sana ndio maana wengi wanashindwa kwenda. Na tusishangae Zanzibar kuwa na sheria hizo maana ni sheria ndogondogo (by laws )ambazo wamejiwekea.

Democracy means that Domo kiasi
 
Teeh teeh

Njoo uone sa hizi nimempakata mama wa Mungu wenu nataka niitoe bikra yake nyie si mmeshindwa huko nyote mnaolewa makanisani.
Teh teh teh.
Swaumu imekaza[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].
Na bado moto wa jehanum ni kwa ajili yenu.
 
rudi kwenu kufar wewe
 
Tabia hii ya wazinzibar inajificha katika kichaka cha Ramadhani


UKWELI NI KWAMBA WAMEEBA CHUKI NA KISASI CHA MUUNGANO DHIDI YA WABARA

Ova.
True, wanaona wakati mzuri wa kuwakomoa watu kutoka bara ni kipindi cha Ramadhani
 
Teh teh teh.
Swaumu imekaza[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].
Na bado moto wa jehanum ni kwa ajili yenu.
Kumbe Mlimani City Mall kuna Msikiti ! Nimefurahije !
Jifunze Uislaam hapo kafiri kama lugha inapanda.
Your browser is not able to display this video.
 
Wewe ndiyo muongo,mleta maada aliyoandika ni sahihi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…